Cristiano Ronaldo aeleza sababu ya kuachana na Irina Shayk

Cristiano Ronaldo aeleza sababu ya kuachana na Irina Shayk

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Cristiano Ronaldo ameitoa sababu ya kuachana na Irina Shayk.

Cr7 anasema Kwamba Tulielewana sana, lakini alikuwa na tabia ya kusema: 'Kwanini unamleta mama yako kila mahali tunakokwenda? Lazima uchague kati yangu na yeye

Cr7 anaeleza pia Kwamba Nilimjibu kuwa Sitoweza kamwe kumtelekeza mama yangu kwa sababu ya mwanamke mwingine (Aliamua kuachana naye kwa sababu Irina Shayk alitaka Ronaldo asiwe anatembea na Mama yake kila mda).Sijutii kuachana naye

RESPECT Sana kwa Cr7, Hakika Huu Ndio Msimamo Wa Kiume [emoji1374][emoji3590]
Screenshot_20210621-155312.jpg
 
Watu mnatetea kisa aliyefanya hivyo ni Ronaldo lakini hii inamaanisha Ronaldo ni mama's boy.

Watu wa hivi ukikorofishana nao wanakimbilia kwa mama.

Hafanyi kitu mpaka go ahead ya mama.

Ukitaka akupende mpende mama yake.
 
Watu mnatetea kisa aliyefanya hivyo ni Ronaldo lakini hii inamaanisha Ronaldo ni mama's boy.

Watu wa hivi ukikorofishana nao wanakimbilia kwa mama.

Hafanyi kitu mpaka go ahead ya mama.

Ukitaka akupende mpende mama yake.
Ronaldo Ana misimamo sana aisee, ukiangalia maisha yake ya umaskini aliokulia na mpaka Leo Hana ulimbukeni wa hela unaelewa ni mtu wa Aina gani.

Hana tattoo, anafanya mazoezi kama sio super star na siku zote anakumbuka alikotoka.

Na kumpenda mama yako sio kwamba ni mama's boy, Kuna watu wanadeka kweli kwa mama zao na hawawapendi mama zao.
 
Kila mmoja ana nafasi yake katika moyo wa mwanaume ,Ronaldo ana haki ya kusema hivyo mama ndoo Mungu wa pili baada ya kumuondoa Mungu muumba ,Thanks Ronaldo Mungu akulinde sana.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Hii Taarifa ya Cr7 ilitakiwa iwe inasomwa kila siku Azam TV baada ya taarifa ya habari.
 
Back
Top Bottom