Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Wenzenu washajitengenezea pesa zaoo nyiee mnakaa kubishanaa kuhusu waoo wote ni wachezaji wakubwaa na wote watakumbukwa katika historia ya mpira sababu kila anayemjua messi pia anamjua ronaldo na kila anaye mjua rinaldo anamjua messi kwahiyoo wotee wachezajii maarufu
 
Mahaba tu yanasumbua watu.
 
Messi ana kipi ambacho Ronaldo hana?
Tena messi kapita njia laini sana kwenye mafanikio ya soka lake.Kuanzia timu alizocheza hadi timu ya taifa.Kote uko kakutana na vikosi bora vilivyomlea vizuri tofauti na ronaldo aliyetumia muda mwingi kuonyesha juhudi binafsi na upambanaji.Mambo mengine yanatakiwa yabaki kua mtazamo binafsi ya mtu.
 
Njia laini mkuu hivi upo serious kweli?
 
Messi ana world cup. Ana Ballon d or 7 lakini pia ana player of the tournament award world cup je Ronaldo anavyo?. Zamu yako nitajie vitu ambavyo Ronaldo anavyo Messi hana
 
Mchezaji wangu bora wa mda wote ni Ronaldinho Gaucho.
Kama umefuatilia interviews nyingi alizofanyiwa MESSI akiulizwa ni mchezaji gani aliyekupa hamasa na kukujenga kimchezo huwa anamkiri RONALDINHO.
Unasema kila walipokuwa wakimaliza mazoezi ya pamoja pale Nou Camp, Ronaldinho alikuwa anafanya mazoezi binafsi na Messi kwa masaa mawili peke yao.
 
Jamaa namkubali sana
Nadhani hata kipindi anachukuwa ballon dor hakuwa hata anaongoza magoli kwenye ligi ni mambo yake tu ya uwanjan
Watu wanaongea mambo ya msingi , mnaleta ujinga , jiheshimuni basi , Yani watu wanajadili Messi na Ronaldo unaingiza takataka Ronaldinho, kuweni serious
 

Chuki ni mzigo mzito ukiubeba utaumia,,
La pulga mwenyewe anakwambia mshindani wake ni CR7 wee ambae hata dana dana kumi hufikishi unapiga kelele
 
Messi ana world cup. Ana Ballon d or 7 lakini pia ana player of the tournament award world cup je Ronaldo anavyo?. Zamu yako nitajie vitu ambavyo Ronaldo anavyo Messi hana

Ana Uero, Uefa National league
Ana Seria A, Epl, na mfungaji bora wa muda wote ktk International tournament....
Sema jingine?
 
tulijua tu hio argentina ikishinda duniani tutakoma itakua ni kejeli kwa C.ronaldo kila uchwao! mnajua kumsifu na kumuabudu khaa
 
Messi ana world cup. Ana Ballon d or 7 lakini pia ana player of the tournament award world cup je Ronaldo anavyo?. Zamu yako nitajie vitu ambavyo Ronaldo anavyo Messi hana
Cristiano Ronaldo ana champions league tano 2008,2014,2016,2017,2018 Messi wako anazo ngapi
 
Angalia data no data no right to type
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…