CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

BBC walikuwaje wakamchukua?

Watanzania mna ushubwada mwingi sana. Mavyeti vyeti ndo yametufikisha hapa kwemye mkwamo. Wenye akili wanaangalia uwezo na siyo mavyeti ambayo hata pets wanaweza kuwa nayo
Msanii bora wewe umeona ujinga uliowajaa watu. Wanasumbuka na vyeti badala ya ujuzi, uzoefu na uwezo wa mtu. Ndio maana imefikia hatua watu kama akina Musukuma, babu Tale na wengineo wanunua PhD.

Hata hivyo Kikeke hajawatangazia kuwa aliacha kazi BBC kuja kutafuta ajira serikalini wala hajalalamika popote!!
 
Msanii bora wewe umeona ujinga uliowajaa watu. Wanasumbuka na vyeti badala ya ujuzi, uzoefu na uwezo wa mtu. Ndio maana imefikia hatua watu kama akina Musukuma, babu Tale na wengineo wanunua PhD.

Hata hivyo Kikeke hajawatangazia kuwa aliacha kazi BBC kuja kutafuta ajira serikalini wala hajalalamika popote!!
Wanajitekenya na kucheka wenyewe🤣
 
Haya tunayoyaona humu ndio maisha halisi ya waTanzania huko maofisini, mitaani na sehemu zingine zinazoishi waTanzania kwa wingi........ki ukweli hali inatisha........sana......
 
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Dah! Ila nyie binadamu nyie! Kikeke we komaa kitaa ujiajiri bro! Check na motivational spaeker au soma kitabu Cha Robert Kyosak faster tu unatoboa *****
 
Huyo ni mkuu wa mawasiliano. Tusogezee na CV za maafisa wengine wa serikali ukianzia juu Hadi Kwa mawaziri.
 
Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.

Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.

Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!

Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.

Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo

Uchunguzi umebaini ana miaka 50+

Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Unafahamu kitwa kinaitwa acceleration?
Siyo ile ya physics lkn,nina maanisha kwenye elimu.
 
BBC walikuwaje wakamchukua?

Watanzania mna ushubwada mwingi sana. Mavyeti vyeti ndo yametufikisha hapa kwemye mkwamo. Wenye akili wanaangalia uwezo na siyo mavyeti ambayo hata pets wanaweza kuwa nayo
Mkuu,

Kila siku huwa nasema kwamba,

Waafrika hasa watanzania wana laana.

Wanachoweza ni umbea, Majungu,chuki na visirani.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom