CS sFaxien inayocheza na Simba kombe la Shirikisho, tumeijua leo

CS Sfaxien imeanzishwa mwaka 1928 ni kubwa kuliko Yanga na Simba yako mbwa wewe.

Imeshinda Taji la Africa confederation Cup Mara 3, 2007, 2008 na 2013

Matako yako hujui kitu zaidi ya mpira nyuma mwiko mkubwa wewe.
 
Na ukitaka kujua huyu ngara23 mpira unampeleka kasi na ana dalili zote za changamoto ya afya ya akili kitengo cha mpira...kumbukeni alishaaga humu jukwaani kwa sbb ya kuvurugwa na matokeo ya timu lake bovu..ila karudi tena sasa ili ajisikie vzr kila saa anaanzisha mada hata isiyo na kichwa wala miguu..##uraibu##
Heloo mtani nakusalimia...hahahha
 
Kitu kinachomata ni Matokeo mkuu.
Si kweli kujisifia upo levo za juu wakati Matokeo katika levo uliyopo yanakuchora wewe kama kilaza.
Unajua tofauti ya mtoto mdogo anayechezea makopo na mtu mzima anayechezea makopo?
Hii ikusaidie kuelewa don't complicate issues
 
Ngoja aliwe kiboga jumamosi Ndio atapata akili.

Alishangilia wakati Makundi yanapangwa lakini sasa hivi Mzigo unagonga Chupi.
 
Hivi wanacheza jumamosi au jumapili???
 
Ni bora kunyamaza ili kuficha umbumbumbu kama huu.Utakuta na wewe ni mke wa mtu hapo ulipo!
 
Mkuu mbona hiyo timu ni ya zamani sana na ndio inaongoza kwa kuchukua mara nyingi kombe la shirikishoo
Mwenye akili huko utopolo ni ww tuu mtani wangu..huwa huongozwi na mihemuko kama juha...
Anajitia aibu na kufanya timu yake waonekane vilaza...
 
MAADUI WAKUBWA WATATU

MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA
UJINGA
UMASIKINI.
MARADHI.
MWALIMU JK NYERERE 1961.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…