beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Bullshit. Mwenye pesa hana muda wa kufuatilia mambo yasiyomhusu.Ninapesa ya kunitosha mahitaji yote ninayohitaji kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bullshit. Mwenye pesa hana muda wa kufuatilia mambo yasiyomhusu.Ninapesa ya kunitosha mahitaji yote ninayohitaji kufanya
Hii jf tabu tupuBullshit. Mwenye pesa hana muda wa kufuatilia mambo yasiyomhusu.
NakaziaAcha majungu, tafuta ELA, usije kuwa mchawi uzeeni.
Acha u lesbian dogoHuna hiyo jeuri we kenge. Ungekuwa na hela usingekalia majungu kutwa nzima.
Majibu yako tu yanaonyesha kwamba unaishi kwa shemeji. Dada akipewa talaka wote mnarudi kijijini.Acha u lesbian dogo
Amka uwaandae watoto school bus isiwaacheMajibu yako tu yanaonyesha kwamba unaishi kwa shemeji. Dada akipewa talaka wote mnarudi kijijini.
Naona ushaamka ili wasafishe sebuleni. Pole sana, ndio maisha.Amka uwaandae watoto school bus isiwaache
Houseboy
Huo ni mtajiWakuu,
Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.
Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?
Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?
Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Teh tehMajority shareholder wa Crownfm ni nani? Tuanzie hapo!
Ni kila siku au siku moja tu?Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 2ZJVO8ZK
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Propaganda hiziradio station 3 maarufu kwa sasa, ni za Big Joe na anajua anachokifanya.
*clouds
*wasafi
*crown
ACHA HUU UWONGO WAKO UNATAKA UPATE POINT BURE KABISA HAKUNA CHA GB WALA NINI HUYU NIMUONGO NDIO UJANJA WAO HUU KUWAVUTA WATU WAKIJUA WANAKWENDA KWELI KUPATA GB ZA BURE, WAKUU HAMPATI GB ZA BURE NI UWONGO WALA MSIHANGAIKEKwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 2ZJVO8ZK
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Wewe unajua kitu,...wat wanongea vit vya ajabu kumamae et Dola 2500..bongo hii vituo vingi vya redio kama so vyote wanaoluka mia5 wachache sana..unakuta station Ina wat wawili wanalipwa labda milion3 ao ndo wakubwa kbsa af Kuna group liko kwenye million apo wachache sana wengine wote wanacheza na laki laki Tena mishahara ya tarehe 45Kuna kipindi nilikua nafanya bank flanj,na mishahara ya radio flani tu kubwa ilikua inapitia kwenye bank yetu..so kwa kweli ni vichekesho sana,kuna mtu mmoja jina kubwa plus Mbwembwe nyingi ila mshahara laki 3.
Watu wengi wanaotukanana baadae wanakuja kuwa best friends. Trust me..Majibu yako tu yanaonyesha kwamba unaishi kwa shemeji. Dada akipewa talaka wote mnarudi kijijini.