COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

ccm mbele kwa mbele , hatimaye Tanzania nambari wani afrika mashariki. ccm mbele kwa mbele.
Mbele kwa mbele corona iteketeze watanzania wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu na kupata pesa nyingi toka WHO
 
Umuhimu wa kukaa vijiweni vibarazani mikusanyiko kuendelea kueneza maambukizi ndiyo umeupenda zaidi siyo?
Kama tatizo ni hilo mbona kila siku tunatangaziwa tuepuke mikusanyiko isiyo na lazima? Kuna haja gani ya kutangaza vifo kama mnavyotaka vitangazwe kila dakika?



MAGUFULI4LIFE.
 
Kwa namna hili janga linavyoshughulikiwa hata kuwa na idadi kamili kwa sirikali inawezakuwa ngumu! Infact watanzania walikuwa hawahitaji namba ila ni status/ trend tu. Hivyo hata angesema tu namba ni kubwa kama 700 hivi bado taarifa ingekuwa na mashiko rather than iliyotolewa kwa sababu wana masikio na macho. Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.
 
Sio siri! SeriKALI inajiondolea uhalai wa kusimamia uchaguzi mkuu kupitia tume yake ya uchaguzi.
Taarifa zinatolewa kwa matakwa ya mtu mmoja! ambaye kwenye uchaguzi mkuu naye eti ni mfaidika! Unatarajia tuwaamini kweli?

Natoa wito, sisi wapigakura tunaona uchaguzi usimamiwe na Guterez.
 
Sio siri! SeriKALI inajiondolea uhalai wa kusimamia uchaguzi mkuu kupitia tume yake ya uchaguzi.
Taarifa zinatolewa kwa matakwa ya mtu mmoja! ambaye kwenye uchaguzi mkuu naye eti ni mfaidika! Unatarajia tuwaamini kweli?

Natoa wito, sisi wapigakura tunaona uchaguzi usimamiwe na Guterez.
Mkuu tupambane na Corona kwanza......hayo ya uchaguzi yasubiri!
 
Hata timu yako ya mpira ikifungwa, siyo vibaya kushangilia timu pinzani.Uta-support hata ushirikina wa kufukizwa na majani ya migimba mpaka lini? Kuna ya ku-support na mengine ya kukaa kimya tu.
Wacha uongo wasemaji wa taarifa za huu ugonjwa ni wanne tu. Rais, Makamu wa rais, Waziri mkuu na Waziri wa Afya.
Waziri mkuu yupo kwenye list kama limekukera shauri yako.
 
Vifo sita wakati kila kona ya nchi kwa kila mkoa watu wanazikwa kila siku!Wewe huna macho wala masikio?Naendelea kusisitiza kuwa siku wakitangaza vifo niite mbwa!
Mbona unapendwa kutukanwa sana mkuu?
 
Hadi kufika June 1, itakua inachezea kesi 5000+ kwa namba za serikali, zaidi ya 21000 kwa takwimu ya kawaida



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom