Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Chalkenge miaka zaidi ya 1400 leo muandike japo aya moja tu mithili yake, tena nshirikiane wote, mmeshindwa npaka sasa.

Huo ni zaidi ya muujiza.
Dini zote zimetungwa tu.....Nipe ushahidi unaonekana au niletee huyo Allah nimuone.....Wewe mwenyewe humjui umekaririshwa simulizi za kiarabu bibi Faiza.
 
Nasikia kuna majini yanafugwa ambayo nayo yanamuabudu mungu wa kiarabu anaeitwa allah??? Ni kweli Faiza?????
Mungu wa kiarabu mimi simfahamu. Mimi nafahamu Allah ni pekee Muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.
 
Dini zote zimetungwa tu.....Nipe ushahidi unaonekana au niletee huyo Allah nimuone.....Wewe mwenyewe humjui umekaririshwa simulizi za kiarabu bibi Faiza.
Wewe baki na imani yako nami nabaki na yangu, hakuna haja ya kulazimishana au unasemaje?
. In shaa Allah tunasubiri siku Ronaldo atatangazwa kasilim.
 
Mungu wa kiarabu mimi simfahamu. Mimi nafahamu Allah ni pekee Muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.
Allah ndio mungu wa kiarabu na anatumia lugha ya kiarabu na majina yake ni ya kiarabu na wafuasi wake wanasali kwal ugha ya kiarabu.Na kitabu chake cha muongozo kwa wafuasi wake ni cha lugha ya kiarabu na nyumba zao za ibada zina majina ya kiarabu na wao wafuasi wanatumia majina ya kiarabu.
 
Wewe baki na imani yako nami nabaki na yangu, hakuna haja ya kulazimishana au unasemaje?
. In shaa Allah tunasubiri siku Ronaldo atatangazwa kasilim.
Wewe umeona ronaldo tu na mimi je??????? Nataka na mimi MBS akanipe dadake kama ulivyosema
 
Nem
Wewe umeona ronaldo tu na mimi je??????? Nataka na mimi MBS akanipe dadake kama ulivyosema
Nenda tu kaonane nae, kuna ubalozi wao hapa, unaenda pale ukipata visa, siku hizi kuna direct flight, masaa 4 tu umefika.

Ukifika usisahau kwenda kuona na mechi za Ronaldo live.
 
Chalkenge miaka zaidi ya 1400 leo muandike japo aya moja tu mithili yake, tena nshirikiane wote, mmeshindwa npaka sasa.

Huo ni zaidi ya muujiza.
Allah mwenyewe kachukua koran kutoka kwa viumbe sasa challenge ya nini ? mwisho wa siku hakutoa aknowledgement kwa aliowanukuu , alifanya plagiarism
  • Talking ants, maneno ya ant ndani ya koran
    • 27:18. ...., alisema mdudu chungu mmoja: Enyi wadudu chungu! Ingieni majumbani mwenu, asikupondeni Sulaiman na majeshi yake bila ya wao kutambua.
  • Aya za Binadamu, Sulaiman
    • Sulaiman .....akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?
  • Aya ya Ndege Hud Hud
    • 27:22. Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
  • Aya ya shetani
    • Hijr:39. [Iblis (Satan)] said: "O my Lord! Because you misled me,.....
  • Sura ya majini , hii ni almost surah nzima ni yao wanaongea
    • Jinn: 1 - ....kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu
 
Allah mwenyewe kachukua koran kutoka kwa viumbe sasa challenge ya nini ? mwisho wa siku hakutoa aknowledgement kwa aliowanukuu , alifanya plagiarism
  • Talking ants, maneno ya ant ndani ya koran
    • 27:18. ...., alisema mdudu chungu mmoja: Enyi wadudu chungu! Ingieni majumbani mwenu, asikupondeni Sulaiman na majeshi yake bila ya wao kutambua.
  • Aya za Binadamu, Sulaiman
    • Sulaiman .....akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?
  • Aya ya Ndege Hud Hud
    • 27:22. Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
  • Aya ya shetani
    • Hijr:39. [Iblis (Satan)] said: "O my Lord! Because you misled me,.....
  • Sura ya majini , hii ni almost surah nzima ni yao wanaongea
    • Jinn: 1 - ....kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu
Vipi habari ya Ronaldo kusujudu, unaonesha umeifurahia sana.
 
Back
Top Bottom