Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Ni ubunifu wa mradi wa uhakika wa kula pesa za marehemu.
Kama ningekuwa na dola 200,000 basi tumaini langu ningeliweka kwa hawa watu, kuliko kuwa na imani kwamba watu wote tutafufuliwa na Mungu ambaye mpaka sasa ameshindwa kuonekana zaidi ya kufikirika tu.
 
Mochwari zitakosa wateja
 
Dah mkuu Kanungila long time jamvin. Za moro? Last seen may 2023. Hope everything is alright. Sisi bado tupo humu na kina adriz. Dogo anakera balaa kaniaribia Santana jamvin na sitamuacha maamaee al be his nightmare forever l.

Nyambulet Nyangwisi Maarasmitayo

Nyau de adriz
 
Hii Dunia vituko haviishi
 
🤣 Kumbe nao Wana saccos 🥴
Wewe huoni wanakuambia lipa kabla hujafa kila mwezi makato juu kwa juu
Hivi mtu akifa unafikiri wenye kampuni watakubali wafungue freezer hewa itoke kisa unachungulia ndugu kama yumo? 😆 😂

Saccos yao kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…