Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Nimeuliza kuhusu kujifukiza.
Ila hio unayowaza ni ndoto, mapolisi.
Once a legend said "If you are good at something, never do it for free"
Dah, wewe mkuu unakimbia swali.Hata PM na Ummy pia wamempotezea sasa. Wanavaa mask alizosema zimewekewa vizuri vya corona. Haya yote mawazo yake ni ya kichawi. kama unamwamini utakuwa mchawi pia.
Dah, wewe mkuu unakimbia swali.
Kujifukiza ni ushirikina?
Once a legend said "If you are good at something, never do it for free"
Tukipata vipimo vile vya Senegal vya TZS 2300 kila anayejisikia atakuwa anajipima mara moja kwa wiki ili kama amepata maambukizi aanze kupambana nao mapema kabla mwili haujaanza kuonyesha dalili ambazo hupelekea kifoMy Dear friend, unachekesha saana, kufanya test hata hiyo UK with all the resource they , they can not do 100%
2. Kufanya test hakuzui mtu kuugua .
Mfano Leo wanifanyie Mimi wakiona all clear lakini kesho yake nikapata hiyo ,virus.
3 kuhusu Kenya au Jirani zetu kujilinganisha nao sio uungwana na hatupo kwenye mashindano hayo
Hahahah mkuu hujajibu swali.Kaulize huyo mwenye imani za kishikina mwenzio huko chattle.
Hahahah mkuu hujajibu swali.
Pole sana chief,.Wagonjwa tunajua wako wengi sana, maana hata mimi hapa nina dalili zote za corona lkn bado sijaenda kupima ili waniingize kwenye data zao.
Swali la msingi ni kuna vifo vingapi mpaka sasa?
Unforgetable
Wewe ni msemaji wa wananchi?Wameshapoteza imani kwa wananchi. Hawawezi kuaminika tena kuanzia sasa na kuendelea.
Una uhakika na hizo taarifa. Na wewe je umeshuhudia hayo makumi ya wanaokufa.?Unacheka wakati watu wanakufa na kuzikwa usiku katika makumi na makumi kwa sababu ya maamzi ya kijinga ya mtu mmoja?
Kwahiyo sasa hivi anaaminika nani?
Basi sawa. Sisi wengine tutaendelea kuiamini Serikali.Akina Mange Kimambi na Kigogo2014! Sasa kama Serikali inashindwa kutekeleza wajibu wake ipasavyo, huoni wananchi watawaamini hata wapiga ramli!
Kuna mpuuzi mmoja anajiita 1954 nadhani hivi sasa ataelewa ni wapi kuna maambukizi mengi kati ya Tanzania na Kenya!!
Na ukweli ni kwamba, hapo wamepunguza sana idadi hadi waliopoona aibu kwamba hawawezi kupunguza zaidi na kuamua kutaja hao 174!!
Na Misukule ya Lumumba na ile Misukule ya Jiwe, endeleeni tu kutetea ujinga cuz it's a matter of time kabla hamjaanza kuzika wazazi, waume na watoto wenu wakati mnayemtetea akiwa kajificha kijijini kwao
naona sasa mnaachia takwimu taratibu taratibu kwa maelekezo maalum toka chato
Ahsante kwa taarifa japo ipo hapa tangia asubuhi!Taarifa imetolewa na waziri mkuu Kassimu majaliwa!View attachment 1434654
Hata timu yako ya mpira ikifungwa, siyo vibaya kushangilia timu pinzani.Uta-support hata ushirikina wa kufukizwa na majani ya migimba mpaka lini? Kuna ya ku-support na mengine ya kukaa kimya tu.
Ukishajifukiza ni kuja kusumbua JF!Yaani mtu unaweka ahadi kwa kitu ambacho hauna control nacho na unaruhusu watu wakutukane.
Basi mkuu, uwe na jioni njema kama nimekukwaza samahani sanaUkishajifukiza ni kuja kusumbua JF!