Crown vs Brevis

Crown vs Brevis

Umeongea vizuri lakini hapo mwisho, kwa nini mtu ukubali gari likuzimikie mafuta barabarani...? Huo ni ujinga uliopitiliza...

Wakati mtu anawasha gari lake nyumbani,si anaona gauge inasoma vipi...

Very correct, mie nina gari na Pikipiki, huwa nikiona usawa wangu wakati huo sio rafiki huwa nahamia kwenye pikipiki kama tu nikiona gauge iko chini. Na sijawahi kuzimikiwa na siku zingine huwa naendesha sport Bicycle [emoji605] yangu kupiga misele ya kitaa. Sio lazima nitoke na Gari langu wakati mwingine hata kwa miguu tu hivyo yaaani
 
Simply, kipato kinapaswa kuanzia 1M plus kwa mwezi ili uweze kumudu gari yenye 2000 cc ??
Unaweza ukawa sahihi au sio sahihi, Mie natumia 200k kwemye mafuta kwenye gari langu kwa mwezi na Income yangu sio kubwa sana ila ni kama 870k per month ukitoa Bills nabakiwagwa kama 600k. Nikitoa 200k ya mafuta nabakizaga 400k alfu hapo natoa 200k inaenda saving so inategemea matumizi yako yakoje kiujumla ila kama hna matumizi rough hata uwe una salary ambayo ni 2M per month ila haitatosha
Naweza nikakubali pia naweza nikakataa...
Kipato cha 1M kwa mwezi kinatosha kujimwambafai kwenye cc2000+ kama hauna familia..

kama una familia na anagalau mtoto mmoja anasoma NANILIU ENGLISH MEDIUM SCHOOL....aisee cc 2000+ kwa kipato cha 1M hautafurahia gari saana..
 
Very correct, mie nina gari na Pikipiki, huwa nikiona usawa wangu wakati huo sio rafiki huwa nahamia kwenye pikipiki kama tu nikiona gauge iko chini. Na sijawahi kuzimikiwa na siku zingine huwa naendesha sport Bicycle [emoji605] yangu kupiga misele ya kitaa. Sio lazima nitoke na Gari langu wakati mwingine hata kwa miguu tu hivyo yaaani
...[emoji38][emoji38]kweli mkuu...Binafsi huwa nachukia sana unakuta mtu GX 100 limezima kwenye traffic light..[emoji613][emoji614][emoji613][emoji614] kisa wese...

Vijana wa boda boda wanamsaidia kulisukumia pembeni...jamaa anatoka na kidumu anaenda sheli kuleta mafuta ya buku 5..[emoji38][emoji38][emoji38]
Shida zote hizo za nini..?... Mshale ukishalala kwa Ester (E), tupande tu daladala...kama hakuna uwezekano wa kufanya mshale ulale kwa Fatuma (F) [emoji38][emoji38]

Na likishazimikia hapo kwenye mataa, unaona trifiki wanaanza kujilamba lamba..[emoji39][emoji39]

Mmoja anakusogelea anakagua gari mpaka aiana ya maji uliyoweka kwenye radiator..[emoji38][emoji38]
 
...[emoji38][emoji38]kweli mkuu...Binafsi huwa nachukia sana unakuta mtu GX 100 limezima kwenye traffic light..[emoji613][emoji614][emoji613][emoji614] kisa wese..

Kweli mzee.! Mie sipendagi show off kwa kweli.! Maisha yangu nayarndesha mwenyewe na sio macho ya watu. Siku niko vizuri natoka na ndinga yangu safi nazunguka nayo itapita service na kuoshwa ikapendeza basii.! Ikifika jioni narudi home [emoji537]
 
Naweza nikakubali pia naweza nikakataa...
Kipato cha 1M kwa mwezi kinatosha kujimwambafai kwenye cc2000+ kama hauna familia..

kama una familia na anagalau mtoto mmoja anasoma NANILIU ENGLISH MEDIUM SCHOOL....aisee cc 2000+ kwa kipato cha 1M hautafurahia gari saana..

Hilo sikupingi Mkuu, ila kikubwa ni kuweka Priority kwa mambo ya msingi. Gari wakati mwingine sio lazima uliendeshe hata kulipaki homu hata kwa muda ili mradi watoto waende shule sioni tatizo.
 
Simply, kipato kinapaswa kuanzia 1M plus kwa mwezi ili uweze kumudu gari yenye 2000 cc?

Unaweza ukawa sahihi au sio sahihi, Mie natumia 200k kwemye mafuta kwenye gari langu kwa mwezi na Income yangu sio kubwa sana ila ni kama 870k per month ukitoa Bills nabakiwagwa kama 600k.

Nikitoa 200k ya mafuta nabakizaga 400k alfu hapo natoa 200k inaenda saving so inategemea matumizi yako yakoje kiujumla ila kama hna matumizi rough hata uwe una salary ambayo ni 2M per month ila haitatosha
Una gari ya cc ngapi
 
Hahah enheeee sasa madude hayo mi ndo nayapendaga na ikitokea nikaokota hela nikavuta Crown nataka hio kitu yenye 2GR kitu ina HP 314 na pia torque ya kutosha ipo,hizi 3GR/4GR hazinivutii.

Hahah huyo mwana ajipange,ila washkaji wengi wana miliki magari mazuri lkn wao wanajua kuweka mafuta tu maintainance ni umetaja zero,Engine oil anaweka kitu ya Sae-40,ATF anaweka sijui ya General,Spark plugs anaweka ya buku 4 hahah lazima litazingua tu ukijumlisha na foleni hapa town wese litaliwa mbaya kabisa.
Umetaja kitu Cha SAE-40 nikakumbuka mafundi flan wa kuunga-unga nilikua nawatumia Sana nilitaka kusafir wanaenda kumwaga oil pale Bungoni
 

Attachments

  • IMG-20201218-WA0009.jpg
    IMG-20201218-WA0009.jpg
    44.9 KB · Views: 27
Back
Top Bottom