Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona mbali sanaaHapa wanachotaka ni hiki.
CDM pamoja ACT nao wakubaliane na matokeo ili nao wadai KATIBA MPYA...
Chama kipi sasa chenye mvuto ukiacha CCM?Atangaze kufuta na chama chake maana kimepoteza mvuto kabisa
Hii itakuwa danganya toto ili kujaribu kusafisha jina la chama. CUF kwa sasa ni mali ya sisiemuView attachment 1617788
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba, ametangaza kuwa kutokana na uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa nchini, chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote na badala yake kitajikita katika harakati za kudai katiba mpya, ili kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi...
Hilo haliwezekani kwa kuwa vingi kwny kundi hilo vinamilikiwa na CCM. So, wengine mkigoma baadhi vikafuata maelekezo ya mwenye mali vikashiriki Kama kawa, hakuna impact yoyote itapatikana. Itakuwa sawa tu na kususia ngedere shamba la mahindihuu ndo ulitakiwa uwe msimamo wa vyama vyote vya upinzani
StupidView attachment 1617788
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba, ametangaza kuwa kutokana na uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa nchini, chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote na badala yake kitajikita katika harakati za kudai katiba mpya, ili kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi.
“CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibaada siku ya Alhamis, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua na maombi kila mmoja kwa imani yake ili kuomba hukumu ya haki kutokana na kile kilichofanyika”- Prof. Lipumba.
Hata kama hawatakubaliana na hoja ya Cuf ni ndoto kuamini kwamba Tanzania hii kutakuwa na uchaguzi wa haki bila tume huruHapa wanachotaka ni hiki.
CDM pamoja ACT nao wakubaliane na matokeo ili nao wadai KATIBA MPYA...
Huo ni ushauri mzuri, bora vyama vyote vya siasa vikarudishe fomu zao za usajili ili kuwepo na chama kimoja kuliko kupoteza wakati, fedha na kudanganyana kwa uchaguzi wa maigizo.Atangaze kufuta na chama chake maana kimepoteza mvuto kabisa
Lipumba akamatwe haraka sana kwa kutaka kuhatarisha amani ya nchi pale wananchi watakaposhinda bila kula.Kwa maamuzi haya CUF waungwe mkono
Ndiyo, lakini kwa history ya mahusiano yake na CCM napata mashaka kama atakuwa serious kiasi cha kufikia malengo.Kwa maamuzi haya CUF waungwe mkono