spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Azam labdaSasa media gani inalipa vzr?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam labdaSasa media gani inalipa vzr?
Mamlaka ziwasaidie kuoata ajira au kufuatilia umbea?Wakuu,
Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.
Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?
Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?
Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Wakuu,
Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.
Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?
Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?
Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Hiki kiwango unakichukuliaje? Mil. 25 ?Hao watangazaji wa Tanzania usiwaone hivo wana kelele nyingi kwenye redio na TV ila mishahara ni midogo shule ndogo na brains zao kiduchu tu hamna mtangazaji hapa nchini anae pokea $ 10,000 kwa mwezi haupo.
Radio inatangaza masaa 24 iwe na watangazaji 3 mkuu au unatoa tu mfano?Uzi mzima hakuna aliyejibu swali.
Jibu:
kwa swali lako ilibidi pia uulize pesa za kufungu station wametoa wapi kama ujauliza hili swali maanayake unajua ni mtaji wanajua wao walipoutoa basi hata hio mishahara ya kuwalipa watangazaji ni sehemu ya mtaji kabla station ijaanza kuingiza faida.
Simple Mathematics, kama kuanzisha Station wametumia Billion 1 mpaka kituo unakiona basi ujue pia kama mtangazaji mmoja tuseme analipwa 3000,000 na wameajiri wanne ni sawa na 12M hii kwa kuwalipa kwa mwaka sawa na around Million 100, hivyo kuwalipa miaka miwili ni 200M.
Hii 200M wanayo kabisa Bank as initiative capital for employees salaries tu kwa muda wa miaka miwili hawa wafanya kazi watakuwa wanalipwa hata kama radio ijaangiza hata Tsh 10, ila kibiashara ndani ya huo muda itakuwa ishaanza kupata Cashflow.
Huyo jamaa anazinguaAcha masihara mtangazaji kama masoudi Kipanya alipwe 300k kweli au huyu Husna Abdul alipwe 100k hapana haiwezekani hilo hapo chai mkuu.
Nimetoa mfano based na content, yeye kasema watangazaji kutoka Cloids, Wasafi kwani watangazaji wote happ Crown ni wakutoka hizo radio wengine si new bie ambao mishara haifiki hata million moja.Radio inatangaza masaa 24 iwe na watangazaji 3 mkuu au unatoa tu mfano?
Nimesema "wengi" na sio "wote". Uelewa wako ni duniAcha masihara mtangazaji kama masoudi Kipanya alipwe 300k kweli au huyu Husna Abdul alipwe 100k hapana haiwezekani hilo hapo chai mkuu.
Mbona umetukana mama Samia?Nimesema "wengi" na sio "wote". Uelewa wako ni duni
Umepotoka, huo ni uwekezaji kama ulivyo mwingine. Hata ww ukianzisha kampuni au duka si utaajiri watu, hao utaowaajiri pesa utatoa wapi?Hizo ni mali za watu ambao hawataki kujulikana kutokana na nafasi zao, hao vijana wanatumika tu
Hao watangazaji wa Tanzania usiwaone hivo wana kelele nyingi kwenye redio na TV ila mishahara ni midogo shule ndogo na brains zao kiduchu tu hamna mtangazaji hapa nchini anae pokea $ 10,000 kwa mwezi haupo.
Hii pesa yote wameipata wapi?Uzi mzima hakuna aliyejibu swali.
Jibu:
kwa swali lako ilibidi pia uulize pesa za kufungu station wametoa wapi kama ujauliza hili swali maanayake unajua ni mtaji wanajua wao walipoutoa basi hata hio mishahara ya kuwalipa watangazaji ni sehemu ya mtaji kabla station ijaanza kuingiza faida.
Simple Mathematics, kama kuanzisha Station wametumia Billion 1 mpaka kituo unakiona basi ujue pia kama mtangazaji mmoja tuseme analipwa 3000,000 na wameajiri wanne ni sawa na 12M hii kwa kuwalipa kwa mwaka sawa na around Million 100, hivyo kuwalipa miaka miwili ni 200M.
Hii 200M wanayo kabisa Bank as initiative capital for employees salaries tu kwa muda wa miaka miwili hawa wafanya kazi watakuwa wanalipwa hata kama radio ijaangiza hata Tsh 10, ila kibiashara ndani ya huo muda itakuwa ishaanza kupata Cashflow.
Kwahio swali lako lilikuwa pesa za mishahara wanatoa wapi au mtaji wametoa wapi ??Hii pesa yote wameipata wapi?
Bongo hii hii au
Kwani humuoni salim kikeke pale amaWakuu,
Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.
Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?
Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?
Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Nae ameajiriwaKwani humuoni salim kikeke pale ama