Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Yaani hiyo clonin ya sterm cell ndiyo ifanye viungo vyote in short period na kumpa uhai mtu
 
Cryonics itafanikiwa but very late kabisa compared na mafanikio ya mind aploading...

Kwa msaada wa Nanotechnology kuna uwezekano wa kufanya mind( mental intelligence) apload in the future time kuliko cryonics...

Tayari kampuni ya Spacee X imeingia mkataba na kampuni ya McMullan ambayo ipo sweden tayari kuanza kutengeneza chips ambazo zitapandikizwa kwa kila embryo aliyopo tumboni kwa mama mjaamzito kwa kutumia micropipete injection au Direct Chip Innoculation(DCI) au kwa kutumia Vaccine Innoculation ili akizaliwa tayari inakuwa ishafika na kuji embed kwenye brain kisha kuanza kumonitor mind process na kuhifadhi data zake kwenye hizo subchip ambazo zina GIGABYTE ya kuhifadhi katika kufanya mind apload yake ..

Mtu akifa tayari kichipi kitakuwa kimebaki kwenye brain na tutakitoa kisha kikiweka kwenye machine ambayo tutaaanza kuona mawazo yake na process nzima ya mfumo wake wa ubongo na jinsi unaavyofanya kazi kuanzia akiwa tumboni mpaka amekua na source of death...


Manake tutakuwa tushafanya total mind apload kwa yule mtu na kuihifandhi kwenye chip.

Kumbuka mind ndo uhai wa kiumbe yoyote...hivyo ukiweza kuhamisha mind tayari umehamisha ufahamu ( consciousness ) yake...na ufahamu ndo maisha halisi ya mtu husika...

Ukifa sisi tunatoa kichip chetu kwenye ubongo ambacho kilikuwa kimelink na neural circuit zako hence kufanya mtiririko mmoja wa mind...

Hivyo consciousness yako itakuwa ipo kwenye chip coz linkage yake imefanyika since embryology yako..

Kwa hiyo kwa kuwa ufahamu wako wote utakuwa kwenye ki chip ,tutaweza kuendeleza ufahamu wako kwa kuupandikiza kwenye Artificial Human Body ambazo zitaanza kutengenezwa kwa msaada wa "Human body cloning" kupitia process za "Somatic Cell Nuclear Transfer" ambapo mtu anayehitaji kurudishwa maisha baada ya kufa atatakiwa kudonate( kutoa) cell yake moja tu kishaa tutaiprocess na kuihifadhi ili akifa tunaitimia hiyo cell yake moja kufanya exactly body cloning yake...

Kwenye human body cloning tutaweza tengeneza copy yako halisi kwa kuwa tutakuwa na access ya cell zako pindi ukiwa hai...hivyo tutakuclone ili tupate exactly copy ya mwili wako kisha kuweka ile chip yako iliyosynchronize kwa kuhifadhi intelligence yako ....hapa tutaweza kuseparate intelligence ya clone na yko kwani kwenye ile cell yako tutaweza kuitoa gene inayohusika na intelligence ili tutakapofanya cloning ya mwili wako basi ubongo uje ukiwa hauna Intelligence make accesss ya intelligence yako tunayo kupitia ile chip...tutatakiwa kuipandikiza tu kisha kufanya total memory back up kwa mashine maalumu na mwili utaaanzaa kufanya kazi na ufahamu wako utakufanya ukukumbuke kabisa kuwa ni wewe na utajiona ulikuwa umelela usingizi mzito na sasa umeamka..

Baada ya hapo utaweza kuwa hai tena ,ikumbukwe kuwa kuanzia process zote tangu ulipozaliwa na kukua na kuinteract na watu mpaka ulivyokuwa na mpaka ulipofikia hatua ya kufa taarifa zipo kwenye ubongo wako ambao ndo ile chip yako ..

So that's how human being is going to survive under several phases huku kumbukumbu yako ikiwa ndo msaada pekeee wa kukurudisha ulipoishia...

So Cryonics inaweza ikafeli au ikachelewa kama nanotechnology itawahisha utengenezaji wa chip amazo zitakuwa na bytes maalumu katika kufanya mind apload ...

All in all science is fantasy .......
Sikuwahi kufahamu kumbe mtu anaweza kuota ndoto ndefu kama hii akiwa hajalala duuh
 
Cloned human anaweza kuwa subjected kwenye mazingira yoyote yale yanayomwaffect binadamu pia...

It's like Wako Jacko...

He died since then but his clone was surviving na alikuwa anapatiwa matibabu kama kawaida akiugua n.k ....So ni binadamu ambaye kapewa ufahamu kupitia chip mind controller na anapata kuwa mtu katika mazingira yote ..
Hapa sijakuelewa, Mwanzo umesema ni jambo linaweza likaja kufanikiwa ila kwa kuchelewa,
Lakini hapa unasema Wacko Jacko alifanyiwa hivyo,
 
Hapo kwa walt disney umetuongopea hakuhifadhiwa kwenye hayo madude. Amezikwa kaburini kama wengine.
 
Nchini Marekani, kuna zaidi ya sehemu 100 ambazo zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki.

Sehemu hizo zimejengwa katika hali ya kuweza kuifanya miili hiyo isiharibike na kubaki katika hali ya kawaida.

Hii inatokana na imani ya kwamba katika miaka ijayo, Binadamu watakuwa na uwezo wa kurudisha maisha ya watu waliofariki.

Hivyo, watu wengi hasa matajiri, kabla ya kufa hutoa order yao kwamba akifa ahifadhiwe huko, ili ikitokea siku Binadamu akafanikisha kurudisha uhai kama wanavyotumaini basi nao wawe moja yao kati ya hao.

Wapo wengi waliohifadhiwa huko akiwemo, Walty Elias Disyney, mmoja Kati ya waanzilishi wa kampuni ya kutengeneza films, ya Walty Disyney.

CHIMBUKO LAKE
Mtu wa kwanza aliyekuwa amehifadhiwa katika mfumo huu wa "Cryogenically frozen" alikuwa mwanasaikolojia mwenye umri wa miaka 73, Dk. James Bedford, ambaye aligandishwa mwaka wa 1967. Mwili wake mpaka sasa bado una hali nzuri huko Alcor Life Extension Foundation.

Nadharia ya watu waliohifadhiwa na kisha akafufuliwa wakati teknolojia ikiwa mbali sana kutokana na kitabu "THE PROSPECT OF IMMORTALITY" kilichoandikwa na mtaalamu wa fizikia Robert Ettinger mwaka wa 1964. Neno "cryonics" linatokana na Neno la Kigiriki kwa "baridi."

Mwishoni mwa miaka ya 1970, kulikuwa na makampuni sita ya cryonics nchini Marekani. Lakini kulinda na kudumisha kila mwili kwa muda usiojulikana ilikuwa bei mbaya sana, watu wengi wa makampuni haya walipiga pesa za maana kwa miaka kumi mfululizo.

Leo, watu wachache tu wa makampuni hutoa huduma kamili za cryosuspension, ikiwa ni pamoja na Alcor Life Extension Foundation huko Arizona na Taasisi ya Cryonics huko Michigan. Mapema mwaka 2004, Alcor alikuwa na wanachama zaidi ya 650 na wagonjwa 59 katika cryopreservation.

===

Cryonics is the practice of freezing and storing human remains at low temperatures in the hope that they can be revived in the future. The word comes from the Greek words krýos, meaning "icy cold, frost", and -onic.

The process is based on modern science and involves several steps:

1. Legal death: The process begins when a dying person experiences cardiac arrest and can be legally declared dead.
2. Stabilization: Breathing and blood circulation are temporarily restored artificially.
3. Packing: The body is packed in ice and shipped to a cryonics facility.
4. Blood replacement: Blood is drained and replaced with cryoprotective agents and antifreeze.
5. Chamber: The body is placed in a chamber filled with liquid nitrogen.
Nitrogen ina kazi gani kwenye kuhifadhi hio miili
 
𝗚𝗲𝗿𝗺𝗮𝗻𝘆 𝗶𝗺𝗲𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗴𝗮𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗺𝗶𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗶𝗳𝘂𝗳𝘂𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝗶𝗷𝗮𝘆𝗼

1.png


Kuna siku niliwaambia kuhusu watu kutaka kugandisha miili ya watu iliyokufa na kutaka kuifufua miaka ijayo, hatimaye Nchi ya Germany imeanza Rasmi kazi hii ya kugandisha miili na kuifufua.

Uanziishaji huo wa cryonics Berlin ambapo wamelipa jina la Tomorrow Bio, inatoa huduma ya kuhifadhi mwili wako kwa ada ya Dola $200,000.

2.png


Kampuni Hiyo imefanikiwa kuwavutia wateja zaidi ya 650 tayari wameshasajiliwa na kuendesha huduma hii maalum ili kuanzisha mchakato wa kuhifadhi cryopreservation haraka iwezekanavyo.

Lengo lao ni kuwezesha wale watu watakaokufa kuweza kugandisha miili yao na kufufuliwa tena miaka ijayo.

3.png
 

Attachments

  • 1.png
    1.png
    1.4 MB · Views: 1
Umesema kuna siku ulituambia.
Kweli kuna makampuni wanaogandisha watu duniani na moja kubwa na ya kwanza iko Arizona inaitwa Alcor
Hawa wanagandisha miili kwa ajili ya baadae technology ikifika kuamsha watu kutoka kuzimu waamshwe 😄
Ila wapo watu wanaofika 500 tayari wamehifadhiwa kwenye hewa maalumu duniani
Cryosleep ya US wapo 300 na Russia wanafika 50 na huku Ulaya zaidi ya mia
Kuna watu wanalipa in advance wakifa wahifadhiwe humo wakiamini wataamka siku moja kwa kasi ya technologies hizi
Mimi nikienda niende tu aisee kuliko kuganda kama movie ya Terminator
 
𝗚𝗲𝗿𝗺𝗮𝗻𝘆 𝗶𝗺𝗲𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗴𝗮𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗺𝗶𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗶𝗳𝘂𝗳𝘂𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝗶𝗷𝗮𝘆𝗼

View attachment 3256039

Kuna siku niliwaambia kuhusu watu kutaka kugandisha miili ya watu iliyokufa na kutaka kuifufua miaka ijayo, hatimaye Nchi ya Germany imeanza Rasmi kazi hii ya kugandisha miili na kuifufua.

Uanziishaji huo wa cryonics Berlin ambapo wamelipa jina la Tomorrow Bio, inatoa huduma ya kuhifadhi mwili wako kwa ada ya Dola $200,000.

View attachment 3256040

Kampuni Hiyo imefanikiwa kuwavutia wateja zaidi ya 650 tayari wameshasajiliwa na kuendesha huduma hii maalum ili kuanzisha mchakato wa kuhifadhi cryopreservation haraka iwezekanavyo.

Lengo lao ni kuwezesha wale watu watakaokufa kuweza kugandisha miili yao na kufufuliwa tena miaka ijayo.

View attachment 3256042
Hadithi za Sukununu
 
Back
Top Bottom