Cryonics itafanikiwa but very late kabisa compared na mafanikio ya mind aploading...
Kwa msaada wa Nanotechnology kuna uwezekano wa kufanya mind( mental intelligence) apload in the future time kuliko cryonics...
Tayari kampuni ya Spacee X imeingia mkataba na kampuni ya McMullan ambayo ipo sweden tayari kuanza kutengeneza chips ambazo zitapandikizwa kwa kila embryo aliyopo tumboni kwa mama mjaamzito kwa kutumia micropipete injection au Direct Chip Innoculation(DCI) au kwa kutumia Vaccine Innoculation ili akizaliwa tayari inakuwa ishafika na kuji embed kwenye brain kisha kuanza kumonitor mind process na kuhifadhi data zake kwenye hizo subchip ambazo zina GIGABYTE ya kuhifadhi katika kufanya mind apload yake ..
Mtu akifa tayari kichipi kitakuwa kimebaki kwenye brain na tutakitoa kisha kikiweka kwenye machine ambayo tutaaanza kuona mawazo yake na process nzima ya mfumo wake wa ubongo na jinsi unaavyofanya kazi kuanzia akiwa tumboni mpaka amekua na source of death...
Manake tutakuwa tushafanya total mind apload kwa yule mtu na kuihifandhi kwenye chip.
Kumbuka mind ndo uhai wa kiumbe yoyote...hivyo ukiweza kuhamisha mind tayari umehamisha ufahamu ( consciousness ) yake...na ufahamu ndo maisha halisi ya mtu husika...
Ukifa sisi tunatoa kichip chetu kwenye ubongo ambacho kilikuwa kimelink na neural circuit zako hence kufanya mtiririko mmoja wa mind...
Hivyo consciousness yako itakuwa ipo kwenye chip coz linkage yake imefanyika since embryology yako..
Kwa hiyo kwa kuwa ufahamu wako wote utakuwa kwenye ki chip ,tutaweza kuendeleza ufahamu wako kwa kuupandikiza kwenye Artificial Human Body ambazo zitaanza kutengenezwa kwa msaada wa "Human body cloning" kupitia process za "Somatic Cell Nuclear Transfer" ambapo mtu anayehitaji kurudishwa maisha baada ya kufa atatakiwa kudonate( kutoa) cell yake moja tu kishaa tutaiprocess na kuihifadhi ili akifa tunaitimia hiyo cell yake moja kufanya exactly body cloning yake...
Kwenye human body cloning tutaweza tengeneza copy yako halisi kwa kuwa tutakuwa na access ya cell zako pindi ukiwa hai...hivyo tutakuclone ili tupate exactly copy ya mwili wako kisha kuweka ile chip yako iliyosynchronize kwa kuhifadhi intelligence yako ....hapa tutaweza kuseparate intelligence ya clone na yko kwani kwenye ile cell yako tutaweza kuitoa gene inayohusika na intelligence ili tutakapofanya cloning ya mwili wako basi ubongo uje ukiwa hauna Intelligence make accesss ya intelligence yako tunayo kupitia ile chip...tutatakiwa kuipandikiza tu kisha kufanya total memory back up kwa mashine maalumu na mwili utaaanzaa kufanya kazi na ufahamu wako utakufanya ukukumbuke kabisa kuwa ni wewe na utajiona ulikuwa umelela usingizi mzito na sasa umeamka..
Baada ya hapo utaweza kuwa hai tena ,ikumbukwe kuwa kuanzia process zote tangu ulipozaliwa na kukua na kuinteract na watu mpaka ulivyokuwa na mpaka ulipofikia hatua ya kufa taarifa zipo kwenye ubongo wako ambao ndo ile chip yako ..
So that's how human being is going to survive under several phases huku kumbukumbu yako ikiwa ndo msaada pekeee wa kukurudisha ulipoishia...
So Cryonics inaweza ikafeli au ikachelewa kama nanotechnology itawahisha utengenezaji wa chip amazo zitakuwa na bytes maalumu katika kufanya mind apload ...
All in all science is fantasy .......
Sent using Nokia 8 Plus