CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Na tatizo mmezidi uchama sanaaa,,, na mwalimu ndo mfanyakazi anayekula bata kuliko nyie wengne in terms of working hoursIla uko USA, ulaya mwalimu anapewa heshima sana na wanlipwa vizuri sana,huku kwetu dah mnataabika sana CWT yenu haiko kwa ajili ya maslahi yenu iko kwa ajili ya maslahi ya ccm,has a kipindi cha kusimamia uchaguzi.
Mnakujaga kufaidika baada ya kustaafu mnapigwa hela ndefu sana ya mafao,na bado mnakuja kuwa mtaji Wa wale jamaa Wa hela tuma kwenye no hii(nimechomekea).
Ujerumani mwalimu ndo analipwa hela ndefu kuliko hata mbunge nyie huku endeleeni kuwa discplined.
We jamaa unaishi Nchi gani, mbona walimu kibao wenye div 1 na 2 [emoji28][emoji28]Nakubaliana nawewe kwa yote, LAKINI ishu yangu ni kuwa kwanini Div1&2 na pengine na Div 3 hawaendi ualimu? Why?
Polisi na jeshi inafahamika rasmi kuwa jeshini ni nguvu , kule hawahitaji akili za darasani. Umewahi sikia msema "kama kawaida ya wanajeshi, MITULINGA MINGI AKILI KIDOGO" (najua sasa imebadilika kidogo..... kuna MDs wako jeshini etc etc...
Nimesingle out walimu kwa sabau ni sector nyeti kwa ustawi wa elimu Tanzania na duniani. Kwetu wanaenda waliofeli. Kibaya wakishaenda kule wanajiachia na kuwa wa hovyo! Failure wa kozi ya uhasibu anajiweka smart na mbwembwe nyingi mtaani as if hakupata div 0 form 4! Walimu wanashindwaje kujiweka vema? (si wote).
amemaliza form 4/6 na div 1 akaenda ualimu? very very few! na wana sabau zao za nguvuWe jamaa unaishi Nchi gani, mbona walimu kibao wenye div 1 na 2 [emoji28][emoji28]
Tatizo wabongo mnaushi kwa kukariri [emoji28][emoji28]I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Dah! Wewe jamaa ni mbishi!! Sasa hao wanafunzi waliopata Div. 1 - 3 mfano kwenye matokeo ya kidato cha nne si wana sifa ya kwenda kidato cha tano? Sasa mwanafunzi anawezaje kuacha kwenda kidato cha tano na kwenda ualimu? Ndiyo maana unakuta walimu wengi wa grade A walipata division four au three za mwisho! Na hawa hufundisha shule za msingi na awali! Na kwa sasa wengi wao wamejiendeleza kielimu na kuwa na diploma, digrii, postgraduate na hata masters katika fani mbalimbali.Nakubaliana nawewe kwa yote, LAKINI ishu yangu ni kuwa kwanini Div1&2 na pengine na Div 3 hawaendi ualimu? Why?
Polisi na jeshi inafahamika rasmi kuwa jeshini ni nguvu , kule hawahitaji akili za darasani. Umewahi sikia msema "kama kawaida ya wanajeshi, MITULINGA MINGI AKILI KIDOGO" (najua sasa imebadilika kidogo..... kuna MDs wako jeshini etc etc...
Nimesingle out walimu kwa sabau ni sector nyeti kwa ustawi wa elimu Tanzania na duniani. Kwetu wanaenda waliofeli. Kibaya wakishaenda kule wanajiachia na kuwa wa hovyo! Failure wa kozi ya uhasibu anajiweka smart na mbwembwe nyingi mtaani as if hakupata div 0 form 4! Walimu wanashindwaje kujiweka vema? (si wote).
Huyu kiumbe ni mbishi sijawahi kuona! Na hataki kuelewa. Nimejitahidi kumuelimisha, naona hata haelewi! Kiufupi kazi ya ualimu ni ngumu sana ukipata aina hii ya wanafunzi wajuaji (much know)We jamaa unaishi Nchi gani, mbona walimu kibao wenye div 1 na 2 [emoji28][emoji28]
Nini kirefu cha TLP?Hawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
View attachment 1754977View attachment 1754978
Sio kweli walimu USA are highly paid !!?Nchi ambazo waalimu wake hawalalamiki kuhusu mishahara hazizidi 10,, na hao waliweka elimu kipaumbele ila wengine wote hata huyo USA unaemsemea mwalimu analipwa kidogo comparing na unavyofikiri
Huyo mshba hajui kituWe jamaa unaishi Nchi gani, mbona walimu kibao wenye div 1 na 2 [emoji28][emoji28]
Google (v)Nini kirefu cha TLP?
Walimu wake walimshindwa, wewe humuweziHuyu kiumbe ni mbishi sijawahi kuona! Na hataki kuelewa. Nimejitahidi kumuelimisha, naona hata haelewi! Kiufupi kazi ya ualimu ni ngumu sana ukipata aina hii ya wanafunzi wajuaji (much know)
wapi nimesema hivyo?ufaulu wa division 0 au four, kwenye matokeo ya ACSEE ili kusomea ualimu, au kozi yoy
Sasa hao walimu unao waongelea kwamba ni failures ni wa kiwango gani cha elimu? Kuwa specific basi. Kama ni hao wa grade A, kwa sasa wanahesabika! Maana wengi wamejiendeleza!wapi nimesema hivyo?
Wapo usijitie kichwa ngumu,amemaliza form 4/6 na div 1 akaenda ualimu? very very few! na wana sabau zao za nguvu
Unataka umrithi???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hivi Mrema atastaafu lini ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Mei mosi ni kwa ajili ya walimu tu? maana nawaona ndiyo wanahisi kama wao ni watumishi pekee nchi hii.
Kwa u-much know wake ndo ulimfanya apate laana ya walimu ndo hayo matokeo yake dharau kiburi na majivunoHuyu kiumbe ni mbishi sijawahi kuona! Na hataki kuelewa. Nimejitahidi kumuelimisha, naona hata haelewi! Kiufupi kazi ya ualimu ni ngumu sana ukipata aina hii ya wanafunzi wajuaji (much know)
Wamewahi kukuroga??Chama cha Wachawi (TLP) ambacho ndicho chenye hiyo jezi na Kiongozi wake Chawa mkuu wa Rombo
Lkn ndo wamekukomboa hadi leo hii una ujanja wa kuwatukana hapa JF, isingekuwa Walimu usingekuwa na ngebe hizo za kuwasema hapa JF.Kama kuna watu wa hovyo ni waalimu,