CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Wewe umeangalia Kwa upande 1 Tu, haujaangalia Kwanzia #1 mpaka kushuka chini,

Laiti ungejua kikamilifu CVs zao , basi siku hiyo ungelia Sana.
 
Kigoma Kuna vipaji.mbona wengine wanatembea peku na ndio washauri wa serikali tumekaa kimya.
 
Watu wenye mioyo ya kimasikini utawajua Tu Kwa mawazo Yao.... CV ya kikeke itakusaidia nini ? Serikali kuna Hadi darasa la Saba wapo wanafanya kazi sembuse kikeke!!!
Kuna wabongo wana chuki mbaya sana yaan wanaroho za mkaangasumu rohozakorosho kabisa jamaa wanasaga kunguni sio kawaida alafu wanavyoupamba uzushi uonekane km ukweli
 
Ni Mimi ndio sielewi ama nini? Yaani wazungu wakakubali kuajiri mtu asiye na vyeti?.
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Hivi wewe mleta mada ,upo na akili kweli ,kama hata ulichokiandika hakiendani na hesabu ulioweka kwa nini tusiseme umelata umbea?

Unasema uchunguzi umebaini ana miaka 50+
Unasema amezaliwa mwaka 1978 sasa achana na iyo plus

2023-1978=45yrs, yani hata iyo 50yrs hajafika,

Alafu ukute upo ofisi ya uma na unategemewa kama mtu makini
 
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Kuanza shule mapema siyo sababu

Hoja nyingine za hovyo sana
 
Hivi wewe mleta mada ,upo na akili kweli ,kama hata ulichokiandika hakiendani na hesabu ulioweka kwa nini tusiseme umelata umbea?

Unasema uchunguzi umebaini ana miaka 50+
Unasema amezaliwa mwaka 1978 sasa achana na iyo plus

2023-1978=45yrs, yani hata iyo 50yrs hajafika,

Alafu ukute upo ofisi ya uma na unategemewa kama mtu makini
Wewe ndio hujaelewa mada ni kwamba kimantiki amezaliwa 1973 kushuka chini
 
Back
Top Bottom