CRDB bank inafilisika?

Unaweza kujenga hoja bila kuwa stereotype!
 
Kuna u 'sawa' gani? Hueleweki....

Unajua maana ya stereotypes ...

Kwa heri nsijekuwa si saizi yako...nikaku....
acha semantics...ni sawa na mimi kusema wanawake wote ni malaya wakati si mjui mama yako!
 
Kuna u 'sawa' gani? Hueleweki....

Unajua maana ya stereotypes ...

Kwa heri nsijekuwa si saizi yako...nikaku....

Usitoke nje ya hoja shangazi. Unaongea pumba ukiambiwa ukweli unakimbia. Hoja ya kuwa ngozi nyeusi ina matatizo ua mapungufu haina mashiko. Watu wadizaini zako hawana nafasi tena dunia hii.
 
tajiri alienunua shea 80% ameandika notes ya kutoa shea yake

Je unamjua jina???? Katika taarifa za CRDB kampuni mbili ndizo zina hisa zaidi ya 10%.
DANIDA Investment Fund yenye hisa 467,781,934 sawa na 21.5%, na PPF Pension Fund yenye hisa 217,401,749 sawa na 10%.
Kweli miezi kadhaa ya nyuma, kadiri ya ripoti, faida ya kabla na baada ya kodi ilishuka ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana. Huku, amana na fedha za wanahisa zikiongozeka. Faida ilishuka kutokana na kusitisha mikopo. Mikopo ilisitishwa ili wakusanye madeni waliokuwa wanadai, pia ule mgogoro baina ya NMB na CRDB.
Si rahisi kupunguza gharama ndani ya muda mfupi bila ya kuleta madhara makubwa kwa kampuni.
Muda si mrefu benki ilianza kutoa mikopo. Ifahamike CRDB ni mshindani mkubwa katika kutoa mikopo hapa nchini.
Ningekuona mjanja kama ungekuja na takwimu. Hizo ni hisia zako ndugu. Hisia na viashiria dhaifu sanaaa... Katika uwekezaji, watu kama akina Mshiiri wanaitwa CYNICS, na tabia yao inaitwa CYNICISM.
 
Unanichekesha ujue...

Kati yangu mimi na wewe na wenzio anayekimbia hoja ni nani...??????

Ni nyie ambao nimeandika paragraph nzima mmekimbilia nusu sentence na kuanza kuijadili badala ya kujadili substance...

Ha ha ha

Ukisikia mtu anaelezea hoja zake akitumia F-word ....utachukua lipi? hoja ua F-word na kukazana kuwa ametukana????

Kwa hiyo huo ushauri unawahusu nyie...rudini kwenye mada...ngozi nyeusi ina laana ina laana hutaki kajichubue...

Usitoke nje ya hoja shangazi. Unaongea pumba ukiambiwa ukweli unakimbia. Hoja ya kuwa ngozi nyeusi ina matatizo ua mapungufu haina mashiko. Watu wadizaini zako hawana nafasi tena dunia hii.
 

pia, je imetoa gawio kiasi gani kwa wanahisa??
NBC ni benki yenye migogori mikubwa isiyokwisha.
 
Mabenki mengi kama sio yote Tz ni majanga matupu. Tukikutanika wateja watatu au wanne tukaandika kero, kadhia na adha tunazokutana nazo nadhani tunaweza tukaandika volumes kama sio series za best-selling novels na tukauza mbaya! Mnaoshabikia na kushadadia huduma za hizi benki pengine hamjawahi kuona benki bora zinafanyaje kazi; mngejua mngekua wapole na kujisikitikia mlichoandika.
 

Nadhani hapa wanachofanya ni kuangalia the lesser of two evils.

Na unachosema ni sahihi kabisa kwamba mabenki mengi bongo kama si yote ni majanga tu.

Na si mabenki tu. Karibu kila huduma ni majanga matupu. Iwe hospitali, magengeni, madukani, taasisi za serikali, you name it....

Kwenye mahakama huko ndo pasikie tu. Usiombe upatwe na jambo la kukupeleka mahakamani maana hata kama ni jambo linahusu haki yako waweza hata kukata tamaa na kulipotezea mazima.

Umeme nao shida tupu. Maji nayo ndo mulemule tu. Usafiri nao ndo yaleyale tu.

Kuna sekta yenye nafuu bongo? Labda ngono...ingawa huko nako migonjwa inakusubiri.
 
Nilishangaa nilitumia kadi ya ATM ya CRDB nikiwa Dubai, Lyon-France kutumia katika kulipa huduma za usafiri na nikiwa Montpellier. CRDB iko juu.

crdb is de best labda tawi la kijijini kwao ndo linazingua
 
Nilishangaa nilitumia kadi ya ATM ya CRDB nikiwa Dubai, Lyon-France kutumia katika kulipa huduma za usafiri na nikiwa Montpellier. CRDB iko juu.

Hata kadi za NBC zenye nembo ya MasterCard na VISA zinafanya kazi sehemu nyingi tu duniani.
 
"ndio tatizo la ngozi nyeusi"??? Statement hiyo tu inaonyesha ulivyo na upeo mdogo na mtindio wa akili. Mama yako mzungu?

wewe jamaa unadharau,,,,kwaiyo ngozi nyeusi ina ingiaje sasa hapa,,,washkaji wengi wanatoa maelezo kwa point ila wewe umeepanic had unaonesha mapungufu yako,,,,,punguza jazba kaka,,,,kwani we mwenzetu mzungu nn
 
wewe jamaa unadharau,,,,kwaiyo ngozi nyeusi ina ingiaje sasa hapa,,,washkaji wengi wanatoa maelezo kwa point ila wewe umeepanic had unaonesha mapungufu yako,,,,,punguza jazba kaka,,,,kwani we mwenzetu mzungu nn

Umechanganya madesa arifu.

Jamaa hakuleta mambo ya rangi ya ngozi.

Aliyeyaleta mwingine kabisa.
 
wewe jamaa unadharau,,,,kwaiyo ngozi nyeusi ina ingiaje sasa hapa,,,washkaji wengi wanatoa maelezo kwa point ila wewe umeepanic had unaonesha mapungufu yako,,,,,punguza jazba kaka,,,,kwani we mwenzetu mzungu nn

Soma vizuri kaka. Mimi wala sikuja na hayo mambo.
 

Pole kama ulipata huduma isiyoridhisha kwenye tawi lako. Acha lumumba nenda hata Iringa au Mbeya, Mlimani city wateja walo level seat. Unapendekeza benki gani mbadala?
 
Tako we CRDB wana huduma nzuri nenda NMB Mbeya kudadeki hamna ata pa kupangia foreni, huduma zao ni kelo, Benki ka sacoss maafaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…