Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Natamani Chizi Maarifa angekuwepo aje amwage nondo hapa. 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima afanye vile, Papa akienda nchi yeyote lazima asujudu, Rais alitoa mkono lakini hakuupokea mpaka aliposujudu, na hata nyakati nyingine huwa wanabusu ardh.Mbona hata Pope John Paul II, alipokuja Tanzania mwaka 1990 alisujudu pale Dar es Salaam International Airport (DIA) sasa JKIA . Alisujudu wakati wa kufika na wakati wa kuondoka.
Nipe ushahidi kama huko kwenye uislamu kuna nuru?????? Nipe ushahidi wa picha au video na sio mapokezi ya simulizi za hekaya za kiarabu.Nawaonea huruma, wanatoka kwenye nuru wanaingia kizani.
Za kwenu hizoUnataka kusema hakuna wakristo/wapagani wanaovaa hizo nguo?
Hyo inatwa kujua kula na kipofuMkuu nilikaa beirut nikajibadili mpaka jina...Wale washia walikua wananipenda balaa,,,,,,,,midevu kibao na full kanzu kumbe nipo pale kimkakati.
Hakuna picha au video ndani ya Qur'an, kuna maandishi kwa wenye akili wataelewa.Nipe ushahidi kama huko kwenye uislamu kuna nuru?????? Nipe ushahidi wa picha au video na sio mapokezi ya simulizi za hekaya za kiarabu.
Kumbe unazungumzia maandishi ya kiarabu...Sasa si yameandikwa na watu Faiza...Sasa si wametunga mapokeo yao tu hakuna ushahidi wowote zaidi ya simulizi za kutungaHakuna picha au video ndani ya Qur'an, kuna maandishi kwa wenye akili wataelewa.
Isome Qur'an.
Nasikia kuna majini yanafugwa ambayo nayo yanamuabudu mungu wa kiarabu anaeitwa allah??? Ni kweli Faiza?????Ma shaa Allah, nawashangaa wakristo wa Tanzania hata misikitini mnaogopa kutembelea na kujionea Waislam wanaabudu vipi.
Chalkenge miaka zaidi ya 1400 leo muandike japo aya moja tu mithili yake, tena nshirikiane wote, mmeshindwa npaka sasa.Kumbe unazungumzia maandishi ya kiarabu...Sasa si yameandikwa na watu Faiza...Sasa si wametunga mapokeo yao tu hakuna ushahidi wowote zaidi ya simulizi za kutunga
Sasa mbona wewe unasengenya mapokeo ya wakrsto na imani yao ya kumwita Yesu ni Mungu...Unalazimisha unachoamini weweUkiona Muislam anatukana na kusengenya jamii nyingine elewa kuwa huyo ni Muislam jina tu, hafati nafundisho ya Kiislaam.
Sijakuelewa bibi fafanua???Chalkenge miaka zaidi ya 1400 leo muandike japo aya moja tu mithili yake, tena nshirikiane wote, mmeshindwa npaka sasa.
Huo ni zaidi ya muujiza.