CPA(T) v/s MASTERS


Haha haha, hii yako kali aisee
 
Wazee CPA ni kama leseni ya uhasibu sio academic, ndio maana inaitwa certified public accountant (Tanzania) pia kuna ya Kenya CPA(K). Hata ukiwa na master ya uhasibu kama hauna CPA hutambuliki kitaaluma kwa kuwa sio registered, utaratibu ni wa kidunia na upo kwenye professionals zote, Udaktari, kwa mfano ukigraduate muhimbili medicine 5years. Usipoenda interniship ya 1year km daktari mwanafunzi huwi daktari pia Engineers wakimaliza degree ya 4yrs kama asipofanya mitihani ya Bodi ya maengineers ERB bado hatàmbuliki kwahiyo master ina nafasi yake na CPA ina nafasi yake hazina uhusiano, ni kama ilivyo kwa Lawyers ukimaliza degree ya sheria 3yrs usipoenda 1yr. School of Law bado hutambuliki na wanachama certified.
 

kama ukikariri unafaulu basi ukielewa utafaulu zaidi...
 
kwenye fani ya uhasibu CPA siyo kitu cha kuuliza, muhimu uwe nayo. ukiweza ukaamua kufanya ACCA, mimi ndo napigika nayo kumalizia. kila la kheri!!
 
Academically-Masters
Professionally-CPA
 
Naomba kujuzwa mambo mawili;

1.Vigezo vya Kujiunga na Chama cha Wahasibu(TAA)
2.Sheria inayomlazimisha Mtu kuwa na CPA(T) ndiyo aruhusiwe kuanzisha Auditing/Accounting Firm.
 
nashauri apige masters kwanza ndio afikirie CPA japo inategemea pia na position yako hapo ulipo inahitaji nini sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…