CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

Kwani kakwambia anataka kuajiriwa serikalini?
 
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma na miaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.

Kimsingi wewe ni mwenyekiti wa wajinga. Tanzania iko nyuma kwa sababu wanaajiri vyeti. Andiko lako halina akili kwa sababu ya kukariri mambo. Mwaka 1974, mimi nimeanza shule nikiwa na miaka 6, ulichoandika ni kukariri kijinga. CV ya mtu ni maisha yake, wewe na Uingereza imemtumia mtaalam huyo kwa miaka 20. Kwani ninyi mnaoajiri vyeti msipompa kazi atakosa cha kufanya? Ndiyo maana watanzania wamerundika mi vyeti kusubiria ajira. Wajanja wanataka skills ili waendelee.
 
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma na miaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Hayo maCV wenzenu waliacha muda mrefu kuyaangalia wanafocus kwenye uwezo wakufanya kazi tu na uzoefu tena hapa ndio kuna uchakuaji mkubwa wa vyeti
 
Ni wivu au ni nini hiki?
Hana wivu.

Anafanya wajibu, due diligence, wa raia muelewa na muwajibikaji. Anachambua sifa za mwananchi anaepigiwa kampeni awe kiongozi wetu kama msemaji wa serikali.

Kwa sababu wapo waliokuja kutoka BBC wakawa hot garbage, taka mbichi.

With a long face and brass balls, kwa uso usio na aibu, macho makavu na uthubutu wa tezi dume za shaba, Charles Hillary anatutangazia kwa biti nzito kwamba Mtanganyika yeyote atakaekanyaga mashamba ya Zanzibar wilayani Bagamoyo atakiona cha mtema kuni cha Serikali ya Mapinduzi!

You Hillary? Of all the people? Mzanzibari ambae Wabara tulikupa heshima na kukujengea jina lililokupa kazi BBC, tukakukarimu ardhi ya kuishi Bara ukiwa Radio Tanzania, ukatutangazia mpira miaka ya 80, leo anatusaliti winji winji?

Unatokaje BBC kuja kuwa mchimba mikwara wa serikali dhalimu za third world ? Sasa umejifunza nini BBC ???? U-BBC wako umetusaidia nini?
 
Nani kasema usemaji wa Serikali ni Mali ya Kikeke? Sehemu gani kwenye katiba inasema ukisha ajiriwa BBC ukimaliza mkataba unakiwa msemaji wa Serikali.
 
Kama BBC hawakujali yote wakamchukua ila nyie na serikali yenu mnaojua mambo ya Cv, shule na elimu kubwa mbona kila siku mnaboronga tu hakuna Cha maana mnachoweza na hizo CV zenu uchwara? Eti vetting kama kweli vetting ingelikuwepo tusingefika hapo tulipo
 
Kwa hiyo kazaliwa 1978 na ana miaka 50+, ngumu kumesa....
 
Ana masters ila sio hiyo dip unayodanganywa
acha porojo za kijinga wewe. angekuwa na masters, angeshapata appointment. samia si mjinga amtoe mtu BBC ana qualifications zote kisha amuache tu hapa bongo mitaani....jamaa ni mweupe peeee, hana kitu.

Na kama anadai ana masters, lakini appointment ndiyo hivyo tena basi hiyo masters yake ameipata kwenye Diploma mill....TCU wameipiga chini.
 
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma na miaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Ya Mwigulu au hata jina lake la Ubatizo unayajua ?
 
acha porojo za kijinga wewe. angekuwa na masters, angeshapata appointment. samia si mjinga amtoe mtu BBC ana qualifications zote kisha amuache tu hapa bongo mitaani....jamaa ni mweupe peeee, hana kitu.

Na kama anadai ana masters, lakini appointment ndiyo hivyo tena basi hiyo masters yake ameipata kwenye Diploma mill....TCU wameipiga chini.
Kwani alikuambia kuwa anataka kuajiriwa na Samia au ni intuition zako na insight ndo zinazokuambia weww na kukudanganya hivyo.....

Majarida mbali mbali ya makisio kama forbes na mengine walitangaza Kuwa Salimu Ana networth ya $1.5Mil ambayo ni sawa na Tsh Bilion 3.6.
Shida yetu wabongo Tunataka kuwa wasemaji wa Maisha ya watu Kwa kuwa tunaona inafaa kufanya hivyo....
Akija mtu akanipa uhkika kuwa aliongea na Salimu kuhusu Kwamba ameacha kazi ili achaguliwe hapo sawa ila huwa sijibizani na mtu mwenye hisia Butu....

Kingine Salimu kasoma Birk university of london alipopata Bachelor Degree in International Relation....
Sasa nenda Kaulize kokote kuhusu Birk university halafu njoo linganisha na hivyo vi vyuo vyenu uchwaea vya teofilo kisanji ,Udom,Na vingine...
Kuna wakati ni bora kuficha utumbo uliopo kichwani mwako....
TCU ndo waje waijaji Birk University of London 🤣🤣🤣 kalale Boss...


Na nimependa Signature yako na sita -under estimate power yenu kwa sababu naona mko wengi sana
 
Kwani alikuambia kuwa anataka kuajiriwa na Samia au ni intuition zako na insight ndo zinazokuambia weww na kukudanganya hivyo.....

Majarida mbali mbali ya makisio kama forbes na mengine walitangaza Kuwa Salimu Ana networth ya $1.5Mil ambayo ni sawa na Tsh Bilion 3.6.
Shida yetu wabongo Tunataka kuwa wasemaji wa Maisha ya watu Kwa kuwa tunaona inafaa kufanya hivyo....
Akija mtu akanipa uhkika kuwa aliongea na Salimu kuhusu Kwamba ameacha kazi ili achaguliwe hapo sawa ila huwa sijibizani na mtu mwenye hisia Butu....

Kingine Salimu kasoma Birk university of london alipopata Bachelor Degree in International Relation....
Sasa nenda Kaulize kokote kuhusu Birk university halafu njoo linganisha na hivyo vi vyuo vyenu uchwaea vya teofilo kisanji ,Udom,Na vingine...
Kuna wakati ni bora kuficha utumbo uliopo kichwani mwako....
TCU ndo waje waijaji Birk University of London 🤣🤣🤣 kalale Boss...


Na nimependa Signature yako na sita -under estimate power yenu kwa sababu naona mko wengi sana

Umeshaambia alitoka BBC kwa ahadi kuwa atateuliwa kuwa msemaji wa serikali. Kisha unauliza swali kuhusu kuajiriwa na Samia? la sivyo he is among those cracked down by UK government kwa kuwa na fake degree na kudai kuwa ni uwepo wa uteuzi ni kuficha tu ukweli.

......Uingereza hakuna chuo kikuu kinaitwa Birk University of London. Kuna Birkbeck College ambacho ni mojawapo ya colleges zinazounda University of London........ Kadanganye wasiojua.

Unless you tell me he has a Mickey Mouse Masters degree nitakuelewa. Ambayo ni useless degree, haiajiriki.

Hiyo Birk university unaijua wewe usiyejua kwa undani kuhusu diploma mills
 
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma na miaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Aliajiriwa mbele,je hawakuona ukakasi huo?
 
Umeshaambia alitoka BBC kwa ahadi kuwa atateuliwa kuwa msemaji wa serikali. Kisha unauliza swali kuhusu kuajiriwa na Samia? la sivyo he is among those cracked down by UK government kwa kuwa na fake degree na kudai kuwa ni uwepo wa uteuzi ni kuficha tu ukweli.

......Uingereza hakuna chuo kikuu kinaitwa Birk University of London. Kuna Birkbeck College ambacho ni mojawapo ya colleges zinazounda University of London........ Kadanganye wasiojua.

Unless you tell me he has a Mickey Mouse Masters degree nitakuelewa. Ambayo ni useless degree, haiajiriki.

Hiyo Birk university unaijua wewe usiyejua kwa undani kuhusu diploma mills

Mkuu Sijui chochote kuhusu Elimu Yako ila ninasikitika kuona Unaandika kitu ambacho huna elimu nacho...

#Facts check kabla sijaclarify

Nilifupisha kwa kusema Birk nikajua huenda utakuwa unajua au unauelewa hivyo sikuona ni tabu sana kuandika mpaka mwisho na ndo maana Kuna watu CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM...
Wengine huita UD na wengine Huita UDSM ni informal way ya simple abberviation tu kwangu ni just minor priority...


Uingereza hakuna chuo kikuu kinaitwa Birk University of London. Kuna Birkbeck College ambacho ni mojawapo ya colleges zinazounda University of London........

Unasema kuwa Birkbeck inaunda UNIVERSITY OF LONDON Are you serious? For really yaani uko serious? Na kuhusu College na university changing and upgrading brand nimekuandikia utasom utaelewa...

Kuna kitu kinachoitwa Parental University au Parental institution nafikiri kwako ndio Changamoto kubwa ntakuelewesha hapo chini kwa kutumia vyuo vya Tanzania Kabisa ili unielewe...

Hiyo Birk university unaijua wewe usiyejua kwa undani kuhusu diploma mills

Are you serious You call a reputed University like Birkbeck university a Diploma Mills au umeteleza....


Umeshaambia alitoka BBC kwa ahadi kuwa atateuliwa kuwa msemaji wa serikali. Kisha unauliza swali kuhusu kuajiriwa na Samia?

Na kama una ushahidi kuwa aliitwa na Samia kuja kupewa Uteuzi you can drop it out....!
mbna ni simple tu, kuna wakati tusiwe tunatumia mawazo yetu tulionayo kujibu kuhusu Maisha ya mtu Binafsi...

ok lets Go statistically....between the best in Tanzania and Birkbeck....

According to education Ranks ya mwaka 2023 University of Dar es salaam ambacho ndo Kina Rank ya 1 kati ya vyuo 31 in Tanzania kina rank ya 28 kati ya 1104 vyuo vyaA frika na kina rank ya 1706 Worldwide kati ya vyuo 14131
Screenshot_20231004-093132_1.jpg


while
BirkBeck university of london
unayoiponda ni chuo cha 8 Kati ya vyuo 35 london na n8 chuo cha 39 kati ya vyuo 131 vya England na ni chuo cha 50 kati ya vyuo 169 vya United Kingdom yote na ni chuo 240 kati ya vyuo 2785 na ni 607 worldwide kati ya vyuo 14,131......

Screenshot_20231004-093025_1.jpg


Sasa mkuu Utang'amua Mwenyewe Kuhusu Kipi ni chuo BORA kati ya chuo cha 607 (WORLD WIDE) au 1706 (WORLD WIDE)

Na Kingine Birkbeck kina miaka zaid ya 200 Tangu kianzishwe....

Dah umenisikitisha sana.....

Lets Go na ujue kuhusu Parental university...
Ntakupa Mfano mmoja ambao nahisi kila mtu Tanzania anaujua...

Chuo Kikuu cha Muhimbili (MUHAS)

Muhimbili ilianzishwa kama College ya Afya mwaka 1963 na ilikuwa ikiitwa Dar es salaam Medical school na watu walianza kusoma utabibu hapo..

Mwaka 1968 Rasmi muhimbili ama "Dar medical school" ilichukuliwa Rasmi na Chuo kikuu cha Dar es salaam na ikawa ni kitengo cha kitabibu cha chuo hicho huku ikiendelea kutoa kozi za afya ya msingi...

Mwaka 1991 Dar Medical school (Muhimbili ya sasa hivi) ikawa transform kozi zake na rasmi tukapata Facult of medicine of University of Dar es salaam...

Baadae kwenye mwkaa 1996 ndo ikawa upgraded na ikawa College (Yaani Muhimbili university college of Health science) ikiwa chini ya chuo hicho cha Dar es salaam ambayo ilikuwa merged na Hospitali ya Muhimbili na hapo ndo tulipata kitu kinaitwa MUHIMBILI medical Centre (MMC)...

Katika Mwaka 2007 Kwa sheria zilizotungwa mwaka 2005 na marekbisho ya 2007 Ndo muhimbili Rasmi ilijitegemea na kuwa CHUO KIKUU kilicho Tengena na UDSM....


Kwa mfano huo tukisema MUHAS kama chuo hatuwezi kutaja UDSM na kusema MUHAS ni moja ya vyuo VINAVYOUNDA UDSM.....

Ila tutakipongeza UDSM kwa kukilea vizuri Chuo cha MUHAS kuwa chuo kamili kinachojitegemea....

na ndivyo ilivyo kwa Birkbeck....

NARUDI SASA KWA BIRKBECK


birkbeck University.....
ilianzishwa mwaka 1823 kama ki 'just'mechanical institute of london'
na Jembe moja linaitwa George birkbeck....

na mwka 1866 ikawa Birk literaly and science instiitute..

na Mwaka mwishoni mwa miaka ya 1858 ndo ikawa Birkbeck scince and literaly college chini ya University of london..

na mwaka In 1907, jina la Birkbeck's lilifupishwa na kuwa "Birkbeck College". Kama Ulivyotaja wewe yaani umetajs jina la mwaka 1907 kipindi cha vita ya majimaji na kina kinjikitile

na mwaka 1913, ikawa rasmi kisheria chini ya uangalizi wa London university kwa kukidhi baadhi ya vigezo..

na mwaka 2002 ikadrop kuwa college na ikawa university Japo bado haikuwana power ys kutoa degree bachelor ambayo ni stand alone bila kupitia Univeristy of London mpaka pale ilipoanza kupewa Viposho na serikLi Mwaka 2006 ikaa za kupojea Budget ya serikali Rasmi...

na mwaka 2012 rasmi ikaanza kutoa Degree yake ambayo ni stand alone bila kushirikisha University of london kwa maana ilijitegemea kibudget na kiutawala.....Bila ulezi wowote....

Na ndo ikajitenga kuwa Chini ya Uangalizi wa 100% wa university of london
 
acha porojo za kijinga wewe. angekuwa na masters, angeshapata appointment. samia si mjinga amtoe mtu BBC ana qualifications zote kisha amuache tu hapa bongo mitaani....jamaa ni mweupe peeee, hana kitu.

Na kama anadai ana masters, lakini appointment ndiyo hivyo tena basi hiyo masters yake ameipata kwenye Diploma mill....TCU wameipiga chini.

Wee Utingo kama siyo uchawi ni nini? Sasa porojo zake wewe zinakuhusu nini? 🤣 😂 😆
 
Back
Top Bottom