Na ma ayatollah ni mabwanyenye uchwara wasiotaka maendeleo wanataka kubaki enzi ya mawe kwa kuongopea watu kiimani.
Iran ingebaki chini ya mfalme kama nchi za Saudia, Qatar, UAE, Jordan ingekuwa mbali sana kama anavyojenga hoja mwana mfalme wa mwisho Prince (Pahlavi) hapo juu.
Ahache propaganda baba yake aliye Utawala Iran kwa miongo kadhaa Ali fanya nini zaidi ya kuwa mlamba matako ya Marekani,kuwafunga wapinzani wake jera na kuwauwa?
Hivi mna fikiri kufikia maendeleo ya Japan ni rahisi kama kujampa?