Crypto na ahadi ambayo haijatimia

Yule jamaa wa Quadriga ali fake kifo chake India, alikua anachukua pesa then na yeye anenda ku trade sehemu nyingine.

Bado namfatilia Sam bankman fried, mzee wa ftx.
Huyu si Kuna taarifa hela zake Bahamas government wamezi cease ama Mana ndiko alikozotoreshea
 
Huyu si Kuna taarifa hela zake Bahamas government wamezi cease ama Mana ndiko alikozotoreshea
Alianzisha kampuni (Alameda Research) ambayo Makao yake makuu yalikuwa Hong Kong. Kwanini Hong Kong? Kwasababu masharti ya kufungua kampuni aina ya Alameda Research ni mepesi zaidi Hong Kong ukilinganisha na Marekani. Hiyo ilikuwa ni 2019. Akaanzisha kampuni nyingine ambayo ndio hiyo FTX. Ile Alameda akamuachia demu wake aisimamie, nyuma ya pazia walikuwa wanafanya uhuni - wanachukua pesa za wateja wa FTX wanazipeleka Alameda. Na ndio chanzo kikuu cha anguko la FTX.

Aliamua kuhamishia shughuli zake Bahamas kwasababu; Kwanza ni jirani na Marekani, na pili masharti yake ni mepesi pia ukilinganisha na Marekani. Na kwasababu Bahamas ni jirani na Marekani, ilikuwa rahisi kwake kusafiri kwenda Marekani mara kwa mara kwa lengo moja kubwa; Kuwashawishi viongozi wa Marekani ili wamlegezee masharti ya kufungua ofisi za FTX na kuzihalalisha shughuli za FTX ndani ya ardhi ya Marekani.

Ukifuatilia utaona alimwaga pesa nyingi sana kwa wanasiasa wa Marekani. Nadhani ni mmoja wa wachangiaji wakubwa wakati wa uchaguzi kwa upande wa Joe Biden. Na kuna party moja aliifanya walijaa wanasiasa maarufu tupu. Bahamas alikuwa na mjengo wa kifahari, na ndiko alikokamatiwa baada ya kampuni yake kufilisika.
 
Mkuu umeichimba hii kitu kwa kweli nimekuvulia kofia.

Mie nimejikita katika contract for tomorrow price.

Mana hizo Mambo zenu investors na ku own some shares and real coins kwangu niliona isn't a big deal. I wanna make money whether on both rising and falling price an given financial instrument Ila najua hatuachani Ila usafiri tofauti.


Yes Bahamas and Cyprus and shelisheli na nchi nyingine kibao huwa hawana vigezo vikali vya kuwabana brokers ili raia wawe salama wasio na financial literacy.

Asic , FSA wamepiga ban mfano leverage maximum ni 1:33 mie hata 1:5/1-10 ndio nazopenda.
Sema Sasa wapo wanaopenda leverage mpaka ya 1:3000 wanapata mfano justforex sijui instaforex ili atimize kiu zao.

USA ilijaribu hata ku ban hizi mambo za cfd Mana none real assets owning so inaonekana Kama Ni kamali. Mana nasema mchele mwaka huu utashuka Bei so najaribu kuanza mchele kwa Bei iliyopo.
Am happy to find like minded niga.

You feel so much happy, we're traveling in bad road and lonely journey na ndio Mana watu wanaanza kufundishana smt ili uwe na your peers .

Uzi wako nimeupitia umechimba na uko aware ambavyo influencers wanaweza nunulika wakainfluence wakazama mazima like Elon musk Ali promote mno dogecoin na Ontario kweli Twitter akawa anafurahi anawavuta saivi sijui anasemaje.

Mie nimeamua ku spealize only in one field na Nina one or two pairs nazo trade I don't bother to look or distribution my fฮฑckin expensive energy to many fฮฑckinn bushฮทit
 
Kwenda hizo clubs za mpira wa kikapu nimekupata mno. Wahuni wanatumia kila mbinu ili kuvuta masses na ndio navyo trade I don't look or listen so called experts and programmed news to bend our vision.
I don't wanna anybody sway my ideas
 
I am impressed to find someone who knows what he is doing. Hizi mambo ukienda kwa kuuelewa mchezo wala hupati shida, tatizo linaanzia pale ambapo wengi wanaingia kwa kusikia/ kuwa influenced bila kupewa the Pros and Cons. I like that kuwa unamaintain low leverage... Greedy ndio sababu kubwa inayowafilisi watu especially speculators; Unaanzaje kutumia leverage ya 1:3000 kwa mfano! Kwa vyovyote high levarage will f*ck you up, it is just a matter of time.

Let's keep going!
 
Nakufuata inbox
 
Kila kitu gharama ama cost so sio wote tulio tayari kuzilipia hizo gharama. That's why value iko reflected by a willing buyer to pay it in terms of cost.
Mie binti anaweza akaniambia nimsubiria miaka miwili ili nimuoe nikakataa Ila mwingine akakubali hata miaka kumi pia ilimradi asije akamkataa huko mbeleni.

So this is value tumetoa for the same product. Our subjectivity and biasennes ndio inayofanya dunia Ina run Mana unaniuzia kiwanja hakina value kwako Ila hela ndio yenye value kwako namie kwangu your land has value in my life kuliko hela nilizo nazo so we exchange our values,tunauziana ama tuna trade each to make dunia iende.

Ama nauza muda wangu na utalaamu wangu kwako wewe unanipa hela so hapa kila mtu Ana value.
Ujue wanasisitiza mno time management Ila inatakiwa iwe energy and value Management. Mana unaweza ukaniajili nikakaa kwa 30yrs nisiwe na value yoyote ingawa nilikuwa namanage time sema sikuwa na value.
 
Umeongea vitu vigumu kinoma mzee; sema I know - darasa la Economics halijawahi kuwa rahisi ๐Ÿ˜„๐Ÿ™Œ
 
Umeongea vitu vigumu kinoma mzee; sema I know - darasa la Economics halijawahi kuwa rahisi ๐Ÿ˜„๐Ÿ™Œ
Na fani yangu sio hii ya uchumi Ila may be iko by nature. Huwa namwambia mtu kuwa mwizi ama malaya Ni mtafutaji ama Ni wafanyabiashara sema Sasa wao value ya maisha yao is meaningless kwa wao binafsi kuliko pesa ama Mali wanayoitafuta.

Sema hao watu ukiwapata ukabahatika kuwabadilisha mindset zao ukaowanyesha biashara ama kazi nzuri mno yenye faida wakaielewa wakaifanya wanakuwa Ni watu wakubwa mno. Since they don't afraid to risk Sasa mtu Ana risk maisha yake kuyapoteza ataogopaje kupoteza hela sasa. Unamuona akina Pablo Escobar na muuzaji mmoja wa bangi wa jamaika alikuwa USA akawa deported na kufungiwa viza milele no USA entrance labda sijui afanyeje.

Watu Kama Ni higher risk takers,ama vijana wa west Africa wanaozamia na kukaa kwenye nanga ya melini siku 11 majini , they're traded their values mwingine anashangaa Ila yeye Ni normal kabisa Mana anaona value kwa kile anachotaka kuliko alicho nacho. I really real appreciate watu wenye mioyo iyo. Sio kitu kidogo mtu akakata tamaa Ila Sasa nakujaga kushangaa men take large risk when are seeking pะธััi ujue. Yaani wako tayari hata watemewe mate ama wapoteze hata miaka kumi anawinda that pusci sema Nini man life liko Kama lilivyo ili dunia izunguke. Wakati unamshangaa naye anakushangaa Mana akaiona value for dat pusie
 
Oh boy! To some people "nyau" is everything. Kuna mchizi namjua alijinyonga kisa kakataliwa na mdada ambae ni 'mhudumu wa bar.' And the guy had everything, good business, gari kali, you name it... lakini akajichomoa kwaajili ya p*ssy; sad!

We value things differently, I guess that's nature.
 
Hilo la influencers Ni sawa la ma educators ukiwacheki education yao inamnuifaisha broker kwa kiasi kikubwa. Mana educators wanalipwa kuwapa elimu newbies wanazama wengi brokers wanapiga hela so wanapata hela na faida walizolipa educators ,hela zinaenda kwa educators wanawavuta new people in the arena wanapewa education wanajiona kuwa wamaelewa na emotions like greed and ego zikiwa kazini mtu ama fund akaunti naye anajiona amekuwa financial currency speculator anaanza kutangaza umma kuwa natredi the way to boast do you our ego how is working. Mana katika hii arena many losses yaani failure rate Ni kubwa hii 95% they don't lie with this statistics, it's true so ukianza ku trade tu Kuna Mambo kadhaa broker akikucheki anajua huyu tayari wetu hamalizi miaka ama miezi kadhaa Kama Ile 90/90/90 yao walivyo establish.
Hii elimu sahihi haipo hata kwenye mavitabu ambayo Ni easily available Mana yameandikwa highest sucker .
Elimu sahihi nimeipata kwa vitabu sahihi not more than five books they're unpopular na baadhi hata haviuzwi Kama vinavyojazwa mapeji ili ujione uko sahihi kutoa hela yako. Vitabu vya real traders Ni vingapi Kama sio vya journalists and educators waliokomaa kupata trading knowledge wakijua kuwa ndio key wakashindwa kufungua mpango ikabidi wa switch to teaching section and mentoring. Ila Sasa ukitaka kumu asses muulize show me 3yrs trading history ya kwako approved by third part, atatoa matusi Kama Nini ,yaani failure anatoa elimu

Kuna YouTube channel nzuri mno sema hazijawa monetized so don't appear oftentimes in our search engine so watu hawana nazo time.

Yaani we love sweet things and easily found shoot
 
Sure nigger we see the same thing but we don't have the same vision and we don't see equally.
2,7,890,9000,76, are the same (both are numbers that quantify things) but not equal. Hii swaga enzi za 17-24 ndio nilikuwa nachukulia cat kirahisi mno
 
Yaani mpaka uje ugundue huyu mentor ama educators wa trading ana Mana gani ama hichi kitabu Ni Cha journalists na sio Cha trader it takes time and effort. Kwanza real traders hawana time ya kuandika vitabu Mana make more money trading than writing or teaching
 
Elimu murua sana.

Binafsi hela za kudownload mitandaoni huwa naziogopa sana.

Mkuu wewe umepoteza kiasi gani?
 
Elimu murua sana.

Binafsi hela za kudownload mitandaoni huwa naziogopa sana.

Mkuu wewe umepoteza kiasi gani?
Kwanza hili neno la "Hela ya kudownload" nadhani limekuwa coined na watu wanaotaka kuuaminisha umma kuwa trading ni rahisi, kitu ambacho hata wao wanajua si kweli. Kwa maoni yangu, hakuna hela za kudownload, kwamba ziko mahali wewe kazi yako ni kuzipakua tu. Ninachojua ni either unafanya biashara kwa kujua unachokifanya au una-bet/unabahatisha (Una-download).

Ndio maana mabenki yanafanya hizi trading, yameajiri watu mahsusi kwaajili ya speculative trading. Utofauti wao na sisi traders wa mtaani ni kuwa wao wanasimamiwa na sheria and so kuna kiwango cha mtaji ambacho ni lazima wa-maintain. Kwahiyo hawawezi ku-bet na ku-risk kwa kiwango ambacho kitaathiri shughuli za benki. Kwa lugha nyepesi; wana-trade professionally, na sio kwa mihemko au tamaa.

Binafsi nimechoma pesa kama ilivyo kwa kila trader duniani; japo siwezi kutaja kiwango hapa ๐Ÿ˜‰ However, kwa sasa sifanyi speculation; nipo najaribu namna zingine.
 
Duu Kama umeamua ku quit it's okay. Ila hii game Kuna mahala nilifika nikasema Ni halali success rate iwe only5% ,yes Ni halali. Huu mlima huwezi kuupanda ovyo ovyo. The main source of driving force ndio inayoweza ikakufanya uupande. Yaani hapa nilipofikia uniambie kesho niamke kichwa kipo tupu about trading halafu niambiwe nianzie upya sianzi yaani sijaribu Ni Moto mkali mno na Tena unachoma mno. Inahitaji uwe jasiri mno uutembee usiyasikie hayo maumivu.
Ila your pains behind if it's greater than the pain of trading am sure you'll pass.
Kiukweli binafsi siwezi mshauri mtu aingie Mana ataangamia nasema kuwa lazima ataangamia tu yaani lazima ataangukia pua apende asipende. Sasa mie nishauri mtu akaumie jamani ama afilisike.
Ila akiwa tayari kutenga miaka 7-10 ndio nitaweza kumwambia pita katika bahari ya Moto. Unaungua na huku hujui unapoelekea waves zinakupeleka popote na huku unaungua.
 
Sasa ma trader mbona mnakatisha vijana tamaa?
Binafsi naamini huwezi shindana na algorithim watu wanazotengeneza ili kujipatia hela za watu wanaotaka hela kirahisi mtandaoni. Yes I call them hela za kudownload.

Yani you are just sitting there wait for the chat kupanda na kushuka upate hela. While hayo mambo yapo controlled na watu wengine wanaosubiri ukosee akulambe....

Biashara zote ziwe za mtandaoni au shambani zina hasara na faida. Ila risk za mitandaoni ni kubwa sana. Kukimbizana na algorithim za watu ni kazi kuliko kazi yenyewe....

Ndio mambo ya kaylanda, yule jamaa wa mazao, mr. Kuku na vitu kama hvyo. Kuwa leta hela nikufanyie kazi halafu subiri faida. Yani mtu hataki kusikia kuwa kuna hasara tugawane yeye anataka faida tu kila mwezi. Hizi system kuna siku lazima zi collapse tu ni suala la muda....

Hakuna hela ya kupanda na kuivuna kirahisi..
 
Bado sio guarantee kuukwea mlima anaweza asifike kileleni Ila atakuwa na knowledge ya trading so ataishia kuandika vitabu na kufundisha na elimu anayotoa iko sahihi sema hawezi akaitumia kupatia hela tokea sokoni
Ukweli mchungu ambao sio wengi watausema.... especially wale wanaofaidika na kuuza signals and kozi za trading ๐Ÿค“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ