CUF-Chama Cha Wananchi, Taarifa kwa umma kuhusu mkutano wa hadhara kesho Magomeni Kanisani

CUF-Chama Cha Wananchi, Taarifa kwa umma kuhusu mkutano wa hadhara kesho Magomeni Kanisani

John McCain alikuja na swaga kuwa kwa vile alikamatwa mateka kwenye vita ya Vietnam basi wamarekani wampe urais. Wamarekani wakamwambia hakuna kitu kama hicho...

Acha uongo, upepo wa Obama ndio ulimzidi mc Cain na sio huo uongo wako. Acheni fitna. Mnapenda mavyama kuliko utanzania.. Kwako ni raha Lissu kupingwa risasi? Kisa sio ccm?.
 
Hivi hichi chama bado kina wafuasi,lipumbafu ni inside job wa ccm,ataenda jukwaani kupambana na chadema mana sasahivi watoto wa ccm wanajitokeza kumtetea baba yao.
 
Daaah ningekuwepo mjini ningeenda kumuona mjomba wangu .Kinyozi anayemkata nywele ana kazi aisee ,😀😀
 
Picha inaanza mwenyekiti wa chama tu njaa, mroho wa madaraka..
 
Mshaurini Lipumba astaafu tu...it has been too long and unproductive. Mnahitaji driver(s) wapya. Waliomaliza vyuo mwaka alioanza siasa, wengi walishachukua early reirement wanafanya mambo mengine. Naye atafute fursa nyingine.

Kama kizazi kile hakikumwelewa, cha sasa hakiwezi kumwelewa kamwe!
Huenda ikatokea miujiza mkuu, huwezi jua[emoji23]
 
Back
Top Bottom