cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Escorts ni jina lingine la makahaba.. prostitute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Escorts ni jina lingine la makahaba.. prostitute
Ndo maan wanaume wengi wanashindwa kutulia ktk ndoa, kisa kuendekeza mama zao, watawle mahusiano yao.Watu mnatetea kisa aliyefanya hivyo ni Ronaldo lakini hii inamaanisha Ronaldo ni mama's boy.
Watu wa hivi ukikorofishana nao wanakimbilia kwa mama.
Hafanyi kitu mpaka go ahead ya mama.
Ukitaka akupende mpende mama yake.
Wanajitoa ufahamu tyuuuh.Hilo ni swali fikirishi la huyo dada;
Angalieni swali lake kabla hamjaanza kumuhukumu swali ni; ""Kwanini unamleta mama yako KILA MAHALI tunapokwenda??""--- maneno "kila mahali" ndiyo msingi wa tatizo.
Duuuh ana nyota ya kudate na mastar wa [emoji460]Irina hata Super Mario Ballotelli alishatambaa nae, na kabla ya CR7 ilikuwa ngoma ya Sergio RAMOS
Upo sahihi kristian lonadoWakuu Cristiano Ronaldo ameitoa sababu ya kuachana na Irina Shayk.
Cr7 anasema Kwamba Tulielewana sana, lakini alikuwa na tabia ya kusema: 'Kwanini unamleta mama yako kila mahali tunakokwenda? Lazima uchague kati yangu na yeye
Cr7 anaeleza pia Kwamba Nilimjibu kuwa Sitoweza kamwe kumtelekeza mama yangu kwa sababu ya mwanamke mwingine (Aliamua kuachana naye kwa sababu Irina Shayk alitaka Ronaldo asiwe anatembea na Mama yake kila mda).Sijutii kuachana naye
RESPECT Sana kwa Cr7, Hakika Huu Ndio Msimamo Wa Kiume [emoji1374][emoji3590]View attachment 1825507
Baba ndiye mungu wa pili na si mama, kama maandiko yanavyosemaKila mmoja ana nafasi yake katika moyo wa mwanaume ,Ronaldo ana haki ya kusema hivyo mama ndoo Mungu wa pili baada ya kumuondoa Mungu muumba ,Thanks Ronaldo Mungu akulinde sana.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Baba ndiye mungu wa pili na si mama, kama maandiko yanavyosema
Pia hyo biblia imeandika Baba ni mungu wa pili baada ya muumbaMungu ni mmoja imeandikwa.
Nyota yako vp😅😅😅Duuuh ana nyota ya kudate na mastar wa [emoji460]
Haaaah mie sina nyota yeyote, nashukuru nikakutana na chaguo langu, bas mambo muswano.na yamejipa vilivyo.Nyota yako vp[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahah aisee you are too innocent[emoji38][emoji28]Escort Wa Nn Mkuu
HongeraHaaaah mie sina nyota yeyote, nashukuru nikakutana na chaguo langu, bas mambo muswano.na yamejipa vilivyo.
Kumbe mama mkwe ni balaa hadi kwa wazungu![emoji124][emoji124][emoji124]
Kuna familia nyingine wazazi wa Mwanaume wamepigwa ban kabisa kufika [emoji108][emoji108]
Na mke akijua mume anatuma hela kwa wazazi au ndugu anamaindi.