CRDB bank inafilisika?

CRDB bank inafilisika?

I have been banking with CRDB for more than 7 years.pia nina account bank nyingine hapa nchini...im very impressed with their services yaani kwa ufupi wananijali mteja wao...mi nahisi kuna watu humu ndani wana chuki binafsi au wamelipwa ku-sabortage CRDB bank...and its a very cheap act and cliche`..
Handling recovery walio nayo customer services and Call center ya CRBD is way up there!! Kwa kweli nawapongeza...nilipokuwa nje ya nchi nilikuwa natumia my tanzanite account...i had no problem with them...hata nikiwa na query i get response with the speed of light...
Big up CRDB for the outstanding services..jamani watu tuache majungu..i say it again no facts no right to speak.
 
Nadhani mtoa mada atakuwa na lengo zuri na CRDB, ndio maana ameelezea mahali penye mapungufu. Mteja anaeweza kueleza dukuduku juu ya huduma anayopata ni bora kuliko mteja ambae haridhiki na huduma alafu hasemi.
Ukweli ni kuwa unaposema CRDB ni bank bora, bank nzuri, bank kubwa n.k. yote hayo sio kitu kama wateja wake hawaridhishwi na huduma wanayopata.
Sasa hivi Biashara sio majengo makubwa na mzuri, wala sio ukubwa wa taasisi kama ilivo kwa CRDB, bali biashara ni wateja. Kitu CRDB anapaswa kufanya ni kushughulikia mapungufu yote yanayotoka kwa wateja.
 
musacha Kama angekua na lengo zuri nadhani mahala sahihi ni kuwafikishia wahusika sio kututisha kuwa benki inafilisika wakati benki inazidi kukua kila kukicha.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mabenki yangekuja huku Tz kwa kuhudumia wateja wa pato lolote haya mabenki yangekufa long time...

Lakini iko siku tu kuna atakayekuja kuwatia adabu...si mnakumbuka Shoprite walivyokuwa wanajiona keki...wako wapi wamepaki na kutimua...

Card yangu ya CRDB huwa kuna siku ATM inaikataa...yani inabidi nitafute ATM nyingine...kesho hiyo ilokataa inaikubali...basi sasa tufanyeje na ndo mibenki yetu...

Hao Lumumba mimi kadi yangu ilimezwa nikakaa kwenye kiti wanachotolea kadi zilizomezwa zaidi ya saa...wanapita tu na kuniangalia kama mimi invisible...nikaamua kutimua...na waliokuwa nyuma yangu wakaondoka wanatukana...

Nikajiuliza hii tawi haina meneja wa customer service? Anafanya kazi gani?

Sasa sijui mishahara ni midogo hadi wateja tuonekane mizigo au?
 
Comment yako imeenda shule...haya watetezi waje wakupinge...ha ha ha...kuwa juu kwa kampuni ni share values...iweje share value ya CRDB idumae???

Wewe ndio umefumbua watu macho...mimi nilikuwa nalalamika kama mteja tu...maana sina hata share huko....


Chimbilili ningekushaur next tm ucandike jambo usilo lijuwa, kwa nilazima ujuwe crdb ni plc wakati nbc ni Ltd! Pia kwa taarifa tu ukwasi ilio nao NBC nimkubwa kushinda wa Crdb plc na nirahisi sana kulijuwa hilo, kaiulize serikal kwanini hataki kutoa zile hisa zake kwa wazungu? Jibu ni moja tu inajuwa thaman naukubwa wa hii bank. Mimi nina hisa crdb zaid ya elfu na kitu lakini naweza sema hisa zangu zimedumaa ukilinganisha na hisa nilizo nazo NMB PLC, ukianza tu na hisa crdba plc hamna kitu wanapika report nakwakuwa nchi yetu mambo huwendeshwa kisiasa basi bora liende tangu crdb auze hisa yake mpaka leo haijawah vuka tsh500/= inashindwa hata na DCB. Sasa ujiulize nini kinafanyika ndani ya hii bank? Jambo lingine ambalo hatupaswi kushabikia hivi majuz umoja wa ulaya umeikopesha crdb mamilion ya EUR ili ku bust ukwasi wake which means wanatumia zaidi yakile walicho nacho hapa pia ni red light huwez linganisha hata punje na NBC, Jambo lingine hv majuz wameifund serikal mamilion unajuwa athari zake ktk mzunguko wa bank? Hapa csemi nadhan unitafute nikwambie. Crdb wameanzisha projects nyingi ikiwamo ile ya electron ticket ambayo ime fail jambo ambalo litaenda kuwalete haza kubwa uko mbelen. Kama ujuwi hawa jamaa wanakopesha na mahali wamefikia naweza sema ni red line nakwakuwa siasa na propaganda ktk vyombo pesa vinawezekana lazima kunasiku ukweli utajulikana. Jambo lingine la hatari sana ni expenditure hapa pia kuna red light huwez kamwe kulinganisha crdb plc ktk matumiz na NBC kamwe haitowe zekana. Na pia kwa taarifa tu hata crdb wazungu wapo tena huwenda uko tuendako itakuwa pia ya wazungu maana tayari kuna red light ktk uwendeshaji. Jaman yapo meng ila haya ni kwa ufupi tu japo BOT ndie anae weza twambia ikiwa crdb anaenda filisika au laa no me or u. Thx
 
Na makampuni ya simu yanawashikisha adabu mdogo mdogo...maana sasa hivi CRDB nao wana vibanda vya kuweka na kutoa pesa....na wanatoa Passo...

Nilikuwa nacheka siku moja na mume wangu baada ya kusikia tangazo...nkasema sasa hii benki au kampuni ya simu...na bado...wameamua ku join TIGO na M-Pesa
 
Na makampuni ya simu yanawashikisha adabu mdogo mdogo...maana sasa hivi CRDB nao wana vibanda vya kuweka na kutoa pesa....na wanatoa Passo...

Nilikuwa nacheka siku moja na mume wangu baada ya kusikia tangazo...nkasema sasa hii benki au kampuni ya simu...na bado...wameamua ku join TIGO na M-Pesa

Zumbukuku ulimwengu uko huku.
 
Zumbukuku ulimwengu uko huku.

Hiyo agent banking concept haijaanza leo duniani. Imeshapata mafanikio makubwa sana Brazil, indonesia na hata Kenya. Lengo ni kuwafikia watu wengi zaidi katika gharama ndogo iwezekanavyo. Watanzania 13% ndio wamefikiwa na mabenki. Halafu wewe unadhihaki agent banking. Kuna umuhimu sana wa kujisomea ili kupata ujuzi wa vitu kama hivi. Kampuni za simu sio direct competitor wa mabenki.
 
Wewe peleka feedback CRDB...wateja tuna kero...badala ya kuwa busy kutujibu...
Ndio tatizo ya ngozi nyeusi...badala ya kusema kero yenu tunashughulikia unatafuta ku justify kila kitu...

Huo umuhimu wameuona baada ya TIGO na VODa kukamata fursa?

Huko Brazil unakozungumzia kuna TIGO na M Pesa? Unajua kuwa hizi sijui M Pesa haziko latin America??????
Sisi tumeshafikiwa na huduma za kutuma na kupokea pesa kwa simu...wao waboreshe huduma za kibenki badala ya kuwa ambitious kufikia kila mtu...na kuishia kuwapoteza hata walio nao mkononi...


Hiyo agent banking concept haijaanza leo duniani. Imeshapata mafanikio makubwa sana Brazil, indonesia na hata Kenya. Lengo ni kuwafikia watu wengi zaidi katika gharama ndogo iwezekanavyo. Watanzania 13% ndio wamefikiwa na mabenki. Halafu wewe unadhihaki agent banking. Kuna umuhimu sana wa kujisomea ili kupata ujuzi wa vitu kama hivi. Kampuni za simu sio direct competitor wa mabenki.
 
Inaanza kutia sana wasiwasi habari za mtaani kuwa CRDB inachoka. Huduma zake nyingi zimechoka. Simu yao ya call centre imezikwa kabisa. Huduma matawini bora liende na hamna jipya last 10 years in terms of upgrading customer services. Fall in ni ndefu wakati siku hizi bank kubwa zote zinakuwa na electronic system to register customers as they enter the bank and wait while seated. Hii ni rahisi. Dalili kubwa ni ATMs mara nyingi hazina fedha, mtandao na cards kusumbua, na call centre kuwa kaburini, simu zote zilizopo online katika contact page hazipokelewi na nyingine zimekufa.


CRDB inakufa kwa kuwa kauli mbio yao haifanyiwi kazi tena na hivyo haina uhai tena -- "The Bank that listens" and when a dying process has started you will see all that the 'Bank that is Deaf'

Customers beware


Bankruptcy is a legal status of a person or other entity that cannot repay the debts it owes to creditors. In most jurisdictions, bankruptcy is imposed by a court order, often initiated by the debtor.
Hizo ulizotaja wewe si dalili za kufilisika. Wewe utakuwa unafanya kazi benki pinzani unataka kuichafua benki hiyo. Ni kosa la jinai maana hujathibitisha kuwa ni kweli benki inafilisika bali umeweka "kauli mbiu" kana kwamba ndio dalili za kufilisika.
Kifungu cha 3 cha sheria ya mufilisi imeweka conditions zifuatazo kuwa ndio dalili za mufilisi.
Acts of bankruptcy​
[FONT=Arial,Arial][FONT=Arial,Arial]
(1) A debtor commits an act of bankruptcy in each of the following cases– (a) if in Tanzania or elsewhere he makes a conveyance or assignment of his property to a trustee or trustees for the benefit of his creditors generally; (b) if in Tanzania or elsewhere he makes a fraudulent conveyance, gift, delivery, or transfer of his property, or of any part thereof; (c) if in Tanzania or elsewhere he makes any conveyance or transfer of his property, or any part thereof, or creates any charge thereon, which would under this or any other Act be void as a fraudulent preference if he were adjudged bankrupt; (d) if with intent to defeat or delay his creditors he does any of the following things, namely, departs out of Tanzania, or being out of Tanzania remains out of Mainland Tanzania, or departs from his dwelling-house, or otherwise absents himself, or begins to keep house; (e) if execution against him has been levied by seizure of his goods in any civil proceedings in any court, and the goods have been either sold or held by the bailiff for twenty-one days: Provided that, where an interpleader summons has been taken out in regard to the goods seized, the time elapsing between the date at which such summons is taken out and the date at which the proceedings on such summons are finally disposed of, settled, or abandoned, shall not be taken into account in calculating such period of twenty-one days; (f) if he files in the court a declaration of his inability to pay his debts or presents a bankruptcy petition against himself; (g) if a creditor has obtained a final judgment or final order against him for any amount, and, execution thereon not having been stayed, has served on him in Tanzania, or, by leave of the court, elsewhere, a bankruptcy notice under this Act, and he does not within seven days after service of the notice, in case the service is effected in, and in case the service is effected elsewhere, then within the time limited in that behalf by the order giving leave to effect the service, either comply with the requirements of the notice or satisfy the court that he has a counter-claim set-off or cross-demand which equals or exceeds the amount of the judgment debt or sum ordered to be paid, and which he could not set up in the action in which the judgment was obtained, or the proceedings in which the order was obtained. For the purposes of this paragraph and section 4 of this Act, any person who is, for the time being, entitled to enforce a final judgment or final order, shall be deemed to be a creditor who has obtained a final judgment or final order;​
(h) if a debtor gives notice to any of his creditors that he has suspended, or that he is about to suspend, payment of his debts.
[/FONT]
[/FONT]
 
Mtasubiri sana CRDB kufilisika. Dua la kuku hilo......

We kama una shida ya huduma sema ukiwa hapohapo. Sio kulialia mitandaoni. Wao ndo kwaanza wanafungua matawi nje ya nchi.

Nachokijua kuna wafanyakazi CRDB wana nyodo sana. But huwa hawadumu.

Natumia hii benki tangu 2003. Na sioni mbadala wake. Nina akaunti benki 5 zngne na panapokua na nafuu ni zile benki zinazotoza gharama sn kuwa na akaunti. Mfn CBA.

Wafanyakazi wa benki zingine zote wanatamani sana kuajiriwa CRDB. Usinambie eti hawajui ya ndani!!

Kwamba CRDB wanatoa huduma ya pesa za mitandao ya simu, mbona wao wanaweka pesa benki? Biashara ni ubunifu!

If anything, tunapaswa kujivunia CRDB ilhali twaikosoa chanya na si kuiombea ife eti ili tubaki na benki za Togo, Kenya, Nigeria na ZA.
 
Mshiiri na TumainEI, kufilisika wakati inapata faida?

Na kama mna uhakika/taarifa rasmi inapika hesabu, pelekeni BOT na mamlaka ya masoko na mitaji. Humu mnaonekana mna wivu tu.......
 
Last edited by a moderator:
Wewe peleka feedback CRDB...wateja tuna kero...badala ya kuwa busy kutujibu...
Ndio tatizo ya ngozi nyeusi...badala ya kusema kero yenu tunashughulikia unatafuta ku justify kila kitu...

Huo umuhimu wameuona baada ya TIGO na VODa kukamata fursa?

Huko Brazil unakozungumzia kuna TIGO na M Pesa? Unajua kuwa hizi sijui M Pesa haziko latin America??????
Sisi tumeshafikiwa na huduma za kutuma na kupokea pesa kwa simu...wao waboreshe huduma za kibenki badala ya kuwa ambitious kufikia kila mtu...na kuishia kuwapoteza hata walio nao mkononi...

Tatizo lako ni uelewa mdogo. Suala sio tigo wa Mpesa. Agent huyo huyo anaweza kuwa wa tigo, Mpesa, CRDB, MaxMalipo, Equity etc! Nani ka kwambia Brazil hakuna Tigo?. Unajua agent banking model imeanzia wapi? Kwa taarifa yako NMB, NBC, Equity, DCB wote wana mawakala. Sioni tatizo hapa. Again jaribu kusoma ili ufute ujinga. Una huzunisha sana
 
Inaanza kutia sana wasiwasi habari za mtaani kuwa CRDB inachoka. Huduma zake nyingi zimechoka. Simu yao ya call centre imezikwa kabisa. Huduma matawini bora liende na hamna jipya last 10 years in terms of upgrading customer services. Fall in ni ndefu wakati siku hizi bank kubwa zote zinakuwa na electronic system to register customers as they enter the bank and wait while seated. Hii ni rahisi. Dalili kubwa ni ATMs mara nyingi hazina fedha, mtandao na cards kusumbua, na call centre kuwa kaburini, simu zote zilizopo online katika contact page hazipokelewi na nyingine zimekufa.


CRDB inakufa kwa kuwa kauli mbio yao haifanyiwi kazi tena na hivyo haina uhai tena -- "The Bank that listens" and when a dying process has started you will see all that the 'Bank that is Deaf'

Customers beware
Haya SI ya kweli hata kidogo. Hapa Bongo, benki ambayo ina unafuu na imepiga hatua sana ni CRDB kwenye banking sectors nyingi sana. Mbona ATM hazisumbui kama unavyodai wewe? Kama vip basi uwe unatumia SIM Banking, ya kwamba usiwe unaenda tena ATM center kuchkua pesa, but uchkulie kwenye MPESA/TIGO PESA
 
Kwa taharifa nilonayo ni Tz na Kenya ndio zinashangaza dunia kwa TIGO na M Pesa...na nina rafiki toka Argentina anataka ku research on that...kwa nini asiende Brazil????????????????Na ni professor wa masuala ya money????????? well informed than you and me!!!!!

Na wala si deserve huzuni yako...am sure unao wengi tu wa kuhurumia kwenye ukoo wenu...si mimi NK

Tatizo lako ni uelewa mdogo. Suala sio tigo wa Mpesa. Agent huyo huyo anaweza kuwa wa tigo, Mpesa, CRDB, MaxMalipo, Equity etc! Nani ka kwambia Brazil hakuna Tigo?. Unajua agent banking model imeanzia wapi? Kwa taarifa yako NMB, NBC, Equity, DCB wote wana mawakala. Sioni tatizo hapa. Again jaribu kusoma ili ufute ujinga. Una huzunisha sana
 
Soma maelzo yangu vizuri sijasema inafilisika nanimesisitiza mwishoni mwa maelezo yangu NI BOT ndio wanaoweza tuthibitishia habari za bank kufilisika ila sio mtu kama mimi au wewe.
 
Mshiiri na TumainEI, kufilisika wakati inapata faida?

Na kama mna uhakika/taarifa rasmi inapika hesabu, pelekeni BOT na mamlaka ya masoko na mitaji. Humu mnaonekana mna wivu tu.......

Soma maelzo yangu vizuri sijasema inafilisika nanimesisitiza mwishoni mwa maelezo yangu NI BOT ndio wanaoweza tuthibitishia habari za bank kufilisika ila sio mtu kama mimi au wewe.
 
Back
Top Bottom