Uchaguzi 2020 CUF yatangaza kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wowote

Uchaguzi 2020 CUF yatangaza kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wowote

LIPUMBA NI KAMA YULE KUNGURU ALOJIPAKA RANGI ILI AFANANE NA NJIWA KISHA AKAENDA KUISHI NA NJIWA. MWANZO NJIWA HAWAKUMSHTUKIA WAKAJUA NI MWENZAO LAKINI KUNA SIKU AKAJICHANGANYA AKATOA MLIO WA KUNGURU AKASHTUKIWA NA KUTIMULIWA NA NJIWA.

ALIVORUDI KWA KUNGURU WENZAKE NAO PIA WAKAMTIMUA KWA SABABU HAMNA KUNGURU MWEUPE.
 
Baada ya chaguzi ndogo za marudio, uchaguzi wa serikali za mitaa na dosari zote za tume ya uchaguzi na katiba tuliyonayo sasa, huu ndo ulitakiwa uwe msimamo wa vyama vyote vya upinzani kutoshiriki chaguzi zote mpaka tume huru na katiba mpya. Kuandamana kwa sasa ni upumbavu to be honest
Watanzania acheni upumbavu, kuandamana huwezi halafu unataka tume huru na katiba mpya, hivi CCM ni wajinga sana uandike tu mtandaoni tunataka katiba mpya, hivyo tu halafu CCM hao mbio kukuandikia katiba itayogharimu hatima yao ya madaraka
 
Huwa inatokea pale timu pinzani zinapokutana na wachezaji wakali lazima wapoteane kabisa.

Hongera Magufuli, Hongera Mwinyi, Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hongereni natarajia mtuoneshe hiyo miujiza.
Kama vile sio ninyi mlioitumbukiza nchi kwenye lindi la ujinga na umaskini uliotopea. Kama vile si ninyi mlioua mashirika, viwanda na vyama vya ushirika!!! Kama vile si ninyi wazee wa ahadi tamu zenye sumu ndani!! Kama vile si ninyi mliwahi kujinadi "mnaivua gamba!!" Lakini sisi hatusahau ule wimbo wenu ".... ni ile ileee!!"
Yetu macho mkimaliza wa nje nadhani ndani patafukuta vilivyo na msiache kushangilia.
 
Mbwa kala mbwa Dume Koko. Mlizoea kuhongwa safari hii pre cakculated technical knockout. Na mtakufa mazima
 
Watz acheni upumbavu, kuandamana huwezi halafu unataka tume huru na katiba mpya, hivi ccm ni wajinga sana uandike tu mtandaoni tunataka katiba mdya, hivyo tu halafu ccm hao mbio kukuandikia katiba itayogharimu hatima yao ya madaraka
Kuandamana kwa ajili ya tume huru na katiba mpya inaingia akilini 100% ila siyo kwa kupinga matokeo ya uchaguzi yanayotokana na kuingia uchaguzi ambao unajua hutoshinda. Kwani hata uchaguzi ukirudiwa mara 5 kwa katiba na tume hizihizi unategemea matokeo tofauti? Seif kule Zanzibar toka enzi za Salmin ameshinda mara ngapi lini alitangazwa na kuapishwa? And yet still anagombea kwa tume hiyohiyo akitegemea matokeo tofauti si wehu huo.
 
Kuandamana kwa ajili ya tume huru na katiba mpya inaingia akilini 100% ila siyo kwa kupinga matokeo ya uchaguzi yanayotokana na kuingia uchaguzi ambao unajua hutoshinda. Kwani hata uchaguzi ukirudiwa mara 5 kwa katiba na tume hizihizi unategemea matokeo tofauti? Seif kule zanzibar toka enzi za salmin ameshinda mara ngapi lini alitangazwa na kuapishwa? And yet still anagombea kwa tume hiyohiyo akitegemea matokeo tofauti si wehu huo.
CHADEMA na ACT Wazalendo wameitisha maandamano kwa dhumuni la tume hii ivunjwe na ipatikane tume huru na uchaguzi urudiwe, umewaona wapumbavu halafu hapohapo unashauri waandamane kudai katiba mpya, huoni unajicontradict mwenyewe, kuandamana sasa kudai tume huru ndo ilikuwa platform nzuri na timing halali lkn watz tumeogopa unazani nani huko mbele ataanzisha maandamano ya kudai katiba na tume huru? Kwa platform Ipi na timing Ipi?
 
Ndio tunafunga na ikifikia jioni tunaomba dua kwa wote walisimamia uchaguzi na hawakutenda haki Mwenyezi Mungu awaadhibu kwa haki waliyotunyima kutupatia
Je Elimu yetu has been crafted to make us lame, weak, timid, meek and subservient? Kwa nini tunakuwa wepesi kujisalimisha hasa haki inapoporwa Kibabe? Kwa nini tumekuwa na woga hata kuongea na kupigia kelele wizi huu wa kura na uchaguzi? Nani katufanya bubu, viziwi na vipofu?
 
Bado na Mbatia naye aliye ahidiwa kuwa chama chake kitakuwa chama kikuu cha upinzani atajitokeza hadharani kulia maumivu. Wakimalizika wote wanaingia ccm wenyewe kwa wenyewe kulana mikia ili kumfurahisha bwana mkubwa

 
Chadema na Act wazalendo wameitisha maandamano kwa dhumuni la tume hii ivunjwe na ipatikane tume huru na uchaguzi urudiwe, umewaona wapumbavu halafu hapohapo unashauri waandamane kudai katiba mpya, huoni unajicontradict mwenyewe, kuandamana sasa kudai tume huru ndo ilikuwa platform nzuri na timing halali lkn watz tumeogopa unazani nani huko mbele ataanzisha maandamano ya kudai katiba na tume huru? Kwa platform Ipi na timing Ipi?
Hapana hapana hapana

Wanaandamana kupinga matokeo.

Tume na katiba vipo toka tunaingia vyama vingi, nimekutolea mfano wa Seif na CUF yake toka day 1 anagombea anashinda hatangazwi na hapati akili anagombeagombea tu.

Utakuwa umenielewa
 
Hapana hapana hapana

Wanaandamana kupinga matokeo.

Tume na katiba vipo toka tunaingia vyama vingi, nimekutolea mfano wa seif na cuf yake toka day 1 anagombea anashinda hatangazwi na hapati akili anagombeagombea tu.

Utakuwa umenielewa
Tatizo lako umeshindwa kuwaelewa CHADEMA na ACT wazalendo dhumuni lao la kuandamana ni nini, wanapinga matokeo ndio nakubali lkn dhumuni lao kuu ni tume ivunjwe then iundwe tume huru na uchaguzi urudiwe nenda YouTube kasikilize press yao, sasa kwa mawazo yako wanapinga matokeo haya wakimaliza kupinga matokeo what follows, wanaenda kulala?
 
Tatizo lako umeshindwa kuwaelewa chadema na act wazalendo dhumuni lao la kuandamana ni nini, wanapinga matokeo ndio nakubali lkn dhumuni lao kuu ni tume ivunjwe then iundwe tume huru na uchaguzi urudiwe nenda YouTube kasikilize press yao, sasa kwa mawazo yako wanapinga matokeo haya wakimaliza kupinga matokeo what follows, wanaenda kulala?
Anyway nimependa tumeelimishana bila kuonyesha jazba. Kila la heri ndugu yangu
 
Lipumba ana ujanja wa kizamani sana wa enzi za Nuhu na Yakobo. Ameona kabisa chama chake hakina nguvu tena anatafuta visingizio.
 
Lipumba na wenzie wameamua kufunga mchana wa siku moja tu[emoji23]
 
Hivi hata hii Katiba ya zamani inafuatwa?
 
Huku nako ni kufilisika kisiasa yaani anguko walilokutana nalo wana ngunguli katika uchaguzi huu bora hata ya mzee wa ubwabwa alikuwa ana mvuto stejini
 
Huku nako ni kufilisika kisiasa yaan anguko walilo kutana malo wana ngunguli ktk uchaguzi huu bora hata ya mzee wa ubwabwa alikuwa ana mvuto stejin
 
Back
Top Bottom