CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

Acha kukariri dogo.

Vijijini ndio mlikuwa mnaanza shule na miaka 60 hiyo, mijini kuanza la kwanza na miaka 4 au 5 kawaida sana
Labda mliozaliwa 90s au 2000s,ila tuliozaliwa 70s huwezi kuanza darasa la kwanza na miaka 4,enzi hizo mtu una miaka 10 unadhani watoto wananunuliwa hospitali,siku hizi mtoto wa miaka 10 anajua hadi kurun codes za computer programs
 
Nazo ziko zisemazo ana "masters" ya huko Uingereza
emoji120.png
Ndio maana nikasema huyu mzushi kaandika uzushi tu hamjui hamfuatilii hamfahamu hata page yake haijui wakati alipomaliza tu alipost na alipewa hongera Ila huyu dudumizi anasema eti ana certificate tu wivu wa watufeki ni mbaya sana
 
kwenye uzi fulani kuna mtu alidai ana masters ya international relations and politics blah blah blah.....
sasa kama mtu una kidiploma tu na Mungu amekujalia unafanya kazi kwenye shirika kubwa la kimataifa, kisha unaacha kazi kirahisi tu bila kuwaambia ukweli kuhusu kielimu chako wasije wakakutosa baharini?!!
 
Ndio maana nikasema huyu mzushi kaandika uzushi tu hamjui hamfuatilii hamfahamu hata page yake haijui wakati alipomaliza tu alipost na alipewa hongera Ila huyu dudumizi anasema eti ana certificate tu wivu wa watufeki ni mbaya sana
Due deligence zimebaini vyeti vya mchongo vile,ulaya kuna degree za mchongo sana
 
kwenye uzi fulani kuna mtu alidai ana masters ya international relations and politics blah blah blah.....
sasa kama una kidiploma tu. Mungu amekujalia unafanya kazi kwenye shirika kubwa na kimataifa, kisha unaacha kazi kirahisi tu bila kuwaambia ukweli kuhusu kielimu chako wasije wakakutosa baharini?!!
Chuki ya nini wandugu kuna watu mna chuki mbaya sana wabongo ndio maana umeme umegoma kuwaka chuki chuki chuki hata zisizo na sababu TANESCO endeleeni kuzima umeme tu
 
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.

Haha ha ha Jf ni Zaid ya Good
 
kwenye uzi fulani kuna mtu alidai ana masters ya international relations and politics blah blah blah.....
sasa kama una kidiploma tu. Mungu amekujalia unafanya kazi kwenye shirika kubwa na kimataifa, kisha unaacha kazi kirahisi tu bila kuwaambia ukweli kuhusu kielimu chako wasije wakakutosa baharini?!!
Ana masters ila sio hiyo dip unayodanganywa
 
Ndio maana nikasema huyu mzushi kaandika uzushi tu hamjui hamfuatilii hamfahamu hata page yake haijui wakati alipomaliza tu alipost na alipewa hongera Ila huyu dudumizi anasema eti ana certificate tu wivu wa watufeki ni mbaya sana
Husuda
Husda
Hasadi


Hasidi anapohusudu ni zaidi ya MCHAWI.......

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom