Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Hey niggas don't take it as if it's a matter of life and death. Hii ni normal kabisa hasa zinapohusika renown figures. Hata mwaka juzi Barcelona ilikuja Norway kucheza na velerenga (footbal club ya norway) ila huwezi kuamini wananchi Wa norway walitokelezea uwanjani na jezi za Barcelona. Hata kushangilia walishangilia sana team ya Barcelona kuliko yao ya nyumbani. Imagine tena barc walichezea Norway!! Na ukiongea uzalendo nchi hizi zinajulikana kwa kupenda vyao ila ndo yakatokea haya. So huwezi kuzuia watu kushabikia kile wakipendacho kwa kivuli cha uzalendo.
 
Heheheheheee kumekucha! Ngoja nije na screen shots za kutosha, anayeumia anipige ban kama anaweza...lol
Nampigia kura ninayemtaka, uzalendo mwisho kwenu huku kila mtu na yake.
 
"Watashindana lakini hawatashinda"-mzee wa upako

Oya ....sankoro

Kama ronaldo
 
Hahahaha shosti tuvote mwaya. Hawa moto wao ni wiki hii tu baada ya hapo kushney... Dharau zikizidi kinachofwata ni jeuri. Ngoja tulete jeuri.

Sawa mamy alafu mbona mimi navote no limit nimevot kama mara mia kwa kila category na nime deal na zile category ambazo domo yupo.
Alafu si walisema stoo ya kuhifadh tuzo yamejaa hamna pa kuweka nyingine sasa hiyo wanaitaka ya nini?
 
Sawa mamy alafu mbona mimi navote no limit nimevot kama mara mia kwa kila category na nime deal na zile category ambazo domo yupo.
Alafu si walisema stoo ya kuhifadh tuzo yamejaa hamna pa kuweka nyingine sasa hiyo wanaitaka ya nini?

Unatumia email?? Kama yes basi ndio sababu. Vote vote vote vote mtu hakatazwi kupenda akipendacho
 
Heheheheheee kumekucha! Ngoja nije na screen shots za kutosha, anayeumia anipige ban kama anaweza...lol
Nampigia kura ninayemtaka, uzalendo mwisho kwenu huku kila mtu na yake.

Leta mama leta mama
 
Bado kazi inaendelea hadi domo aombe poo
 

Attachments

  • 1434443644462.jpg
    40.6 KB · Views: 69
  • 1434443652802.jpg
    47 KB · Views: 68
  • 1434443663154.jpg
    47.9 KB · Views: 61
  • 1434443671702.jpg
    53.6 KB · Views: 65
  • 1434443679192.jpg
    41.8 KB · Views: 65
  • 1434443692681.jpg
    62.2 KB · Views: 66
  • 1434443704442.jpg
    47.5 KB · Views: 62
  • 1434443715162.jpg
    47.2 KB · Views: 57
Leo ndio mnamjua Mungu??? Si ni nyie bingwa Wa matusi??? We subiri kwanza nikavote kwa email baada ya kumaliza za facebook

Sasa unadhani wewe ukivote sisi tumelala Hahahahaha

Unajiona mshindi kwa kudhani kuwa hizo kura unapiga peke yako

Kwa taarira yako nipo likizo ya kazi.Ninapiga kura kwa dai na vannesa kama chizi bila kuchoka.

Kama Ronaldoooooooooooo pool!!!!
 
Sasa unadhani wewe ukivote sisi tumelala Hahahahaha

Unajiona mshindi kwa kudhani kuwa hizo kura unapiga peke yako

Kwa taarira yako nipo likizo ya kazi.Ninapiga kura kwa dai na vannesa kama chizi bila kuchoka.

Kama Ronaldoooooooooooo pool!!!!

Lakini kumbuka watz tuko milioni ngapi na Nigeria wako almost 4 times our population. Unadhani wanigeria wamelala?? Jumlisha kura za shabiki Wa kiba, wema, jokate, peni....na za wengine out of this cycle? Domo ni nani hata afurukute.....usipoteze kura yako....kafuge kuku wakati wa likizo ujiongezee kipato au chill umalize likizo yako salama
 
Hahahahah idris nomaaa
 

Attachments

  • 1434445701533.jpg
    28.6 KB · Views: 89



Kuna tatizo kwani?mbona povu!!!😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…