Unajidhalilisha tu maana hujui lolote kuhusu vilabu vya Tunisia. Unawezaje kuiacha Etoile du Sahel katika list ya timu za juu kabisa Tunisia? Etoile du Sahel ina mataji mengi ya CAF kushinda vilabu vyote vya Tunisia .Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui
Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?
Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui
😀😅Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA
Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho
Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho
Ubaya ubwege
Mambo ya Simba wewe yanakuhusu nini ndugu
Ameanza wa juu kabisa. Kwa hiyo kushuka chini kwa wengine rahisi sana.Daah Labani og kapokewa kijiti...utopolo mtachanganyikiwa mmoja baada ya mwingine
Ajifanya anajua siasa kali😂Na ukitaka kujua huyu ngara23 mpira unampeleka kasi na ana dalili zote za changamoto ya afya ya akili kitengo cha mpira...kumbukeni alishaaga humu jukwaani kwa sbb ya kuvurugwa na matokeo ya timu lake bovu..ila karudi tena sasa ili ajisikie vzr kila saa anaanzisha mada hata isiyo na kichwa wala miguu..##uraibu##
Heloo mtani nakusalimia...hahahha
Haaa nimecheka sana pole mtani.🤣😀😅
Mtani umekuwa mkali
Sawa Leo umenikamata
Ushamba umeniponza😅😀
Ni kweli yanga chama la wana alimpiga zalan fc nje ndani wakati huo zalan ametoka kubeba ubingwa wa Caf champions league.Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?
Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui
[emoji3][emoji28]Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA
Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho
Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho
Ubaya ubwege
Yanga bingwa
Kama huijui hiyo timu inayoongoza kuchukua kombe la shirikisho ndo unaweka wazi we huna akili,nimerudia na kurudia tena kwa posts zako humu unaonekana mtu asiye na maendeleo na akili imeduma,maana unaandika vitu vya kijinga nda wote.Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?
Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui
😀😅Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA
Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho
Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho
Ubaya ubwege
Yanga bingwa
Vitaloo na CBETutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA
Kuwa na maendeleo hadi nikufanye mke mdogo ndo utakubali utajiri wanguK
Kama huijui hiyo timu inayoongoza kuchukua kombe la shirikisho ndo unaweka wazi we huna akili,nimerudia na kurudia tena kwa posts zako humu unaonekana mtu asiye na maendeleo na akili imeduma,maana unaandika vitu vya kijinga nda wote.
Huna mashiko huna huna hoja huna ......bas tu usiku mwemaMashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?
Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui
😀😅Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA
Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho
Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho
Ubaya ubwege
Yanga bingwa
JF sio kijiwe tunajadili kwa facts,kama unaiona kijiwe nakuandika porojo ndo maana nasema una upeo duni sana,haiwezekani mtu mwenye akili timamu kila siku unaandika upuuzi tu.Kuwa na maendeleo hadi nikufanye mke mdogo ndo utakubali utajiri wangu
We kuona tupo kijiweni hapa jamii forums tunabishana kuhusu Simba na Yanga unatuona mazuzu
Ana sufuria.Yanga ana point ngapi uko club bingwa naombwa kujuzwa mm sio mtu wa sports