Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Mkuu Invisible unanifurahisha lakini ndio ukweli wenyewe. Disco likipigwa na mademu jamaa wanapagawa wiki moja kabla.
mzee mzima hapo kwenye nyekundu nikipata ufafanuzi siyo vibaya ili akija na mimi niwe nimejipanga........
Kumbe tuliosoma zamani humu tuko wengi aisee
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Kweli kabisa mkuu,
Kuwa wadau wengi sana, tena muhimu katika huu dunia ya MMU wamepotea sana....
Huyu Da Asha (@AshaDii) kapotea mno hadi anatia shaka. Kuna wadau wengine kama klorokwini, Nyamayao, WoS (@WomanOfSubstance)...na wengine kibao ambao naamini ni wazima ingawa kimya chao kinatia shaka.
Enzi hizo ilikuwa hatari kufungua JF kabla ya kuchapa kazi kwani uwezekano wa kukamatika ulikuwa mkubwa sana. Siku hizi hata ukifungua, bado utaondoka tu....Hakuna sumaku tena!
cc😡Mbu, The Boss, Fixed Point, gfsonwin, KOKUTONA, Preta, marejesho (huyu lazima nimfikishe kwa pilato ndani ya wk 2 zijazo), Blaki Womani, mwenyekiti PakaJimmy na wadau wengine kiboa.....!
This is nt the crazy thing i did bt rather a crazy thng that happened,infact crazy doesn't begin 2 explain t!! Ilikua ratiba cku hiyo ni nyama,sasa wapishi wanapika pan za kupikia ziko waz unfortunate bonge la mjuc likadondokea kwenye pan alafu hawakuona wala hawakujua nalo likapikiwa humo humo! Kasheshe likaanza mda wa kuserve chakula,jamaa m1 akaona nyama kubwa aka mkomalia anaeserve ampe akapewa!kupewa nyama yenyewe mjusi!! Ilikua ni vurugu mech,!chakula nilichokua nakula cha shule ni wali na nyama 2,baada ya hiyo issue,sikulaga msos wa shule mpaka namaliza!!
Ni kweli.......siku hizi bana imekuwa tofauti.......wengine tumebaki kuwa wasomaji tu........thread nyingi zimekuwa za namna namna.......ila tupo pamoja mkuu......
Huo sasa ni uchokozi mdogo wangu asakuta same....lol!!
Ngoja akija mwenyewe naamini atajitetea....Kwani kuna mtu anapenda kupelekwa kwa pilato??
ha ha ha ha ha ha..........
mpaka nimesahau kuandika vyangu.......
aksante sana Invisible , Dark City , Kongosho na wengineo wote kwa kutuchangamsha na visa vya zamani....
wapi Evelyn Salt , King'asti , lusungo , Karucee ,[MENTION]ralpunzel[/MENTION] , Jawilat , Arushaone , Preta , Mamndenyi , Mauno , masai dada watu8 Heaven on Earth , charminglady na wengineo
nakumbuka nikiwa kibaha sekondari nilifumwa gizani naimbisha mtoto wa mwalimu wacha kabisa second master alinipa kipondo heavy hadi nilisinzia
Second master alikuwa Noya mnoko??
Huyo huyo Mkuu hahaha unamkumbuka eeh
Namkumbuka sana huyo baba Noya....bahati nzuri tulikuwa washikaji sana pamoja na yule Mama Bonge ...lol
Hivi yuko wapi siku hizi??
Siku ya Graduation pale Mazengo Sec mwaka 1985, kiongozi wa sherehe alikuwa mshikaji wangu Kasanga. Basi nilimfuata na Kisadolini changu na akanijazia Pilau. Pilau la Mazengo miaka hiyo lilikuwa kali sana. Kwa wenyeji wa Dodoma watakuwa wanamkumbuka Mzee Mapilau na yale Mapipa yake (SHABA). Nilikula siku hiyo hadi nikawa siwezi kuhema. Jamaa walishangaa kuwa mbona hawaoni tumbo kutokea. Basi kutoka siku hiyo nikajulikana kuwa nina tumbo kama la Mamba, linafutuka pembeni.......
Upuuzi wa Mazengo ilikuwa ni chooni. Utakuta mtu anapita koridoni na karatasi yake anaipekecha ili ilainike.... "pyeke pyeke pyeke..." na akitoka huko basi anapita kwenye ule mti nyuma ya bweni la Mwongozo na kujipigapiga na mtawi. Hii ilikuwa inasaidia kuuwa ile perfume uliyoikwaa kule NYUMBA KUBWA. Ule mti ulikuwa na harufu moja kali sana na ukitoka hapo unanukia freshi. Mabinti wa Msalato, mlivumiliaje ile harufu??
nakumbuka form .3 nilihamia shule mpya, sasa kulikiwa na wababe watoto watandika acha tu, na bouncers kibao, sasa kwangu nilikuwa nafanya mazoezi yangu na akina matumla, sasa niña mwezi tu class ukaibuka ugomvi nikampiga upper cut mtoto wa displine Master akadonsha meno, tangu siku hiyo hakuna aliyenigusa....