COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

Naumia sana maana nina ndugu wengi wana HIV,ninalia kwa ajili yao. This Covid is becoming worse and worst.
Pole sanaa...
Nimejarb kuangalia reaction yyt inayofaa kwa comment yako nikakosa ikabd niku quote tuu..
Pole
 
yani kenya tu hapo kila siku wanaongezeka pamoja na lockdown na watu wanalia njaa wanataka kutoka alafu jitu kisa lipo kwa shemeji yake linalilia lockdown

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naumia sana maana nina ndugu wengi wana HIV,ninalia kwa ajili yao. This Covid is becoming worse and worst.

Sure, because our society has a lot of immuno-compromised persons. We are all skittish of their poor health
 
Hii mijama ni zaidi ya mipumbavu mkuu, yani kenya tu hapo kila siku wanaongezeka pamoja na lockdown na watu wanalia njaa wanataka kutoka alafu jitu kisa lipo kwa shemeji yake linalilia lockdown

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huna sababu ya kutukana watu,wewe kachape kazi usife na njaa,Magufuli kishatoa magari mapya ,25 ya kuwapeleka kazini na makonda katangaza guest 25 za kulala bure Kama umepiga kazi sana na ukaona kurudi home kwako ni kupoteza muda,please kachspe kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…