CPA ya Issa Masoud Simba ichunguzwe kwa kuongea pumba, utumbo, ujinga na kukosa weledi

CPA ya Issa Masoud Simba ichunguzwe kwa kuongea pumba, utumbo, ujinga na kukosa weledi

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Jana usiku, nilikuwa mmoja wa watu niliobahatika kuona mahojiano ya baadhi ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba kwenye social media moja, nilisikiliza sana hoja za mjumbe anajiita CPA Issa Masoud Simba.

Ndugu zangu, taaluma ya CPA inayotolewa na NBAAA sio mchezo, hii ni body ya wakaguzi na wahasibu nchini, mnaweza kufanya mitihani watu 100 mkafaulu wawili tu, zamani ukiambiwa jamaa ana CPA ukikuwa unatetemeka, huyo mheshimu sana, na siku hizi hata serikalini ukiwa na degree ya accountancy au masters degree wewe bado kitaaluma, CPA ndio mpango mzima.

Sasa huyu jamaa ambaye kwa kweli nashindwa kuamini kama wanachama walimchagua wakiwa na Akili timamu ama LA.

Kwanza unawezaje kuwa msomi halafu unaita press kuongelea mambo yanayohusu kampung ambayo ni taasisi nyeti kama simba ukiwa baa?

Pili, umeita waandishi wa Habari wasiokuwa na uelewa na masuaka ya kampuni ambapo matokeo yake wengi hawajaelewa kama alikuwa akiongea kitaaluma au mipasho

Tatu, umealika wanachama wasiokuwa na uelewa na masuaka ya kampuni ili umshambulie MO wakuone wewe ni msomi, unajitambua na MO ndio tatizo.

Nne na kubwa zaidi, umeshindwa Kabila kufafanua dhana ya kampuni.CPA mzima umeshindwa kueleza dhana ya kampuni? Hao waandishi na wanachama uliokuwa ukiwavesha jana ulikuwa unawasomea Memorandum of association na articles of association yawn AOA, hayo mambo Hao wanachama na waandishi uliowakusanya jana wanaelewa nini?

Sisi tunaojua MOA na AOA ndio ungetuita ili tukupime hiyo CPA yako, hivi Simba haina company secretary hadi hayo uliyokuwa ukieleza na kupotosha yatokee.

Wewe unayedai una CPA umedhalilisha sana taaluma, mchakato wa transformation is yet to be completed, hizo MOA na AOA Zina Faida gan

Umeshikilia kuwa hamtajiuzulu hamtajiuzulu kwa sababu Mo anataka hela alizokuwa anasaidia ziingizwe kama deni, Simba ina hisa 51 na MO 49, we c una CPA Simba imetoa nn had leo, MO hatoi hela, hujaeleza nani analipa salaries wachezaji and other remunerations.

Hujaeleza majukumu yenu nyie kama board of directors ni yepi, we umeshikilia hela haitolewi.Simba haifanyi vzr nani amesababisha tupigwe mabao 5 ya mchongo kama sio uzembe wenu?

Halafu umewaudhi sana wanasimba ulipopinga usajili unaoendelea kufanywa na kamati ya usajili, we Ina Akili wewe, unaweza kusajili wewe zaidi ya kunuka mdomo tu.

Kuhusu kujiuzulu unajifurahisha tu, watafute akina Ngonya, Juma Salum ahaa wameshatangulia mbele ya haji Hao, hata mzee Dalali mtafte atakwambia simba wakitaka Jambo Lao utaondoka tu.

Nimeona pia Leo shaffih amepost sana video zako Bw.CPA, kumbe siri zote za simba unampaga wewe.Shame on you all.

Nitaandika Barua kesho kuiomba NBAAA kuchunguza uliwezaje kutunukiwa CPA Makati uwezo mdogo.
 
Jana usiku, nilikuwa mmoja wa watu niliobahatika kuona mahojiano ya baadhi ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba kwenye social media moja, nilisikiliza sana hoja za mjumbe anajiita CPA Issa Masoud Simba.

Ndugu zangu, taaluma ya CPA inayotolewa na NBAAA sio mchezo, hii ni body ya wakaguzi na wahasibu nchini, mnaweza kufanya mitihani watu 100 mkafaulu wawili tu, zamani ukiambiwa jamaa ana CPA ukikuwa unatetemeka, huyo mheshimu sana, na siku hizi hata serikalini ukiwa na degree ya accountancy au masters degree wewe bado kitaaluma, CPA ndio mpango mzima.

Sasa huyu jamaa ambaye kwa kweli nashindwa kuamini kama wanachama walimchagua wakiwa na Akili timamu ama LA.

Kwanza unawezaje kuwa msomi halafu unaita press kuongelea mambo yanayohusu kampung ambayo ni taasisi nyeti kama simba ukiwa baa?

Pili, umeita waandishi wa Habari wasiokuwa na uelewa na masuaka ya kampuni ambapo matokeo yake wengi hawajaelewa kama alikuwa akiongea kitaaluma au mipasho

Tatu, umealika wanachama wasiokuwa na uelewa na masuaka ya kampuni ili umshambulie MO wakuone wewe ni msomi, unajitambua na MO ndio tatizo.

Nne na kubwa zaidi, umeshindwa Kabila kufafanua dhana ya kampuni.CPA mzima umeshindwa kueleza dhana ya kampuni? Hao waandishi na wanachama uliokuwa ukiwavesha jana ulikuwa unawasomea Memorandum of association na articles of association yawn AOA, hayo mambo Hao wanachama na waandishi uliowakusanya jana wanaelewa nini?

Sisi tunaojua MOA na AOA ndio ungetuita ili tukupime hiyo CPA yako, hivi Simba haina company secretary hadi hayo uliyokuwa ukieleza na kupotosha yatokee.

Wewe unayedai una CPA umedhalilisha sana taaluma, mchakato wa transformation is yet to be completed, hizo MOA na AOA Zina Faida gan

Umeshikilia kuwa hamtajiuzulu hamtajiuzulu kwa sababu Mo anataka hela alizokuwa anasaidia ziingizwe kama deni, Simba ina hisa 51 na MO 49, we c una CPA Simba imetoa nn had leo, MO hatoi hela, hujaeleza nani analipa salaries wachezaji and other remunerations.

Hujaeleza majukumu yenu nyie kama board of directors ni yepi, we umeshikilia hela haitolewi.Simba haifanyi vzr nani amesababisha tupigwe mabao 5 ya mchongo kama sio uzembe wenu?

Halafu umewaudhi sana wanasimba ulipopinga usajili unaoendelea kufanywa na kamati ya usajili, we Ina Akili wewe, unaweza kusajili wewe zaidi ya kunuka mdomo tu.

Kuhusu kujiuzulu unajifurahisha tu, watafute akina Ngonya, Juma Salum ahaa wameshatangulia mbele ya haji Hao, hata mzee Dalali mtafte atakwambia simba wakitaka Jambo Lao utaondoka tu.

Nimeona pia Leo shaffih amepost sana video zako Bw.CPA, kumbe siri zote za simba unampaga wewe.Shame on you all.

Nitaandika Barua kesho kuiomba NBAAA kuchunguza uliwezaje kutunukiwa CPA Makati uwezo mdogo.
Wewe ndio hauna akili Ujue, alichofanya muhusika ni kutumia lugha nyepesi kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa hadhira , hivyo approach yako haitoshi Ku disqualify uwezo wa kitaaluma kwa muhusika, ni Sawa na kwa daktari pia unataka azungumze terminology za kitabibu mtamuelewa?


CPA watu wameshamuelewa na ujumbe umeshafika. Kazi kwenu kuamua kusuka au kunyoa
 
Jana usiku, nilikuwa mmoja wa watu niliobahatika kuona mahojiano ya baadhi ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba kwenye social media moja, nilisikiliza sana hoja za mjumbe anajiita CPA Issa Masoud Simba.

Ndugu zangu, taaluma ya CPA inayotolewa na NBAAA sio mchezo, hii ni body ya wakaguzi na wahasibu nchini, mnaweza kufanya mitihani watu 100 mkafaulu wawili tu, zamani ukiambiwa jamaa ana CPA ukikuwa unatetemeka, huyo mheshimu sana, na siku hizi hata serikalini ukiwa na degree ya accountancy au masters degree wewe bado kitaaluma, CPA ndio mpango mzima.

Sasa huyu jamaa ambaye kwa kweli nashindwa kuamini kama wanachama walimchagua wakiwa na Akili timamu ama LA.

Kwanza unawezaje kuwa msomi halafu unaita press kuongelea mambo yanayohusu kampung ambayo ni taasisi nyeti kama simba ukiwa baa?

Pili, umeita waandishi wa Habari wasiokuwa na uelewa na masuaka ya kampuni ambapo matokeo yake wengi hawajaelewa kama alikuwa akiongea kitaaluma au mipasho

Tatu, umealika wanachama wasiokuwa na uelewa na masuaka ya kampuni ili umshambulie MO wakuone wewe ni msomi, unajitambua na MO ndio tatizo.

Nne na kubwa zaidi, umeshindwa Kabila kufafanua dhana ya kampuni.CPA mzima umeshindwa kueleza dhana ya kampuni? Hao waandishi na wanachama uliokuwa ukiwavesha jana ulikuwa unawasomea Memorandum of association na articles of association yawn AOA, hayo mambo Hao wanachama na waandishi uliowakusanya jana wanaelewa nini?

Sisi tunaojua MOA na AOA ndio ungetuita ili tukupime hiyo CPA yako, hivi Simba haina company secretary hadi hayo uliyokuwa ukieleza na kupotosha yatokee.

Wewe unayedai una CPA umedhalilisha sana taaluma, mchakato wa transformation is yet to be completed, hizo MOA na AOA Zina Faida gan

Umeshikilia kuwa hamtajiuzulu hamtajiuzulu kwa sababu Mo anataka hela alizokuwa anasaidia ziingizwe kama deni, Simba ina hisa 51 na MO 49, we c una CPA Simba imetoa nn had leo, MO hatoi hela, hujaeleza nani analipa salaries wachezaji and other remunerations.

Hujaeleza majukumu yenu nyie kama board of directors ni yepi, we umeshikilia hela haitolewi.Simba haifanyi vzr nani amesababisha tupigwe mabao 5 ya mchongo kama sio uzembe wenu?

Halafu umewaudhi sana wanasimba ulipopinga usajili unaoendelea kufanywa na kamati ya usajili, we Ina Akili wewe, unaweza kusajili wewe zaidi ya kunuka mdomo tu.

Kuhusu kujiuzulu unajifurahisha tu, watafute akina Ngonya, Juma Salum ahaa wameshatangulia mbele ya haji Hao, hata mzee Dalali mtafte atakwambia simba wakitaka Jambo Lao utaondoka tu.

Nimeona pia Leo shaffih amepost sana video zako Bw.CPA, kumbe siri zote za simba unampaga wewe.Shame on you all.

Nitaandika Barua kesho kuiomba NBAAA kuchunguza uliwezaje kutunukiwa CPA Makati uwezo mdogo.
Una wivu wa kike
 
Nafikiri alipaswa kuangalia mara mbili mbili kauli zake
 
Jamaa ana kama udumavu fulani ila nimeshtuka hata kichwani pia hayupo sawa. Kuna video nimeiona jana ya huyo jamaa aliwahi kusema kwa mdomo wake kuwa Mo alishaweka bil 20 na zipo kwenye account ya ESCROW. Leo anataka kumdhalilisha kuwa anadai hadi pesa za mchicha.
 
Mtoa mada ndio uchunguzwe kama una dii mbili kweli kabla ya kumshambulia cpat wa watu.
 
tuanzie hapa 👇🏾
huu usengerema kuanza na prefix ya cpa mmejifunza wapi? prefix ni dr. na eng. tu
 
Back
Top Bottom