Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
haha apo umewachokonoa haswatarakimu za kuamini katika serikali ya CCM ni namba za simu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha apo umewachokonoa haswatarakimu za kuamini katika serikali ya CCM ni namba za simu tu.
apo ndo mtihan.na kwa maana hiyo data za hawamu hii hazija kamilikaaaa full stop tuzubir data sahihi.Mbona hajatupa mchanganuo wa hao wagonjwa kila mkoa ili huku mkoani tuchukue tahadhari zaidi.
Kweli, maana hizi wanatuliza upepo uliovuma zaidi ila ni vizuri hapo baadaye watuchanganulie ili tujue huku mikoani hali ikoje ili tuwe na tahadhari zaidi, maana ugonjwa huu bila ukweli hali itakuwa mbaya sana.apo ndo mtihan.na kwa maana hiyo data za hawamu hii hazija kamilikaaaa full stop tuzubir data sahihi.
ummy sijui wame mpban alikuwa anatwambia vizur pamoja na mikoa yake ili na maeneo mengine wazid kutilia mkazo tusije ukakuta mkoa ambao hukutegemea una 50 sasa assume huo mkoa x hawajijui ni HATARI SANAKweli, maana hizi wanatuliza upepo uliovuma zaidi ila ni vizuri hapo baadaye watuchanganulie ili tujue huku mikoani hali ikoje ili tuwe na tahadhari zaidi, maana ugonjwa huu bila ukweli hali itakuwa mbaya sana.
Unaweza nipa link ya hicho kifaa au ni cha kienyeji??Tukipata vipimo vile vya Senegal vya TZS 2300 kila anayejisikia atakuwa anajipima mara moja kwa wiki ili kama amepata maambukizi aanze kupambana nao mapema kabla mwili haujaanza kuonyesha dalili ambazo hupelekea kifo
Usikate tamaa mkuu,kama kweli dhamila ya kuokoa jamii ipo,hilo linawezekana. Endapo tu serikali itatambua umhimu wa wananchi wake, hatua ya kwanza ya kukabiliana na maambukizi,ilishindikana.Duuuuh! Tunaongoza EA kwa sasa! Wacha tu nchi majirani watutenge maana tunasambaza hili gonjwa makusudi sasa! Kama hatuchukui hatua proven na WHO na wataalamu wabobezi maana yake tunafanya makusudi mazima kulisambaza!
Hiki kiburi sijui kinatoka wapi! Ewe Mola wetu tuepushe na balaa hili.
GUsanisha🎶cha mtu mavi wanashikaga ukuta ehhh🎶🎶
Hawezi kujibu swali Hilo...naye amesikia tu...very disturbing....binafsi nachukia uzushi na kutisha watu...ukisema watu wanakufa makumi kwa makumi wakati huna uhakika ni mbaya Sana na huko kutisha watu....ni kweli watu wanakufa lakini makumi kwa makumi hiyo hapana,..Una uhakika na hizo taarifa. Na wewe je umeshuhudia hayo makumi ya wanaokufa.?
Swali naomba unijibu.
Once a legend said "If you are good at something, never do it for free"
Kila serikali na utendaji wake, hawawezi kufanya kama anavyofanya fulani, hata wewe nyumbani kwako una taratibu zako na maamuzi yako mkuu.Hebu na wewe tuambie ni nini kimewafanya wakae kimya siku zote hizo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi dadangu, mbona unarukia treni kwa mbele?! Post haikuhusu wewe, sasa how come unatoa povu?! Niliyem-tag haja-mind, unakuja ku-mind wewe?! Au ni mumeo?! Au meachika au umeletewa nyumba ndogo na kwahiyo stress zako za kuachwa unazileta JF?!Kama ni corona hii iliyopo duniani, hata wa kwenu watakufa na hasa wewe tena maiti yako itachukuwa muda kuonekana. Kwa kuwa unaishi kama digidigi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusivamiane ovyo ovyo mkuu, we kama unaona huna hoja basi tulia tu mkuu.kwani wewe unateseka?
Kwani unadhani tatizo lenu ni kutoelewa?! Mnaelewa sana ila tu mnajitoa ufahamu wengine kwa kutetea matumbo yenu, wengine kwa sababu za kisisasa tu, na wanaokera zaidi ni wale walioapa kutetea kila kitu kwa sababu tu Rais ni Msukuma mwenzao kama ambavyo Gwajima alivyopata kuhamasisha watu kufanya hivyo simply because Magu ni Msukuma mwenzao!Hahaha nadhani Mimi unayeniita mpuuzi naelewa zaidi kuliko wewe...sitaweza kufafanua zaidi ila ufahamu hivyo....
Jambo lolote lile takwimu ni sahihi, na ukumbuke hizi takwimu zinatumiwa mpaka na WHO, EU ama AU katika kufanya maamuzi ya kutoa msaada pale utakapoitajika kwa nchi inayokuwa imeelemewa. Usifikiri inatangazwa tu kama fashion na pia ikigundulika kuna udanganyifu uwezekano wa kupigwa vikwazo na mataifa wafadhili ni mkubwa.Ningekua mimi ndie nina maamuzi ya kuliende hili,nisingetangaza kifo wala maambukizi,jitihada zingekuwa katika kuwaelimisha watu kuhusu huu ugonjwa.Hakuna tija katika kutangaa vifo wala idadi ya wagonjwa.Kuna malaria yanaua,kuna magonjwa mengine yanaua kila kukicha,kwanini tulazimike kuagaza corona_
Senegal trials begin for $1 COVID-19 test kitUnaweza nipa link ya hicho kifaa au ni cha kienyeji??