Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Tangu nione movie ya the 6th days ya Arnold Schwarzenegger mwaka 2001 na kugusa gusa hizi habari za clone kiasi nika-conclude huko kwa wenzetu inawezekana kabisa watu wengi maarufu walishakufa kisiri siri tunazoziona/kuishi nazo ni clone zao
tazama THE ISLAND ,mengi utayaelewa....they portray codes of reality in the future.
 
tazama THE ISLAND ,mengi utayaelewa....they portray codes of reality in the future.

Okay chief

Nimejaribu ku-check poster nadhani ni hii right?

IMG_9016.JPG
 
Thanks ngoja niitafute
clone wanatengenezwa underground kisha wanakuwa humo humo wamepewa mazingira yote ila none of them knows alikujaje na wamejikuta wapo humo na wakihoji their origin wanaishia kuahidiwa kuwa watapelekwa kwenye Island kutalii but walikua wananyofolewa viungo kwa ajili ya kufanya organ transplant kwa wengine.....ni balaa
 
Niwie Radhi Mkuu
Nina mtoto wangu aling'oka meno akiwa na miaka sita ..na mengine yakaoza ..as now tunatumia meno bandia...na jana tumeenda kufanya kipimo cha meno ya magego coz hayo bado hayakung'oka ila yako taabani na binti yangu analia sana

:tunaweza kupata plantation ya Meno/Kinywa?
 
Niwie Radhi Mkuu
Nina mtoto wangu aling'oka meno akiwa na miaka sita ..na mengine yakaoza ..as now tunatumia meno bandia...na jana tumeenda kufanya kipimo cha meno ya magego coz hayo bado hayakung'oka ila yako taabani na binti yangu analia sana

:tunaweza kupata plantation ya Meno/Kinywa?
duuh....mmenda dental clinic wakawaambiaje..?
Ana umri gan mpaka sasa....?
 
Cryonics itafanikiwa but very late kabisa compared na mafanikio ya mind aploading...

Kwa msaada wa Nanotechnology kuna uwezekano wa kufanya mind( mental intelligence) apload in the future time kuliko cryonics...

Tayari kampuni ya Spacee X imeingia mkataba na kampuni ya McMullan ambayo ipo sweden tayari kuanza kutengeneza chips ambazo zitapandikizwa kwa kila embryo aliyopo tumboni kwa mama mjaamzito kwa kutumia micropipete injection au Direct Chip Innoculation(DCI) au kwa kutumia Vaccine Innoculation ili akizaliwa tayari inakuwa ishafika na kuji embed kwenye brain kisha kuanza kumonitor mind process na kuhifadhi data zake kwenye hizo subchip ambazo zina GIGABYTE ya kuhifadhi katika kufanya mind apload yake ..

Mtu akifa tayari kichipi kitakuwa kimebaki kwenye brain na tutakitoa kisha kikiweka kwenye machine ambayo tutaaanza kuona mawazo yake na process nzima ya mfumo wake wa ubongo na jinsi unaavyofanya kazi kuanzia akiwa tumboni mpaka amekua na source of death...


Manake tutakuwa tushafanya total mind apload kwa yule mtu na kuihifandhi kwenye chip.

Kumbuka mind ndo uhai wa kiumbe yoyote...hivyo ukiweza kuhamisha mind tayari umehamisha ufahamu ( consciousness ) yake...na ufahamu ndo maisha halisi ya mtu husika...

Ukifa sisi tunatoa kichip chetu kwenye ubongo ambacho kilikuwa kimelink na neural circuit zako hence kufanya mtiririko mmoja wa mind...

Hivyo consciousness yako itakuwa ipo kwenye chip coz linkage yake imefanyika since embryology yako..

Kwa hiyo kwa kuwa ufahamu wako wote utakuwa kwenye ki chip ,tutaweza kuendeleza ufahamu wako kwa kuupandikiza kwenye Artificial Human Body ambazo zitaanza kutengenezwa kwa msaada wa "Human body cloning" kupitia process za "Somatic Cell Nuclear Transfer" ambapo mtu anayehitaji kurudishwa maisha baada ya kufa atatakiwa kudonate( kutoa) cell yake moja tu kishaa tutaiprocess na kuihifadhi ili akifa tunaitimia hiyo cell yake moja kufanya exactly body cloning yake...

Kwenye human body cloning tutaweza tengeneza copy yako halisi kwa kuwa tutakuwa na access ya cell zako pindi ukiwa hai...hivyo tutakuclone ili tupate exactly copy ya mwili wako kisha kuweka ile chip yako iliyosynchronize kwa kuhifadhi intelligence yako ....hapa tutaweza kuseparate intelligence ya clone na yko kwani kwenye ile cell yako tutaweza kuitoa gene inayohusika na intelligence ili tutakapofanya cloning ya mwili wako basi ubongo uje ukiwa hauna Intelligence make accesss ya intelligence yako tunayo kupitia ile chip...tutatakiwa kuipandikiza tu kisha kufanya total memory back up kwa mashine maalumu na mwili utaaanzaa kufanya kazi na ufahamu wako utakufanya ukukumbuke kabisa kuwa ni wewe na utajiona ulikuwa umelela usingizi mzito na sasa umeamka..

Baada ya hapo utaweza kuwa hai tena ,ikumbukwe kuwa kuanzia process zote tangu ulipozaliwa na kukua na kuinteract na watu mpaka ulivyokuwa na mpaka ulipofikia hatua ya kufa taarifa zipo kwenye ubongo wako ambao ndo ile chip yako ..

So that's how human being is going to survive under several phases huku kumbukumbu yako ikiwa ndo msaada pekeee wa kukurudisha ulipoishia...

So Cryonics inaweza ikafeli au ikachelewa kama nanotechnology itawahisha utengenezaji wa chip amazo zitakuwa na bytes maalumu katika kufanya mind apload ...

All in all science is fantasy .......

Sent using Nokia 8 Plus

Nmewaza tu akil za wabongo wengi zinazowqza ngono 24/7 utoe chip yake ueke kwenye computaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Unaeza ivunja kwa hasira
 
"...Mind apload ndo habari ya muuujiniiii kwa wenye pesa..

Unawekewa kifaa cha kuwa kinahifadhi kumbukumbu zako na pindi unapokufa tunakitoa kisha tunamuwekea clone wako kisha unakuwa wewe...

Hakutakuwa na utofauti na original (ulivyokuwa )kwani uhalisia wa mtu ni ufahamu halisi..."

"...mind ndo uhai wa kiumbe yoyote...hivyo ukiweza kuhamisha mind tayari umehamisha ufahamu ( consciousness ) yake...na ufahamu ndo maisha halisi ya mtu husika..."


Hizo nimemnukuu lifecoded, sijaongeza wala kupunguza neno. Naomba upitie tena kisha uone kama mafolder yamecheza. Shukran
Kumbe wewe ni mgumu kuelewa eeh?

lifecoded anasema ufahamu wako ndio uhalisia wako, ndio wewe na ndio uhai wako (yaani unavyojihisi hai hiyo ni kutokana na ufahamu wako)

Hiyo chip itakayowekwa itakuwa inakopi taarifa mbalimbali kama zilivyo kutoka kwenye ufahamu wako wa Sasa na kuzihifadhi. Happy kazi ya chip itakuwa ni kuhifadhi hizo taarifa tu.

Siku ukifa utatengenezwa mwili mwingine ambazo unafanana na wako kwa kila kitu kisha ile chip itawekwa pale na ikiunganishwa fresh basi ufahamu wako kutoka kwenye mwili wako wa awali utahamia kwenye huu mwili mpya. Kwa kuwa uhalisia wako wote na huo uwewe unatokana na ufahamu wako Basi hapo utajiona ni wewe tu yule yule na wala hutojua kuwa upo kwenye mwili maingine maana utajihisi tu kuwa umeamka kutoka usingizini.

Hapo nimejaribu kufafanua maelezo ya lifecoded na Kama nimekosea atanikosoa. Ila kutokana na maelezo haya mimi ninamkanganyiko kidogo,

Huu mwili mpya na ufahamu wake vyote ni copy. Mtu halisi anakuwa amekufa na ufahamu wake ule halisi, kwa hiyo atakuwa huko kwa wafu (Kama kweli kupo)

Ikitokea labda kafufuka, au labda hakuwa amekufa sawa sawa so karejea kuwa hai atakuwa na ufahamu ule wa zamani kabla hajafa ila muendelezo wa ufahamu wake utakuwa tofauti na muendelezo wa ufahamu wa yule ambaye ni copy, Sasa hapa ndo feki atakapofeli maana huyu real atakuwa real so muendelezo wake utakuwa real halafu yule copy muendelezo wake utakuwa feki feki tu.

Nipo sahihi lifecoded?
 
Kumbe wewe ni mgumu kuelewa eeh?

lifecoded anasema ufahamu wako ndio uhalisia wako, ndio wewe na ndio uhai wako (yaani unavyojihisi hai hiyo ni kutokana na ufahamu wako)

Hiyo chip itakayowekwa itakuwa inakopi taarifa mbalimbali kama zilivyo kutoka kwenye ufahamu wako wa Sasa na kuzihifadhi. Happy kazi ya chip itakuwa ni kuhifadhi hizo taarifa tu.

Siku ukifa utatengenezwa mwili mwingine ambazo unafanana na wako kwa kila kitu kisha ile chip itawekwa pale na ikiunganishwa fresh basi ufahamu wako kutoka kwenye mwili wako wa awali utahamia kwenye huu mwili mpya. Kwa kuwa uhalisia wako wote na huo uwewe unatokana na ufahamu wako Basi hapo utajiona ni wewe tu yule yule na wala hutojua kuwa upo kwenye mwili maingine maana utajihisi tu kuwa umeamka kutoka usingizini.

Hapo nimejaribu kufafanua maelezo ya lifecoded na Kama nimekosea atanikosoa. Ila kutokana na maelezo haya mimi ninamkanganyiko kidogo,

Huu mwili mpya na ufahamu wake vyote ni copy. Mtu halisi anakuwa amekufa na ufahamu wake ule halisi, kwa hiyo atakuwa huko kwa wafu (Kama kweli kupo)

Ikitokea labda kafufuka, au labda hakuwa amekufa sawa sawa so karejea kuwa hai atakuwa na ufahamu ule wa zamani kabla hajafa ila muendelezo wa ufahamu wake utakuwa tofauti na muendelezo wa ufahamu wa yule ambaye ni copy, Sasa hapa ndo feki atakapofeli maana huyu real atakuwa real so muendelezo wake utakuwa real halafu yule copy muendelezo wake utakuwa feki feki tu.

Nipo sahihi lifecoded?

Umesoma vizuri hizo nukuu nilimnukuu nani na tulikua tunaongelea kitu gani kwenye hii mada? Kulikua na haja ya kuelezea uelewa wangu kitu ambacho najua haukielewi hata kidogo? Jitahidi kujikita kwenye hoja na kufuatilia mtiririko wa mjadala...
 
Umesoma vizuri hizo nukuu nilimnukuu nani na tulikua tunaongelea kitu gani kwenye hii mada? Kulikua na haja ya kuelezea uelewa wangu kitu ambacho najua haukielewi hata kidogo? Jitahidi kujikita kwenye hoja na kufuatilia mtiririko wa mjadala...
Kiukweli haya mambo siyajui ndio Kwanza nayasoma hapa na naelewa japo si kazi rahisi, nilidhani hujamuelewa lifecoded so nikawa najaribu kukuelewesha ila Kama unaona nimekosea sorry wala sihitaji kufight nipo hapa kujifunza.... Ila sijui kwanini wengi wenye "bahati" ya kuyajua mambo magumu huwa mnakuwa very aggresive
 
Ujinga tu. Kuna sababu ya kuumbe hai kufa. Kufufuka ndotoooo...

Kama kuna kufufuka sasa kwann kuna kufa.

Ujinga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Man hate what they cant understand ,fear what they cant conquor...kijana kama huna ufaham sio lazima kutukana...ni kamq vidudu kukutana na hesabu za form six
 
lifecoded hii cell moja iliyokomaa inaweza ku undergo differentiation inayotokea during embryology? mi nilidhani cell zenye uwezo huo ni mesenchyme cells tu? Sasa ina differentiate vipi kuunda mifupa na nyama tofauti kama maini,kucha na nywele? au inatumika wapi hii cell?
 
lifecoded hii cell moja iliyokomaa inaweza ku undergo differentiation inayotokea during embryology? mi nilidhani cell zenye uwezo huo ni mesenchyme cells tu? Sasa ina differentiate vipi kuunda mifupa na nyama tofauti kama maini,kucha na nywele? au inatumika wapi hii cell?
mkuu....kwani nini kinachocontrol cell differengiation.......?? is'nt gene ....?? hiyo cell moja ina idadi sawa ya genes ambazo kila cell inazo...kwa hiyo usishangae kwanini mesenchymal differentiation inakuwa enhenced kuliko cell zingine....all in all gene ndo kila kitu.
 
Kwa hiyo huyo pacha (clone) anakua anaishi kwa mitambo kama wewe hadi hapo atakapowekewa consciousness yako au inakuwaje jemedari? Kwa ufupi nataka kujua, huyo clone hatakuwa na kitu gani ambacho donor anacho?

Huu ndio uzuri wa wenzetu, wameshafanya mambo mengi ya maendeleo ambayo sie bado tunahangaika nayo, wameamua kuhamia kwenye vitu vingine kabisa. Ni kama tunaishi ulimwengu tofauti kabisa na wenzetu.

bado tunahangaika na mlo, maradhi, umasikini, huduma bora za afya, elimu na mambo ya kawaida kabisa. Tuna safari ndefu sana.

Sina uhakika sana endapo watakuja kufikia lengo lao hivi karibuni, lakini katika huo mchakato wa kufikia hilo kusudi, hapo kati kati wataendelea kugundua mambo mengi sana yenye manufaa na yatakayobadili sana sekta ya afya na maboresho ya binadamu kwa ujumla.
The universe is constructed by mental ...hakuna litakaloshindikana....kinachofikilika ndo kinachoonekana....

Hebrews 11:3 “Through faith we understand that the worlds were framed by the word of God, so that
things which are seen were not made of things which do appear”
Screenshot_20190526-224336~2.jpeg
 
The universe is constructed by mental ...hakuna litakaloshindikana....kinachofikilika ndo kinachoonekana....

Hebrews 11:3 “Through faith we understand that the worlds were framed by the word of God, so that
things which are seen were not made of things which do appear”View attachment 1108857

Ndio maana sikusema haiwezekani, nimeeleza inaweza kuchukua muda.

Na Biblia hiyo hiyo inasema aonavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo.

Ukijiona au kufikiri ni wa kushindwa, utashindwa tu. Ukiwa na fikra na mawazo ya kuweza, utaweza.
Hauwezi kuwa zaidi ya vile unavyowaza.

Mind is everything.
 
Back
Top Bottom