Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
- Thread starter
-
- #101
Umeongea vizuri lakini hapo mwisho, kwa nini mtu ukubali gari likuzimikie mafuta barabarani...? Huo ni ujinga uliopitiliza...
Wakati mtu anawasha gari lake nyumbani,si anaona gauge inasoma vipi...
Naweza nikakubali pia naweza nikakataa...Simply, kipato kinapaswa kuanzia 1M plus kwa mwezi ili uweze kumudu gari yenye 2000 cc ??
Unaweza ukawa sahihi au sio sahihi, Mie natumia 200k kwemye mafuta kwenye gari langu kwa mwezi na Income yangu sio kubwa sana ila ni kama 870k per month ukitoa Bills nabakiwagwa kama 600k. Nikitoa 200k ya mafuta nabakizaga 400k alfu hapo natoa 200k inaenda saving so inategemea matumizi yako yakoje kiujumla ila kama hna matumizi rough hata uwe una salary ambayo ni 2M per month ila haitatosha
...[emoji38][emoji38]kweli mkuu...Binafsi huwa nachukia sana unakuta mtu GX 100 limezima kwenye traffic light..[emoji613][emoji614][emoji613][emoji614] kisa wese...Very correct, mie nina gari na Pikipiki, huwa nikiona usawa wangu wakati huo sio rafiki huwa nahamia kwenye pikipiki kama tu nikiona gauge iko chini. Na sijawahi kuzimikiwa na siku zingine huwa naendesha sport Bicycle [emoji605] yangu kupiga misele ya kitaa. Sio lazima nitoke na Gari langu wakati mwingine hata kwa miguu tu hivyo yaaani
...[emoji38][emoji38]kweli mkuu...Binafsi huwa nachukia sana unakuta mtu GX 100 limezima kwenye traffic light..[emoji613][emoji614][emoji613][emoji614] kisa wese..
Naweza nikakubali pia naweza nikakataa...
Kipato cha 1M kwa mwezi kinatosha kujimwambafai kwenye cc2000+ kama hauna familia..
kama una familia na anagalau mtoto mmoja anasoma NANILIU ENGLISH MEDIUM SCHOOL....aisee cc 2000+ kwa kipato cha 1M hautafurahia gari saana..
Una gari ya cc ngapiSimply, kipato kinapaswa kuanzia 1M plus kwa mwezi ili uweze kumudu gari yenye 2000 cc?
Unaweza ukawa sahihi au sio sahihi, Mie natumia 200k kwemye mafuta kwenye gari langu kwa mwezi na Income yangu sio kubwa sana ila ni kama 870k per month ukitoa Bills nabakiwagwa kama 600k.
Nikitoa 200k ya mafuta nabakizaga 400k alfu hapo natoa 200k inaenda saving so inategemea matumizi yako yakoje kiujumla ila kama hna matumizi rough hata uwe una salary ambayo ni 2M per month ila haitatosha
Una gari ya cc ngapi
Dar, Kahama km ngapi mkuu..?From Dar to Kahama Crown yangu imetumia mafuta ya Tsh 186, 000 tu na wese likabaki
Dar, Kahama km ngapi mkuu..?
Ni km 1000Appr. 987 Km
Umetaja kitu Cha SAE-40 nikakumbuka mafundi flan wa kuunga-unga nilikua nawatumia Sana nilitaka kusafir wanaenda kumwaga oil pale BungoniHahah enheeee sasa madude hayo mi ndo nayapendaga na ikitokea nikaokota hela nikavuta Crown nataka hio kitu yenye 2GR kitu ina HP 314 na pia torque ya kutosha ipo,hizi 3GR/4GR hazinivutii.
Hahah huyo mwana ajipange,ila washkaji wengi wana miliki magari mazuri lkn wao wanajua kuweka mafuta tu maintainance ni umetaja zero,Engine oil anaweka kitu ya Sae-40,ATF anaweka sijui ya General,Spark plugs anaweka ya buku 4 hahah lazima litazingua tu ukijumlisha na foleni hapa town wese litaliwa mbaya kabisa.
Crown Ni Gari ya serikali Happ Japan. Usijichukulie poa. Kama ilivyo Landrover (brand) Ukhahahahah!!!! Benz ya MJAPAN, Aisee crown ni gari tamu sana. Performance, comfortability and stability. Yaan kadri unavyo accelerate ndivyo linazidi kuwa stable. Shikamoo MJEPU
Crown Ni Gari ya serikali Happ Japan. Usijichukulie poa. Kama ilivyo Landrover (brand) Uk
Infact hata polisi wanatumia Crown huko JapanAcha kutudanganya Mkuu..! Hebu lete ushahidi
Infact hata polisi wanatumia Crown huko Japan
Tulia uone show bado haijachoka hiyoNimegundua kitu asee,nina subaru forester nikijaza wese nahakikisha rpm tu haifiki 2 na wese likipumgua kidogo tu najazia,naenjoy sana kwani mafuta natumia kidogo mno
Lete ushahidi wewe, acha kuendelea kudanganya umma