CCM wanataka watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu na pia wapate pesa nyingi toka WHOMkuu, tujionee huruma basi, ikiwa hivyo utapata wapi sasa wakukupigia Kura mkuu, mambo yasiyofaa kuwekwa kwenye siasa za kijinga ni kuombea vifo viongezeke sio Tu vifo hata maambukizi pia
correct....changa la maweHiyo ni lowest numbers possible after kupigwa editing.. Watanzania wenyewe hawaamini
Sasa hizo takwimu ulizo nazo wewe kwanini usiweke hapaHahaha eti vifo 6 tu nyoooooko. Waliotajwa tu siku chache zilizopita kufa kwa tatizo la kupumua wanazidi 6, makaburi mapya yaliyozikwa watu usiku yanazidi kumi, huyu jamaa anahisi watanzania wote matahira. Hiki ni kituko bora nichukue stats za china sio hizi hahahaha ovyo kabisa
Mitaani bado watu wanakaa vijiweni vibarazani mikusanyiko ni mikubwa watoto wanacheza pamoja licha ya mashule kufungwaMambo bado mabichi kabisa....watu bado wanaishi kimazoea.....uchumi unadorora....kipato cha kila mmoja kiko hatarini.....mkuu ametulia mahali na barakoa mpaka kwenye 071........TANZANIA unakwenda wapi wewe....ukienda Karakoo, Feri huwezi jua kama kuna hili gonjwa.........bado tumesimamia misimamo yetu ya KIBURI.......for how long?? hatujui....MUNGU TUNAOMBA WEPESI KTK HILI.....
Kama wewe mjinga mmoja toka Tz unamlaumu rais kwa hili walioko USA na kwingineko wamulaumu nani?Tuna rais mwenye akili kuliko watu wote duniani na ndo maana alikuwa mwalimu wa kemia shule ya secondary huko maporini
Hiyo factor ya 1.4 umeipataje?Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...
Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...
480*1.4 = 672.
Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
Ndio maana tunaandika humu ili wao waone watimize wajibu wao na sisi tutimize wakwetu!chukua hatua jilinde wewe na watu wako wa karibu.
wenye taarifa hawataki sasa kutoa taarifa utawalazimisha ama ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataweka vipi wakati CCM wamepiga marufuku takwimu za kweli wanataka takwimu zao za kutengeneza ndizo ziaminiwe na kutumika
Sasa hapo umeandika nini?CCM wanataka watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi wa October, wanashusha idadi ya vifo na kuongeza idadi ya waliopona ili watanzania waone corona covid 19 siyo Ugonjwa wa kutosha waendelee kukaa vijiweni vibarazani kwa vikundi mikusanyiko waambukizane kwa bidii wafe kwa wingi ili WHO watoe msaada wa pesa nyingi kwa Serikali ya CCM
Rafiki yangu kanipigia simu kuwa amepoteza sense of smell na ana mafua ambayo hajawahi pata na ikifika usiku kifua kinamuuma na pia pua zinakuwa nzito kupitisha hewa kama vile ametoka ku dive kwenye kina kirefu cha maji, bila kusahau kichwa kuuma na uchovu wa mwili kiujumla. Kwa maelezo yake anasema tonsels alishapona tangia juzi.Wagonjwa tunajua wako wengi sana, maana hata mimi hapa nina dalili zote za corona lkn bado sijaenda kupima ili waniingize kwenye data zao.
Swali la msingi ni kuna vifo vingapi mpaka sasa?
Unforgetable
Huwa nashangaa sana kuna watu wanakuonaga una akiliUbishi lazima death rate itakuwa zaidi ya elfu kumi kama kama tutaenda na takwimu sahihi
Wametangaza...wewe ni mbwaSiku wakitangaza vifo niite mbwa!
We mbwa wamesema vifo vimeongezeka 6Siku wakitangaza vifo niite mbwa!
Huu ni muongozo kutoka WHO na sio matakwa ya mtu/nchi binafsi.Ningekua mimi ndie nina maamuzi ya kuliende hili,nisingetangaza kifo wala maambukizi,jitihada zingekuwa katika kuwaelimisha watu kuhusu huu ugonjwa.Hakuna tija katika kutangaa vifo wala idadi ya wagonjwa.Kuna malaria yanaua,kuna magonjwa mengine yanaua kila kukicha,kwanini tulazimike kuagaza corona_