COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

Hata PM na Ummy pia wamempotezea sasa. Wanavaa mask alizosema zimewekewa virusi vya corona. Haya yote mawazo yake ni ya kichawi. Kama unamwamini utakuwa mchawi pia.
Nimeuliza kuhusu kujifukiza.
Ila hio unayowaza ni ndoto, mapolisi.

Once a legend said "If you are good at something, never do it for free"
 
Hata PM na Ummy pia wamempotezea sasa. Wanavaa mask alizosema zimewekewa vizuri vya corona. Haya yote mawazo yake ni ya kichawi. kama unamwamini utakuwa mchawi pia.
Dah, wewe mkuu unakimbia swali.
Kujifukiza ni ushirikina?

Once a legend said "If you are good at something, never do it for free"
 
My Dear friend, unachekesha saana, kufanya test hata hiyo UK with all the resource they , they can not do 100%
2. Kufanya test hakuzui mtu kuugua .
Mfano Leo wanifanyie Mimi wakiona all clear lakini kesho yake nikapata hiyo ,virus.

3 kuhusu Kenya au Jirani zetu kujilinganisha nao sio uungwana na hatupo kwenye mashindano hayo
Tukipata vipimo vile vya Senegal vya TZS 2300 kila anayejisikia atakuwa anajipima mara moja kwa wiki ili kama amepata maambukizi aanze kupambana nao mapema kabla mwili haujaanza kuonyesha dalili ambazo hupelekea kifo
 
Unacheka wakati watu wanakufa na kuzikwa usiku katika makumi na makumi kwa sababu ya maamzi ya kijinga ya mtu mmoja?
Una uhakika na hizo taarifa. Na wewe je umeshuhudia hayo makumi ya wanaokufa.?
Swali naomba unijibu.

Once a legend said "If you are good at something, never do it for free"
 
Kuna mpuuzi mmoja anajiita 1954 nadhani hivi sasa ataelewa ni wapi kuna maambukizi mengi kati ya Tanzania na Kenya!!

Na ukweli ni kwamba, hapo wamepunguza sana idadi hadi waliopoona aibu kwamba hawawezi kupunguza zaidi na kuamua kutaja hao 174!!

Na Misukule ya Lumumba na ile Misukule ya Jiwe, endeleeni tu kutetea ujinga cuz it's a matter of time kabla hamjaanza kuzika wazazi, waume na watoto wenu wakati mnayemtetea akiwa kajificha kijijini kwao

Yule usimjibu sababu analipwa kwa anacho andika
 
Taarifa imetolewa na waziri mkuu Kassimu majaliwa!
corona-1-5.jpg
 
Hata timu yako ya mpira ikifungwa, siyo vibaya kushangilia timu pinzani.Uta-support hata ushirikina wa kufukizwa na majani ya migimba mpaka lini? Kuna ya ku-support na mengine ya kukaa kimya tu.



Prof Kutoka Tabora​



Nionyeshe ushirikina kwenye hili, wewe badala ya kujikinga unawaza kwamba Mabeberu ndio wenye dawa kuliko kutumia njia halisi za kujikinga. Covid-19 haina dawa hadi hivi sasa huko hospitalini wanaenda kukuwezesha kupumua tu hadi immunity yako iweze kukupigania ubaki hapa duniani. Kama unayo dawa twambie.
 
Back
Top Bottom