Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
tatizo mnapenda ove rate mambo na kwenda na mkumbo.
lisome soko.
soko sio mtoa huma tu.kuna upande wa pili wa anayehudumiwa (mteja).
kila mteja ana culture yake juu ya namna anavyopenda kuhudumiwa.
Watoa huduma wengi wanaweza impose taratibu za kisomi katika operations zao lakin sio wateja wote ni wasomi kuendana na hizo mambo hapo ndio mkwamo unapokuja.
msiongelee haya mambokatika idea level..shuken mpaka huku chini kabisa katika "inteded users" level.
Mpaka leo hii, utamudinisimple tu wa kutumia softwares kwenye ku ru company operations tuu bado ni changamoto.
watu hawana readness kama sio interests za haya mambo kwenye ulimwengu huu wa 3.
Pita mashuleni check filing systems zao..pita kwenye maofis ya watu binafsi na serikali uone recording systems zao and how they run and store data.....utachoka.
conclusion ni kwamba hiz mambo ni hypothetical tuu when it comes to user acceptance at user/customer level.
lisome soko.
soko sio mtoa huma tu.kuna upande wa pili wa anayehudumiwa (mteja).
kila mteja ana culture yake juu ya namna anavyopenda kuhudumiwa.
Watoa huduma wengi wanaweza impose taratibu za kisomi katika operations zao lakin sio wateja wote ni wasomi kuendana na hizo mambo hapo ndio mkwamo unapokuja.
msiongelee haya mambokatika idea level..shuken mpaka huku chini kabisa katika "inteded users" level.
Mpaka leo hii, utamudinisimple tu wa kutumia softwares kwenye ku ru company operations tuu bado ni changamoto.
watu hawana readness kama sio interests za haya mambo kwenye ulimwengu huu wa 3.
Pita mashuleni check filing systems zao..pita kwenye maofis ya watu binafsi na serikali uone recording systems zao and how they run and store data.....utachoka.
conclusion ni kwamba hiz mambo ni hypothetical tuu when it comes to user acceptance at user/customer level.