Crown Media inatoa wapi pesa kuajiri wafanyakazi wake?

Crown Media inatoa wapi pesa kuajiri wafanyakazi wake?

Wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.

Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?

Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?

Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Mbona hujauliza hela za kufungua Radio wametoa wapi...
Tumia akili izo ni hela zao za mtaji walizonazo
 
Wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.

Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?

Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?

Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
'Dark web'
 
Kuna kipindi nilikua nafanya bank flanj,na mishahara ya radio flani tu kubwa ilikua inapitia kwenye bank yetu..so kwa kweli ni vichekesho sana,kuna mtu mmoja jina kubwa plus Mbwembwe nyingi ila mshahara laki 3.
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Ni kama formula ya kuanzisha radio mpya TZ, lazima kuwe na mtu mwenye jina(maarufu) usajili wa watangazaji toka radio nyingine, vipindi vya aina ileile na kuanza kuwa chawa. Hakuna jipya.

Mfano: unamsikiliza Geofleah toka Clouds, azam, efm, sasa Crown utagemea kusikia kipi toka kwakwe tena kwenye vipindi vilevile.
 
Wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.

Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?

Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?

Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Kweli wabongo tuko nyuma sana

If you don’t know business models…. Jifunze kwanza

The company has its financing strategy- and that drives spending and revenue
 
Kuna kipindi nilikua nafanya bank flanj,na mishahara ya radio flani tu kubwa ilikua inapitia kwenye bank yetu..so kwa kweli ni vichekesho sana,kuna mtu mmoja jina kubwa plus Mbwembwe nyingi ila mshahara laki 3.
Duh 300k, ilikua mwaka gani coz Huo mshahara ataweza kufanya nini sasa
 
Wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.

Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?

Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?

Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Ukisikia uchawi ndio huu. Badala ya kujiuliza wewe utapata wapi hela unafuatilia mambo yasiyokuhusu.
 
Wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.

Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?

Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?

Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
😂😂😂
 
Hao watangazaji wa Tanzania usiwaone hivo wana kelele nyingi kwenye redio na TV ila mishahara ni midogo shule ndogo na brains zao kiduchu tu hamna mtangazaji hapa nchini anae pokea $ 10,000 kwa mwezi haupo.
$10000 *2500= 25,000,000
hivi kuna mfanyakazi( wa kuajiriwa ) bongo land analipwa huu mshahara ukitoa wanasiasa…..alafu unazungumzia hii figure kwa mtangazajiiii,,,,, ninaona sio uhalisia.
 
$10000 *2500= 25,000,000
hivi kuna mfanyakazi( wa kuajiriwa ) bongo land analipwa huu mshahara ukitoa wanasiasa…..alafu unazungumzia hii figure kwa mtangazajiiii,,,,, ninaona sio uhalisia.
Mkuu mbona wengi sanaa 25m neenda voda uulizie my IT na techinician wao wanalipwa je, CEO wengi wanapikea zaidi ya huo mshahara
 
Wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara.

Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station kubwa na kongwe hapa Tanzania?

Mtu anahama vipi Clouds, Wasafi, efm, EATV nk kuelekea radio ambayo hairushi hata vipindi?

Je, imetoa pesa wapi? Mamlaka husika zitusaidie.
Kwenye radio na TV kadri TV shows au radio zinavyopata attention ndio zinavyovutia matangazo ya biashara na ndivyo zinavyopiga pesa
 
Back
Top Bottom