Cuba wana kingine kipi cha maana zaidi ya sekta bora ya Afya?

Cuba wana kingine kipi cha maana zaidi ya sekta bora ya Afya?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kila inapozungumziwa Cuba mara nyingi sifa zake huwa ni mfumo mzuri wa afya tu ulioweza kuzalisha madaktari wengi hadi wa ku export na sekta ya uzalishaji madawa iliyoshamiri. Huwezi kusikia kingine cha kuvutia na kusisumua huko Cuba.

Hivi karibuni ndio nilimsikia Balozi Polepole akija na jambo lingine la kwamba miji ya Cuba imepangiliwa vizuri sana kiasi cha kuweza kuweka rula mtaa mzima bila kupinda. Hata hivyo miji ya Cuba huwa inaonekana kama magofu ya kale, sijui raia hawana pesa za kupaka rangi na kufanya maboresho ya nyumba.

Hivi nchi ya Cuba ina kingine cha maana cha ziada zaidi ya sekta nzuri ya afya? Ukiangalia GDP per capita yao ni kama Botswana tu, ni hasara sana kuwa pua na mdomo na Marekani halafu uwe lofa kiasi hicho, viburi vingine havina maana kabisa.
 
Kila inapozungumziwa Cuba mara nyingi sifa zake huwa ni mfumo mzuri wa afya tu ulioweza kuzalisha madaktari wengi hadi wa ku export na sekta ya uzalishaji madawa iliyoshamiri. Huwezi kusikia kingine cha kuvutia na kusisumua huko Cuba.

Hivi karibuni ndio nilimsikia Balozi Polepole akija na jambo lingine la kwamba miji ya Cuba imepangiliwa vizuri sana kiasi cha kuweza kuweka rula mtaa mzima bila kupinda. Hata hivyo miji ya Cuba huwa inaonekana kama magofu ya kale, sijui raia hawana pesa za kupaka rangi na kufanya maboresho ya nyumba.

Hivi nchi ya Cuba ina kingine cha maana cha ziada zaidi ya sekta nzuri ya afya? Ukiangalia GDP per capita yao ni kama Botswana tu, ni hasara sana kuwa pua na mdomo na Marekani halafu uwe lofa kiasi hicho, viburi vingine havina maana kabisa.
Wewe nchi yako unajivunia lipi? Mna kipi cha maana?

Kwani Haiti iko mbali na Marekani? Punguza skanka.
 
Kila inapozungumziwa Cuba mara nyingi sifa zake huwa ni mfumo mzuri wa afya tu ulioweza kuzalisha madaktari wengi hadi wa ku export na sekta ya uzalishaji madawa iliyoshamiri. Huwezi kusikia kingine cha kuvutia na kusisumua huko Cuba.

Hivi karibuni ndio nilimsikia Balozi Polepole akija na jambo lingine la kwamba miji ya Cuba imepangiliwa vizuri sana kiasi cha kuweza kuweka rula mtaa mzima bila kupinda. Hata hivyo miji ya Cuba huwa inaonekana kama magofu ya kale, sijui raia hawana pesa za kupaka rangi na kufanya maboresho ya nyumba.

Hivi nchi ya Cuba ina kingine cha maana cha ziada zaidi ya sekta nzuri ya afya? Ukiangalia GDP per capita yao ni kama Botswana tu, ni hasara sana kuwa pua na mdomo na Marekani halafu uwe lofa kiasi hicho, viburi vingine havina maana kabisa.
Kiburi gani ?
 
hata hiyo sekta ukilinganisha na wapi? tanzagiza, au? nchi masikini duniani kama cuba haiwezi kuwa na sekta ya afya bora duniani, labda kama mnalinganisha masikini kwa masikini …
 
Kila inapozungumziwa Cuba mara nyingi sifa zake huwa ni mfumo mzuri wa afya tu ulioweza kuzalisha madaktari wengi hadi wa ku export na sekta ya uzalishaji madawa iliyoshamiri. Huwezi kusikia kingine cha kuvutia na kusisumua huko Cuba.

Hivi karibuni ndio nilimsikia Balozi Polepole akija na jambo lingine la kwamba miji ya Cuba imepangiliwa vizuri sana kiasi cha kuweza kuweka rula mtaa mzima bila kupinda. Hata hivyo miji ya Cuba huwa inaonekana kama magofu ya kale, sijui raia hawana pesa za kupaka rangi na kufanya maboresho ya nyumba.

Hivi nchi ya Cuba ina kingine cha maana cha ziada zaidi ya sekta nzuri ya afya? Ukiangalia GDP per capita yao ni kama Botswana tu, ni hasara sana kuwa pua na mdomo na Marekani halafu uwe lofa kiasi hicho, viburi vingine havina maana kabisa.
Cuba: 1: health care the best in the World
2: military wako vizuri
3: Sugar cane wako vizuri
4: Tourism wako vizuri
 
Cuba made a fool of America thrice.

First nationalizing American interests in Cuba 1959, Second humiliating the almighty CIA at the Bay of Pigs 1961, and then came the Cuban Missile Crisis 1962 which nearly sparked WW3 ensuring obliteration of America cities.

America has ever since hated Cuba to the bone, and has made sure Cubans pay the price for this humiliation for eternity.​
 
Cuba ni nchi huru, Ila imeathiriwa na vikwazo kutoka marekani.

Kimsingi Kama wangekuwa huru kweli kweli basi wangekuwa mbali, ukoloni mambo Leo na vikwazo vimewaweka pabaya saana.

Binafsi napenda saana ideology ya wa Cuba, yaan Wana spirit ya uzalendo na nchi Yao. Vile vile Wana namna Yao ya kuwaza mambo na si hii yeti ilikuwa brain washed na westerners.

Kuna Ile namna ambayo vipimo vyaubora wakila Jambo tunaangalia westerners kuanzia mavazi Kula life style n.k

Wale tulio soma shule za zamani, kuna shule nyingi zilikuwa zina walimu WA Cuba na Urusi. Japo by that time pia walikuwa na ushoga shoga mwingi

Westerners wqnakutengenezea tatizo kisha baadae inaonekana hufai na ideology zako, wote wanaoilaumu Cuba ni watu wasio ijua historia vzr
 
Kila inapozungumziwa Cuba mara nyingi sifa zake huwa ni mfumo mzuri wa afya tu ulioweza kuzalisha madaktari wengi hadi wa ku export na sekta ya uzalishaji madawa iliyoshamiri. Huwezi kusikia kingine cha kuvutia na kusisumua huko Cuba.

Hivi karibuni ndio nilimsikia Balozi Polepole akija na jambo lingine la kwamba miji ya Cuba imepangiliwa vizuri sana kiasi cha kuweza kuweka rula mtaa mzima bila kupinda. Hata hivyo miji ya Cuba huwa inaonekana kama magofu ya kale, sijui raia hawana pesa za kupaka rangi na kufanya maboresho ya nyumba.

Hivi nchi ya Cuba ina kingine cha maana cha ziada zaidi ya sekta nzuri ya afya? Ukiangalia GDP per capita yao ni kama Botswana tu, ni hasara sana kuwa pua na mdomo na Marekani halafu uwe lofa kiasi hicho, viburi vingine havina maana kabisa.
Udikiteta kama wa Putin na Assad na Kim
 
Wamarekani na wazayuni watu wabaya sana kuwahi kutokea hapa ulimwenguni naona wavaa kobazi wa Cuba wananyooshwa kweli kweli na wazayuni wa marekani
 
Cuba: 1: health care the best in the World
2: military wako vizuri
3: Sugar cane wako vizuri
4: Tourism wako vizuri
Uzalishaji sukari Cuba imebaki historia tu, sasa hivi hata Tanzania inawazidi kwa uzalishaji.

Utalii nako inazidiwa kwa mbali na nchi nyingi za Africa.
 
Cuba ni nchi huru, Ila imeathiriwa na vikwazo kutoka marekani.

Kimsingi Kama wangekuwa huru kweli kweli basi wangekuwa mbali, ukoloni mambo Leo na vikwazo vimewaweka pabaya saana.

Binafsi napenda saana ideology ya wa Cuba, yaan Wana spirit ya uzalendo na nchi Yao. Vile vile Wana namna Yao ya kuwaza mambo na si hii yeti ilikuwa brain washed na westerners.

Kuna Ile namna ambayo vipimo vyaubora wakila Jambo tunaangalia westerners kuanzia mavazi Kula life style n.k

Wale tulio soma shule za zamani, kuna shule nyingi zilikuwa zina walimu WA Cuba na Urusi. Japo by that time pia walikuwa na ushoga shoga mwingi

Westerners wqnakutengenezea tatizo kisha baadae inaonekana hufai na ideology zako, wote wanaoilaumu Cuba ni watu wasio ijua historia vzr
Hayo mambo ya uzalendo kwa nchi ni porojo tu za Wakomunisti kudhibiti uhuru wa raia.
 
Pia Cuba ina mafundi mechanics bora kabisaa, yaani ule mji wa havana una magarii ya karne ya zamani, hamna gari inayoshindikana kulee hata gari iwe na kipengele gani itafufuliwa tuu. hii yote inatokana na umaskini mkubwa wa raia wa Cuba kutokana na utawala wa kijima na kidecteta.
 
Back
Top Bottom