econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Chadema tumbo joto, Prof, piga Ile spana kwamba kupigwa risasi sio sifa ya urais
CCM against CHADEMA
CuF against CHADEMA
Kila chama kipo against CHADEMA why?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema tumbo joto, Prof, piga Ile spana kwamba kupigwa risasi sio sifa ya urais
John McCain alikuja na swaga kuwa kwa vile alikamatwa mateka kwenye vita ya Vietnam basi wamarekani wampe urais. Wamarekani wakamwambia hakuna kitu kama hicho...
Magomeni hakuna Msikiti?Magomeni Kanisani
Baada ya kushusha tanga na kufunga mashine , CUF maalim inateleza ACT.Wazee wa jino kwa jino ngangari chaliii kifo cha mende
ACT ni zenji tu huku barq hawana hamu na yule kinyonga kabwelaBaada ya kushusha tanga na kufunga mashine , CUF maalim inateleza ACT.
Huenda ikatokea miujiza mkuu, huwezi jua[emoji23]Mshaurini Lipumba astaafu tu...it has been too long and unproductive. Mnahitaji driver(s) wapya. Waliomaliza vyuo mwaka alioanza siasa, wengi walishachukua early reirement wanafanya mambo mengine. Naye atafute fursa nyingine.
Kama kizazi kile hakikumwelewa, cha sasa hakiwezi kumwelewa kamwe!