JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
20W-50 ni oil nzito sana kwa hiyo gari.20W-50 INAFAA?
Recommended oil kwa 1NZ-FE ni 5W-30 na 10W-30.
Nje ya hapo ni mtu ameamua tu kuweka mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
20W-50 ni oil nzito sana kwa hiyo gari.20W-50 INAFAA?
Mkuu kwa nchi za Tropiki kwenye joto jingi naona Kama 20W-50 SI mbaya Kama inavyoenezwa20W-50 ni oil nzito sana kwa hiyo gari.
Recommended oil kwa 1NZ-FE ni 5W-30 na 10W-30.
Nje ya hapo ni mtu ameamua tu kuweka mwenyewe.
Unahisi joto la jua hizi degree 32 zina impact yoyote kulinganisha na joto linalozalishwa na engine ikiwa kazini?Mkuu kwa nchi za Tropiki kwenye joto jingi naona Kama 20W-50 SI mbaya Kama inavyoenezwa
Mkuu sasa ubashauri pesa ipi ndio itumike kununua mafuta zaidi ya pesa ya mshahara kwa mimi mfanyakazi ?????Pesa ya mshahara ukitumika Kwenye mafuta lazima ushindwe Tu kumiliki gari hata huko Kwenye premio atashindwa Tu...
Inategemea unaishi vipi na unalipwaje Ila Kwenye Magari inapendeza Sana kama unapata vijisent nje ya mshahara hapo utafurah Zaid pia usiache kumiliki gari eti kwavile unalipwa pesa kidogo...Mkuu sasa ubashauri pesa ipi ndio itumike kununua mafuta zaidi ya pesa ya mshahara kwa mimi mfanyakazi ?????
Pesa za deals ndio zitumike kununua mafutaMkuu sasa ubashauri pesa ipi ndio itumike kununua mafuta zaidi ya pesa ya mshahara kwa mimi mfanyakazi ?????
Samahani....unadhani joto la nje hata kama lipo nyuzi 50, je linaweza likazidi joto la engine wakti inafanya kazi ya kupanda milima....??[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Mkuu kwa nchi za Tropiki kwenye joto jingi naona Kama 20W-50 SI mbaya Kama inavyoenezwa
Mkuu mm nime-google tu nikakutana hiyo pweinti usinipopoe maweSamahani....unadhani joto la nje hata kama lipo nyuzi 50, je linaweza likazidi joto la engine wakti inafanya kazi ya kuoanda milima....??[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hapana mkuu...Mkuu mm nime-google tu nikakutana hiyo pweinti usinipopoe mawe
Mkuu hapo nilimaanisha income ya mwezi mzima, utoe matumizi yote ya msingi..kwa mfanoMkuu kwa hesabu zako hizi cc 2000+ utegemee monthly revenue ya 800k? Labda unakaa mwenge ofice mikocheni vinginevyo utapaki gari sana tu!
Ahaa! Kama ni hivi uko sawa kabisa, nimekusoma mkuu [emoji106]Mkuu hapo nilimaanisha income ya mwezi mzima, utoe matumizi yote ya msingi..kwa mfano
*kodi ya nyumba kwa waliopangisha...
Mungu akubariki mkuu...[emoji120][emoji120][emoji120]Siku si nyingi nami nitakuwa na cha kuchangia kwenye nyuzi kama hizi[emoji124][emoji124]
Kuna moja 2GR Lina 3,400cc 🤣🤣🤣🤣🤣. Jamaa lilikuwa linampa 4.1km/l. Mafuta ya 20,000 daily na Ana mshahara wa milioni moja.
Kapiga chini yuko premio.
Unategemea na gari utaitumia wapi , ukikaaa makambako huko Kuna Siku unaamka temp no minus celcius , 20w -50 itaumiza engine yako, Ila kwa altitude za dar na pwani inaweza isikuletee shidaMkuu kwa nchi za Tropiki kwenye joto jingi naona Kama 20W-50 SI mbaya Kama inavyoenezwa
Hii inaweza kuwa ngumu kuapply, umesema vizuri sana kwamba si sahihi kutumia hela ya mshahara kununua mafuta ya gari, kwa sababu itakuwa sawa na kwamba unamrudishia hela huyo aliyekulipa mshahara ufanye kazi yake, hii ni kweli, lakini unaposema tena tusiache kumiliki gari kwa sababu ya kulipwa mshahara kidogo.Inategemea unaishi vipi na unalipwaje Ila Kwenye Magari inapendeza Sana kama unapata vijisent nje ya mshahara hapo utafurah Zaid pia usiache kumiliki gari eti kwavile unalipwa pesa kidogo...
Umeongea vizuri lakini hapo mwisho, kwa nini mtu ukubali gari likuzimikie mafuta barabarani...? Huo ni ujinga uliopitiliza...Hii inaweza kuwa ngumu kuapply, umesema vizuri sana kwamba si sahihi kutumia hela ya mshahara kununua mafuta ya gari, kwa sababu itakuwa sawa na kwamba unamrudishia hela huyo aliyekulipa mshahara ufanye kazi yake, hii ni kweli, lakini unaposema tena tusiache kumiliki gari kwa sababu ya kulipwa mshahara kidogo, nadhani hii inakuwa mchanganyiko, ni waajiri wachache sana waliostaarabika wanaolipa hela ya usafiri out of mshahara kwa wafanyikazi wao...
Mkuu hapo nilimaanisha income ya mwezi mzima, utoe matumizi yote ya msingi..kwa mfano
*kodi ya nyumba kwa waliopangisha...