minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
CCM wanataka watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu na pia wapate pesa nyingi toka WHOMkuu, tujionee huruma basi, ikiwa hivyo utapata wapi sasa wakukupigia Kura mkuu, mambo yasiyofaa kuwekwa kwenye siasa za kijinga ni kuombea vifo viongezeke sio Tu vifo hata maambukizi pia