Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili huna kabisaWatu mnatetea kisa aliyefanya hivyo ni Ronaldo lakini hii inamaanisha Ronaldo ni mama's boy.
Watu wa hivi ukikorofishana nao wanakimbilia kwa mama.
Hafanyi kitu mpaka go ahead ya mama.
Ukitaka akupende mpende mama yake.
Mimi nilisoma sehemu huyo Irina alikuwa escort..na Sepp Blatter aliwahi pita nae..
Not sure kama kweli
Mtoto hakui kwa Mama ila Demu alikuwa yupo right sababu Biblia yao inasema Mume aambatane na mkewe haisemi aambatane na Mama yake... lol
Mwanangu unazinguaAkili huna kabisa
Mimi nilisoma sehemu huyo Irina alikuwa escort..na Sepp Blatter aliwahi pita nae..
Not sure kama kweli
Tusameheane mkuuMwanangu unazingua
ipo hivi, wewe ni ofisa wa serikali, unasafiri zako toka dar au mwanza. unaelekea dodoma kwenye vikao vya wizara. unasafiri kwa gari binafsi, la umma au ndege.Escort Wa Nn Mkuu
Wanawake kama hao ni zaidi ya wadangaji wa kimataifaIrina hata Super Mario Ballotelli alishatambaa nae, na kabla ya CR7 ilikuwa ngoma ya Sergio RAMOS
Hata mi nisingewezaWakuu Cristiano Ronaldo ameitoa sababu ya kuachana na Irina Shayk.
Cr7 anasema Kwamba Tulielewana sana, lakini alikuwa na tabia ya kusema: 'Kwanini unamleta mama yako kila mahali tunakokwenda? Lazima uchague kati yangu na yeye
Cr7 anaeleza pia Kwamba Nilimjibu kuwa Sitoweza kamwe kumtelekeza mama yangu kwa sababu ya mwanamke mwingine (Aliamua kuachana naye kwa sababu Irina Shayk alitaka Ronaldo asiwe anatembea na Mama yake kila mda).Sijutii kuachana naye
RESPECT Sana kwa Cr7, Hakika Huu Ndio Msimamo Wa Kiume [emoji1374][emoji3590]View attachment 1825507
Aah wapi,ndo twende wote kila mahali!?Huyu mwanamke ni shetani ameshindwa kumthamini mzaa chema.
INASIKITISHA!!!
Wewe Mkristo kweli kweliEscort Wa Nn Mkuu
Kwan kuna ubaya gan ikizingatiwa sio mke wa ndoa aisee acha mama afanye aenjoyWatu mnatetea kisa aliyefanya hivyo ni Ronaldo lakini hii inamaanisha Ronaldo ni mama's boy.
Watu wa hivi ukikorofishana nao wanakimbilia kwa mama.
Hafanyi kitu mpaka go ahead ya mama.
Ukitaka akupende mpende mama yake.
Mama kuenjoy siyo shida tena inabidi aenjoy kuliko mtu uliyekutana naye ukubwani ila kuzunguka naye kila unapokua na goma lako siyo sawaKwan kuna ubaya gan ikizingatiwa sio mke wa ndoa aisee acha mama afanye aenjoy