Uchaguzi 2020 CUF yatangaza kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wowote

Uchaguzi 2020 CUF yatangaza kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wowote

Leo na yeye analia!

Bado wana-CCM wanaodhani wako salama.
Huyo ndio mpinzani hasa aliwahi kuvunjwa mguu na ni muazilishi wa UKAWA ila Mbowe na Seif ndio kibaraka wameenda kumchukua kada wa CCM kuja kugombea upinzani na hata Lissu sitoshangaa siku akichukua kadi ya CCM kama walivyochukua Slaa na yule Msukuma alikuwa katibu wenu
 
 
View attachment 1617788

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba, ametangaza kuwa kutokana na uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa nchini, chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote na badala yake kitajikita katika harakati za kudai katiba mpya, ili kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi.

“CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibaada siku ya Alhamis, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua na maombi kila mmoja kwa imani yake ili kuomba hukumu ya haki kutokana na kile kilichofanyika”- Prof. Lipumba.
Hapo ndipo Lipumba unatoka nje ya goli kabisa.
 
Professor uchwara baada ya kuona hesabu hazisomeki vizuri za ruzuku kaona aunge msafara wa mamba
 
Hivi Lipumba naye anahisi walimuibia kura zake za Urais?
 
Baada ya chaguzi ndogo za marudio, uchaguzi wa serikali za mitaa na dosari zote za tume ya uchaguzi na katiba tuliyonayo sasa, huu ndo ulitakiwa uwe msimamo wa vyama vyote vya upinzani kutoshiriki chaguzi zote mpaka tume huru na katiba mpya. Kuandamana kwa sasa ni upumbavu to be honest
Kugundua na kuanza mchakato siyo upumbavu, kwa sababu bado kutakua na chaguzi, 2024 mitaa, na 2025! Tanzania bado itakuwepo pia, kwa hiyo harakati za leo siyo upumbavu, kwa wanao ona mbali!
 
View attachment 1617788

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba, ametangaza kuwa kutokana na uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa nchini, chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote na badala yake kitajikita katika harakati za kudai katiba mpya, ili kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi.

“CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibaada siku ya Alhamis, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua na maombi kila mmoja kwa imani yake ili kuomba hukumu ya haki kutokana na kile kilichofanyika”- Prof. Lipumba.
Hivi Lipumba alipata kura ngapi vile.
Ni aibu kudhani naye angeweza kushinda kuwa Rais wa JMT
 
CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibaada siku ya Alhamis, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua na maombi kila mmoja kwa imani yake ili kuomba hukumu ya haki kutokana na kile kilichofanyika”- Prof. Lipumba.
Lipumba bana, alitakiwa ashinde njaa kabla uchaguzi ili Mungu amuingize Ikulu, Mungu kishafanya yake yeye ndio anastuka kushindisha watu njaa!
 
View attachment 1617788

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba, ametangaza kuwa kutokana na uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa nchini, chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote na badala yake kitajikita katika harakati za kudai katiba mpya, ili kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi.

“CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibaada siku ya Alhamis, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua na maombi kila mmoja kwa imani yake ili kuomba hukumu ya haki kutokana na kile kilichofanyika”- Prof. Lipumba.
Nani atamuamini Lipumba ? huyu aliacha uenyekiti wa Cuf 2015 lakini baadaye akaurudia !
 
Akili inaanza kummkaa sawa hivi………….
 
Siwezi kumuamini Lipumba kwa jambo lolote lile.......PROFESSOR UCHWARA LIPUMBA NI MNAFIKI ALIYEKUBU.
 
View attachment 1617788

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba, ametangaza kuwa kutokana na uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa nchini, chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote na badala yake kitajikita katika harakati za kudai katiba mpya, ili kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi.

“CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibaada siku ya Alhamis, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua na maombi kila mmoja kwa imani yake ili kuomba hukumu ya haki kutokana na kile kilichofanyika”- Prof. Lipumba.
Wenzake wameitisha màandamano mtandaoni nae kaona aitishe maombi mtandaoni, JPM hamtakaa mumsahau yaani full kuweweseka baada ya kipigo Cha shoga mwizi October 28.
 
Lipumba akamatwe haraka sana kwa kutaka kuhatarisha amani ya nchi pale wananchi watakaposhinda bila kula.
Ndio tunafunga na ikifikia jioni tunaomba dua kwa wote walisimamia uchaguzi na hawakutenda haki Mwenyezi Mungu awaadhibu kwa haki waliyotunyima kutupatia
 
Jiwe alishaahidi ataua vyama vyote vya upinzani 2020 ibaki CCM pekee.
 
Lipumba na Mbatia waliingizwa mkenge na CCM wametumika kama mpira wa kufanyia mapenzi, saa hii hawana lolote CCM wanawachora tu.
 
Back
Top Bottom