Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikiliza BBC swahili ya jana usiku wamemaliza kila kituWako wapi hao wengine mkuu
Eti uwekewe? Wtf![emoji16][emoji16][emoji16].wabongo tuna tabu sanaa.
Haya tuwekee idadi yako sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kabla ya Covid -19 watu walikuwa wanakufa na kuzikana. Kwa hiyo hata waliokufa kwa magonjwa mengine unataka watangazwe?Vifo sita wakati kila kona ya nchi kwa kila mkoa watu wanazikwa kila siku!Wewe huna macho wala masikio?Naendelea kusisitiza kuwa siku wakitangaza vifo niite mbwa!
Siombei mabaya kwakweli. Sipendi nchi yangu ifike pabaya. Ila sasa kwa maamuzi ya mijemko mixer siasa.. soon wenyewe wataanza kurudi kwenye reliWaliopinga lockdown naona siku siyo nyingi kushushiwa kifungo cha nyumbani kunusuru Tanganyika.
Hutaki tena kuitwa Mbwa? Unakigeugeu mbwa weweVifo sita wakati kila kona ya nchi kwa kila mkoa na kwa kila siku watu wanazikwa kila siku? Huna macho? Huna masikio? Wewe ni mbumbumbu wa kung'amua mambo?Bosheni/danganya macho unaziita ni vifo?
Kwahiyo wakiwa zaidi ya hao unataka uwapike ule nyama? acha ujinga wewehawa waongo, wako zaidi ya hao
Mh...Unalinganisha mkojo na mavi
angalia BBC swahili ya jana usiku na Salim Kikeke wamemaliza kila kitu mimi sina cha kuongezea
Vp ile namba 13 ya Arusha??
angalia BBC swahili ya jana usiku na Salim Kikeke wamemaliza kila kitu mimi sina cha kuongezeaKwahiyo wakiwa zaidi ya hao unataka uwapike ule nyama? acha ujinga wewe
angalia BBC swahili ya jana usiku na Salim Kikeke wamemaliza kila kitu mimi sina cha kuongezeaTupe data zako wewe mkweli
... marehemu walioripotiwa humu JF siku tatu hizi ni zaidi ya 6! Ajabu sana hawa watu.We Mbwa wametangaza vifo 6 zaidi japo sina imani na hiyo idadi....
sawa but angalia BBC swahili ya jana usiku na Salim Kikeke wamemaliza kila kitu mimi sina cha kuongezeaStupid
Weka idadi yako sasa
hao WHO ndo baba yako au mama yakoDuuuuh! Tunaongoza EA kwa sasa! Wacha tu nchi majirani watutenge maana tunasambaza hili gonjwa makusudi sasa! Kama hatuchukui hatua proven na WHO na wataalamu wabobezi maana yake tunafanya makusudi mazima kulisambaza!
Hiki kiburi sijui kinatoka wapi! Ewe Mola wetu tuepushe na balaa hili.
unawashwa wee, unajua maana ya pigia mstari? Wazazi tunapata shida sana watoto wa sekondari tumewapa simu tumie kusoma mafanya kuchangia kwa majina ya wazazi wenuUkiwemo wewe!