Vote for davido...wizkid....Vanessa....saut Sol... Eti uzalendo ?? Wakati mnamtukana wema over zari mganda ambaye kutwa kuwadharau hamkujua kuwa kuna uzalendo??? Kwa wanaija walivyo wengi jumlisha team kiba wema na jokate Akishinda domo nakaa uchi stand ya ubungo siku nzima...
Aisee kweli watanzania tuna roho za korosho! Dah.... Sijawahi ona kitu kama hiki tangu niwe na akili..!!
Kwa muktadha huu, sishangai kwanin wanawapiga vita wabeba boxi...
Ni hivi mnatutesa Sana na mnatuumiza Sana kuacha kumpigia kura Mtanzania mwenzenu na kuwapigia kura wanaija,kisa na sababu zisizo za msingi sasa ni hivi pigieni hao wanaija,ila ikitokea siku Kiba nae akienda kushindania tuzo za Africa na wasanii wakubwa na sie tutalipa kuwapigia kura wengine tutamuachaaa Kina
Na ole wenu ,ole wenu tutawaona
Nasema tutalipa sie team Diamond
Yaoneni sura zenu mbayaaa mfyuuuuuuuuuuu ,
Jamani kwa wenye mapenzi mema na diamond tuendelee kumpigia kura najua baadhi ya team kiba wapo wanaompigia kura Daimond tuendelee kumpigia ashinde,Tanzania kwanza jamani mengine tuyaache
hatuihitaji matusi yametosha
mzurimie njoo na ile link watu waendelee kupiga kura,
Pigia kura Daimond,vanesa ,na sauti soul pia ,,pigien category zote msichoke jamanii.
MTVMAMA.Com
Nadhan nimeeleweka kadoda11 niitie hao wakenya kina NairobiWalker na wengine
Lingine tuacheni chuki haijengii
we subiri ifike hiyo siku na kweli utakaa uchi ubongo
Aisee kweli watanzania tuna roho za korosho! Dah.... Sijawahi ona kitu kama hiki tangu niwe na akili..!!
Aisee kweli watanzania tuna roho za korosho! Dah.... Sijawahi ona kitu kama hiki tangu niwe na akili..!!
Dina dai akimzidi davido kwa tuzo nakupa laki 2 cash. Mark my word. Tena akipata hata hiyo moja atakuwa amebebwa. May be anaweza pata ya kufutia machozi ila davido lazima atamfunika km ilivyokuwa kwa kiba.
Ndo maana watanzania hatuendelei ni wivu, roho mbaya, husda, unafki etc God have mercy!
Madam usipaniki..
Watanzania ni wapuuzi sana wakati mwingine, wanayemchukia hana hata mpango nao. Hawana any reasons za kufanya watakavyo.
Watanzania tuna visasi vya kijinga sana...
Vote for davido...wizkid....Vanessa....saut Sol... Eti uzalendo ?? Wakati mnamtukana wema over zari mganda ambaye kutwa kuwadharau hamkujua kuwa kuna uzalendo??? Kwa wanaija walivyo wengi jumlisha team kiba wema na jokate Akishinda domo nakaa uchi stand ya ubungo siku nzima...
Shikamoo kaka. Samahani lakini. Haya mambo unayoyaona hayajaanzia hapa. Ungekuwa unayajua yalipoanzia ungeshauri hizi team zivunjwe na sio kulaumu watu Wa upande mmoja. Huwa unafika kwenye post za diamond kiba na wema wanavyotukanwa as if wao ni paka wasio na faida yoyote? Yani Hata paka ana afadhali maana anaua panya.
Kwa mgomo huu kama dai na fans wake waana akili watajifunza na kubadilika
naweka kichwanii umesema utanipa laki mbili,haya tusubiriii sawa,huko hakuna cha kubebwaa unafikiri hizo ni za basata
Marhabaa mrembo...! Mimi mtazamaji tu, sina uzoefu kabisa wala sijawahi kuwa na timu yoyote. KTMA ndo imefanya nianze kuingia huku, mara naona matabaka...kweli nimestaajabu kwa hizi chuki. Mpigieni basi mtz mwenzenu, then akipata ndio mumsute..!!!
tunapinga. dimond akimzidi davido tuzo nakupa laki mbili kweli.davido akimzidi dai ndo basi tena laki mbili hutapata.
Na utabakiaga hivyo hivyo. Unashindwa kutenganisha biashara na personal feelings zako. Unashindwa kutofuatisha maslahi ya Tanzania na feelings zako za n-g-o-no.:becky:
Oh yeah...hilo ni dhahiri shahiri!
kwa Davido Tu au na wengine akiwapiga chini akanyakua tuzo??ngoja nipige kura zaidi nipate laki mbili hiyo