CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma na miaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
 
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.


Kwa nini watu wakipata fursa hawajisomeshi?
 
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Duh..
Je, hana vyeti?
 
Back
Top Bottom