Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Labda mkuu hujalielewa kile kinachomaanisha clone

Clone ni kiumbe pacha kwa subject yeyote ile _ni kwamba kama umekufa wanaweza kuchukua cell yako na kuikuza na kupatikana kiumbe anayefanana na wewe kimuonekano kwa [emoji817]%

Ila tofauti yake ni kwamba hatokuwa na kumbukumbu zako za awali_ sasa katika hilo ndipo likatokezwa wazo la chip implant tech ambayo mkuu coded anatutaarifu inavyohisiwa kufanya kazi kwa kusaidia huyo clone kuwa Kama wewe wa awali

Sawa mkuu

Huko nimeshaelewa. Ukifa ukahifadhiwa kwenye mazingira rafiki, ukiwekewa chip iliyokua kwa mtu mwingine, utaishi? Tuweke suala la kuwa na replica kando, tujikite kwenye uhai kwanza.

Na endapo clone ya binadam aliyewekewa chip inawezekana, kwanini nikifa kama nilikua na chip wasishughulikie mwili wangu usiharibike kisha wakatumia hiyo chip yangu kunirejeshea maisha?
Na hapo ndio nikauliza endapo nna chip tayari tokea niko tumboni, kwanini nife?

Karibu
 
Huko nimeshaelewa. Ukifa ukahifadhiwa kwenye mazingira rafiki, ukiwekewa chip iliyokua kwa mtu mwingine, utaishi? Tuweke suala la kuwa na replica kando, tujikite kwenye uhai kwanza.

Na endapo clone ya binadam aliyewekewa chip inawezekana, kwanini nikifa kama nilikua na chip wasishughulikie mwili wangu usiharibike kisha wakatumia hiyo chip yangu kunirejeshea maisha?
Na hapo ndio nikauliza endapo nna chip tayari tokea niko tumboni, kwanini nife?

Karibu
mkuu..nimekusoma....but ujue kuwa tunakufa kwa sababu miili yetu ina limitation ya kubeba consciousness..kama miili yetu ingekuwa na uwezo wa kuhandle milele kusingekuwa na kifo cha miili....our consciousness never die....huwa zinashift from one plane dimension of life to another...

The reason behind ndo hiyo.....kama mtu atapatwa na magonjwa ambayo yataharakisha cell za mwili kufa au baadhi ya viungo vya mwili kushindwa kufanya kazi basi atakufa lakini consciousness itashift into other plane of realm.
 
Mind apload ndo habari ya muuujiniiii kwa wenye pesa..

Unawekewa kifaa cha kuwa kinahifadhi kumbukumbu zako na pindi unapokufa tunakitoa kisha tunamuwekea clone wako kisha unakuwa wewe...

Hakutakuwa na utofauti na original (ulivyokuwa )kwani uhalisia wa mtu ni ufahamu halisi.View attachment 1047503

Sent using Nokia 8 Plus
Kwenye hii concept ya clonning,huyo clone atakua anafanana hata kimuonekano na original being??
 
Huko nimeshaelewa. Ukifa ukahifadhiwa kwenye mazingira rafiki, ukiwekewa chip iliyokua kwa mtu mwingine, utaishi? Tuweke suala la kuwa na replica kando, tujikite kwenye uhai kwanza.

Na endapo clone ya binadam aliyewekewa chip inawezekana, kwanini nikifa kama nilikua na chip wasishughulikie mwili wangu usiharibike kisha wakatumia hiyo chip yangu kunirejeshea maisha?
Na hapo ndio nikauliza endapo nna chip tayari tokea niko tumboni, kwanini nife?

Karibu
mkuu....mwili wako ni kontena linalobeba maisha yako wewe na mwili wako unamechanism zake za kuruhusu uwepo wa hizo consciosness....so kuna specific genes inayohusika na automaticity myocitic (cardiac)cell death kila ukifikisha miaka kadhaaa..

Kwa hiyo tunakufa miili kwa sababu kuna specific genes huwa zinacontrol mwili wetu uishi kwa muda flani...that's why wanasayansi bado wanaendelea na utafiti wa kuibaini hiyo gene inayokomand automatic cardiac cell death.....ikishajulikana tuwanaweza kumodify life expectance ya cardiac cell....na hiyo ipo kwenye malengo ya nanotechnology
 
Ujinga tu. Kuna sababu ya kuumbe hai kufa. Kufufuka ndotoooo...

Kama kuna kufufuka sasa kwann kuna kufa.

Ujinga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Akil dhaif ndio mwisho wa mawazo yake hapo.Wengine wanapohangaika kutafuta life purpose nyie mkivimbiwa tu mnaanza kutukana halaf at end of tym ndio wa kwanza kutaka kufaidika na maendeleo ambayo wengine wame hassle kuya establish
 
Sasa hapo mkuu kama waliweza kwa Wako jacko, si maana yake hii Nano technology is arleady succesful.Why shldnt they deploy to real daily life ??
ni kweli wapo succesfully..but hawapendi kuwa wanaanika vitu openly..kila kitu wanasema wapo kwenye mpango..ukiona project flani imetangazwa kuwa inataftiwa maarifa ujue iko tayari na ukiona kimya ujue kuna project zinafanyiwa test..zikikaa sawa inatangazwa kuwa watajaribu kufanya ..ndo maisha hayo mkuu...
 
Niwe muwaz kwenye uzi huu wengi tumebak kuwa WAPENZI WATAZAMAJI wakat wadau wanachuana jukwaan.
Ahsanten.
 
mkuu....mwili wako ni kontena linalobeba maisha yako wewe na mwili wako unamechanism zake za kuruhusu uwepo wa hizo consciosness....so kuna specific genes inayohusika na automaticity myocitic (cardiac)cell death kila ukifikisha miaka kadhaaa..

Kwa hiyo tunakufa miili kwa sababu kuna specific genes huwa zinacontrol mwili wetu uishi kwa muda flani...that's why wanasayansi bado wanaendelea na utafiti wa kuibaini hiyo gene inayokomand automatic cardiac cell death.....ikishajulikana tuwanaweza kumodify life expectance ya cardiac cell....na hiyo ipo kwenye malengo ya nanotechnology

Kwanza, nitoe shukrani kwa maelezo mazuri kabisa yanayoeleweka. Naona tunaanza kuwa pamoja kwenye baadhi ya mambo.
Kwa mantiki hiyo, UHAI sio mind pekee, ni mchanganyiko wa vitu kadhaa. Hauwezi kuhamisha tu vitu vilivyohifadhiwa kwa chip vikasababisha uhai.

Pili, viungo vya mwili (kontena linalobeba maisha kama ulivyoliita) lina ukomo wake, ikishafikia hapo hata ukiliwekea tena chip iliyokuwa na kumbukumbu na mfumo wake wa awali, hautarudi kwenye maisha. Hapo ndio nafikiri sasa watu wanazalisha clone kwa kutumia vitu vilivyotoka kwa donor ili ikija kupandikizwa ile chip, iendelee na maisha kama aliyokuwa nayo mhusika kabla hajafa.
Na kama ni hivyo, kwanini wafikirie kuhifadhi mwili wa mtu aliyefariki ikiwa inajulikana kwamba umeshafikia ukomo wake wa kundelea kushikilia uhai? Au ndio kwa vile wanaendelea na tafiti?

Niulize tu, MJ ni kweli imethibitishwa alifanyiwa hicho kitu au bado ni habari ambazo hazijathibitishwa.Lengo sio kubisha au kupinga, ni kujua maendeleo ya huu mpango yapo kwenye hatua gani kufikia kusudi lao? Najua mwisho wa siku kinachohangaikiwa ni watu kuishi muda mrefu zaidi.
 
mkuu....mwili wako ni kontena linalobeba maisha yako wewe na mwili wako unamechanism zake za kuruhusu uwepo wa hizo consciosness....so kuna specific genes inayohusika na automaticity myocitic (cardiac)cell death kila ukifikisha miaka kadhaaa..

Kwa hiyo tunakufa miili kwa sababu kuna specific genes huwa zinacontrol mwili wetu uishi kwa muda flani...that's why wanasayansi bado wanaendelea na utafiti wa kuibaini hiyo gene inayokomand automatic cardiac cell death.....ikishajulikana tuwanaweza kumodify life expectance ya cardiac cell....na hiyo ipo kwenye malengo ya nanotechnology

Endapo nimekupata vizuri, ni afadhali wangejikita zaidi au kuwekeza nguvu na jitihada zao kwenye hilo la kutengeneza kontena la mwili lisilokua na ukomo, kwa kuwa wamefanikiwa kuhifadhi consciousness na wanaweza kuiweka kwa mtu mwingine na umeeleza kwamba hiyo haifi wala haina ukomo ni endelevu, tatizo ni hilo kasha au kontena kama ulivyoweka vizuri.

Inamaana teknolojia ya kutengeneza/kuzalisha clone ni kama wanatengeneza kontena jipya kwa kutumia vinasaba kutoka kwa mtu husika lakini mfumo wake haupitii njia ya kawaida tuliyoizoea ya ujauzito na kuzaliwa baada ya miezi tisa?
 
Kwanza, nitoe shukrani kwa maelezo mazuri kabisa yanayoeleweka. Naona tunaanza kuwa pamoja kwenye baadhi ya mambo.
Kwa mantiki hiyo, UHAI sio mind pekee, ni mchanganyiko wa vitu kadhaa. Hauwezi kuhamisha tu vitu vilivyohifadhiwa kwa chip vikasababisha uhai.

Pili, viungo vya mwili (kontena linalobeba maisha kama ulivyoliita) lina ukomo wake, ikishafikia hapo hata ukiliwekea tena chip iliyokuwa na kumbukumbu na mfumo wake wa awali, hautarudi kwenye maisha. Hapo ndio nafikiri sasa watu wanazalisha clone kwa kutumia vitu vilivyotoka kwa donor ili ikija kupandikizwa ile chip, iendelee na maisha kama aliyokuwa nayo mhusika kabla hajafa.
Na kama ni hivyo, kwanini wafikirie kuhifadhi mwili wa mtu aliyefariki ikiwa inajulikana kwamba umeshafikia ukomo wake wa kundelea kushikilia uhai? Au ndio kwa vile wanaendelea na tafiti?

Niulize tu, MJ ni kweli imethibitishwa alifanyiwa hicho kitu au bado ni habari ambazo hazijathibitishwa.Lengo sio kubisha au kupinga, ni kujua maendeleo ya huu mpango yapo kwenye hatua gani kufikia kusudi lao? Najua mwisho wa siku kinachohangaikiwa ni watu kuishi muda mrefu zaidi.
safi sana swali zuri sana hili.....

lengo la kuhifadhi miili iliyokufa for future reback ( Cryonics) ni kwa malengo ya kurudisha uhai upya....nitafafanua kama ifuatavyo.

1) ikiwa mtu atahitaji arudishwe akisha kufa ana option ya kurudi kama ile gene inayohusika na kukomand automatic cardiac cell death itakuja kugundulika kwa msaada wa nanotechnology wataweza kuiamsha hiyo gene kisha kuruhusu cardiac cell regeneration hence kutakuwa na regeneration mpya ya cell za ubongo na moyo....kumbuka gene inayocontrol kuzima kwa moyo ipo kwenye mwili ule ule wa huyo mfu, means huwa inacomand automaticity death kwa njia ya apoptosis and dormancy...

So kama tutaweza igundua hiyo gene ambayo huwa ikikomand moyo uzime na yenyewe huwa inacease kabisa kwa hiyo inahitaji msaada outside kuwa rebooted..

2) Ikiwa mtu ataomba mwili wake uhifadhiwe ili waje wamrudishe ni either arudi lakini atahitaji universal collective consciousness ili aendelee kusavaivu japo wanasema ishu ya. kumbukumbu inaweza kuwa shida ila kumbuka kama watarudisha upya uhai wa cell zake basi hata dentate cells pamoja na third ventricular cells ambazo zinahusika na kufanya memory cell regeneration kwenye hypocampus region zitakuwa zimerudi kwakuwa zilikuwa zimecease basi zitakuwa na copy ya memory ya tangu alipozaliwa mpaka kufa tu...ila maisha ya hapo katikati hatakuwa anayakumbuka kwa sababu consciousness ilishashift kwenda kwenye another plane of realm..

3) Ikiwa mtu atahitaji kurudi baada ya kufa basi ana option ya kuomba chip implant tangu akiwa tumboni na hiyo itazuia consciousness yake isishift into other realm
so hizo ndo options for somebody to be back.
 
safi sana swali zuri sana hili.....

lengo la kuhifadhi miili iliyokufa for future reback ( Cryonics) ni kwa malengo ya kurudisha uhai upya....nitafafanua kama ifuatavyo.

1) ikiwa mtu atahitaji arudishwe akisha kufa ana option ya kurudi kama ile gene inayohusika na kukomand automatic cardiac cell death itakuja kugundulika kwa msaada wa nanotechnology wataweza kuiamsha hiyo gene kisha kuruhusu cardiac cell regeneration hence kutakuwa na regeneration mpya ya cell za ubongo na moyo....kumbuka gene inayocontrol kuzima kwa moyo ipo kwenye mwili ule ule wa huyo mfu, means huwa inacomand automaticity death kwa njia ya apoptosis and dormancy...

So kama tutaweza igundua hiyo gene ambayo huwa ikikomand moyo uzime na yenyewe huwa inacease kabisa kwa hiyo inahitaji msaada outside kuwa rebooted..

2) Ikiwa mtu ataomba mwili wake uhifadhiwe ili waje wamrudishe ni either arudi lakini atahitaji universal collective consciousness ili aendelee kusavaivu japo wanasema ishu ya. kumbukumbu inaweza kuwa shida ila kumbuka kama watarudisha upya uhai wa cell zake basi hata dentate cells pamoja na third ventricular cells ambazo zinahusika na kufanya memory cell regeneration kwenye hypocampus region zitakuwa zimerudi kwakuwa zilikuwa zimecease basi zitakuwa na copy ya memory ya tangu alipozaliwa mpaka kufa tu...ila maisha ya hapo katikati hatakuwa anayakumbuka kwa sababu consciousness ilishashift kwenda kwenye another plane of realm..

3) Ikiwa mtu atahitaji kurudi baada ya kufa basi ana option ya kuomba chip implant tangu akiwa tumboni na hiyo itazuia consciousness yake isishift into other realm
so hizo ndo options for somebody to be back.

Safi, lakini zote bado ni nadharia ambazo zinafanyiwa kazi. Na mtu anaombaje kuwekewa chip tangu akiwa tumboni wakati hajazaliwa bado? Au wazazi wanamfanyia maamuzi?
 
Endapo nimekupata vizuri, ni afadhali wangejikita zaidi au kuwekeza nguvu na jitihada zao kwenye hilo la kutengeneza kontena la mwili lisilokua na ukomo, kwa kuwa wamefanikiwa kuhifadhi consciousness na wanaweza kuiweka kwa mtu mwingine na umeeleza kwamba hiyo haifi wala haina ukomo ni endelevu, tatizo ni hilo kasha au kontena kama ulivyoweka vizuri.

Inamaana teknolojia ya kutengeneza/kuzalisha clone ni kama wanatengeneza kontena jipya kwa kutumia vinasaba kutoka kwa mtu husika lakini mfumo wake haupitii njia ya kawaida tuliyoizoea ya ujauzito na kuzaliwa baada ya miezi tisa?
ni mfumo tata sana mkuu...sio rahisi kuuelewa kirahisi...its very complex ever...its just within 12 months clone anakuwa na umbo la subject( donor)...

Lakini cloning ya viungo inakuja kusaidia pia mtu kama atapata shida ya moyo wataung'oa kisha kumfata clone wako na kumnyofoa moyo wake kisha kukuwekea wewe kwa sababu clone wako ni direct donor wa recipient wake( ambaye ni wewe)..

Kwa hiyo kudonate cell zetu kwa ajili ya clone ni kuturahisishia kuja kuhavest organ for transplant pindi tupatapo matatizo ambayo yatapelekea kupotelewa na baadhi ya viungo vyetu vya mwili....

So organ cloning inakuja kusolve difficulties nyingi sana.....kama utaishiwa damu ,clone wako atahusika kwa hilo....kama ini lako litafeli basi clone wako atadonate ...na maisha yatasonga mkuu..

Huko mbeleni zoezi wa kudonate cell kwa ajili ya clone litaenda la lazima kwani hakuna mtu atakayekusaidia damu au kudonate viungo vyake kwa ajili ya wewe but only your clone will do that..
 
Safi, lakini zote bado ni nadharia ambazo zinafanyiwa kazi. Na mtu anaombaje kuwekewa chip tangu akiwa tumboni wakati hajazaliwa bado? Au wazazi wanamfanyia maamuzi?
sory ni wazazi wana opt hiyo kitu....niliongelea generally
 
Tangu nione movie ya the 6th days ya Arnold Schwarzenegger mwaka 2001 na kugusa gusa hizi habari za clone kiasi nika-conclude huko kwa wenzetu inawezekana kabisa watu wengi maarufu walishakufa kisiri siri tunazoziona/kuishi nazo ni clone zao
 
ni mfumo tata sana mkuu...sio rahisi kuuelewa kirahisi...its very complex ever...its just within 12 months clone anakuwa na umbo la subject( donor)...

Lakini cloning ya viungo inakuja kusaidia pia mtu kama atapata shida ya moyo wataung'oa kisha kumfata clone wako na kumnyofoa moyo wake kisha kukuwekea wewe kwa sababu clone wako ni direct donor wa recipient wake( ambaye ni wewe)..

Kwa hiyo kudonate cell zetu kwa ajili ya clone ni kuturahisishia kuja kuhavest organ for transplant pindi tupatapo matatizo ambayo yatapelekea kupotelewa na baadhi ya viungo vyetu vya mwili....

So organ cloning inakuja kusolve difficulties nyingi sana.....kama utaishiwa damu ,clone wako atahusika kwa hilo....kama ini lako litafeli basi clone wako atadonate ...na maisha yatasonga mkuu..

Huko mbeleni zoezi wa kudonate cell kwa ajili ya clone litaenda la lazima kwani hakuna mtu atakayekusaidia damu au kudonate viungo vyake kwa ajili ya wewe but only your clone will do that..

Kwa hiyo huyo pacha (clone) anakua anaishi kwa mitambo kama wewe hadi hapo atakapowekewa consciousness yako au inakuwaje jemedari? Kwa ufupi nataka kujua, huyo clone hatakuwa na kitu gani ambacho donor anacho?

Huu ndio uzuri wa wenzetu, wameshafanya mambo mengi ya maendeleo ambayo sie bado tunahangaika nayo, wameamua kuhamia kwenye vitu vingine kabisa. Ni kama tunaishi ulimwengu tofauti kabisa na wenzetu.

bado tunahangaika na mlo, maradhi, umasikini, huduma bora za afya, elimu na mambo ya kawaida kabisa. Tuna safari ndefu sana.

Sina uhakika sana endapo watakuja kufikia lengo lao hivi karibuni, lakini katika huo mchakato wa kufikia hilo kusudi, hapo kati kati wataendelea kugundua mambo mengi sana yenye manufaa na yatakayobadili sana sekta ya afya na maboresho ya binadamu kwa ujumla.
 
Kwa hiyo huyo pacha (clone) anakua anaishi kwa mitambo kama wewe hadi hapo atakapowekewa consciousness yako au inakuwaje jemedari? Kwa ufupi nataka kujua, huyo clone hatakuwa na kitu gani ambacho donor anacho?

Huu ndio uzuri wa wenzetu, wameshafanya mambo mengi ya maendeleo ambayo sie bado tunahangaika nayo, wameamua kuhamia kwenye vitu vingine kabisa. Ni kama tunaishi ulimwengu tofauti kabisa na wenzetu.

bado tunahangaika na mlo, maradhi, umasikini, huduma bora za afya, elimu na mambo ya kawaida kabisa. Tuna safari ndefu sana.

Sina uhakika sana endapo watakuja kufikia lengo lao hivi karibuni, lakini katika huo mchakato wa kufikia hilo kusudi, hapo kati kati wataendelea kugundua mambo mengi sana yenye manufaa na yatakayobadili sana sekta ya afya na maboresho ya binadamu kwa ujumla.
mkuu...collective consciousness ndo inawafanya wasavaivu mkuu...
 
Back
Top Bottom