Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Hebu tutende haki tuwe na balancing story hata kwenye hili la Cyprian Musiba aliyetaja orodha ya watu kumi hatari kwa usalama wa Tanzania
Kwenye orodha yake kawataja kwa majina na karibia wote ni viongozi wa UPINZANI na wachache ni wanaharakati na watoa maoni huyu...
Naomba tulitendee haki jukwaa nasi tuwe na orodha yetu ila tusitaje majina kuepuka uzi kufutwa... Tutaje mtu mwenye viashiria vya hatari... Nitaanza wengine mtamalizia

1. Yeyote anayepuuza maoni ya wengine.. Kwa uchache wao ama wingi wao..
2. Yeyote asiyekubali tofauti za kimtazamo katika jamii moja...
3. Yeyote asiyezingatia utawala wa sheria
4. Yeyote asiyezingatia haki za binadamu....
5..... Ongezea

Mshana please huyu jamaa ni ""dead brain but living body"" hata horizon yake ni 0*....
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba.....??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu?? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma????


Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika jatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania...who is this mo******ker???? Polisi wanamuacha huyu????? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really.....na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???
Kwa Clip hii nina imani kabisa sio ya kupuuziaa. Maana nimeanza kuona kuna watu wanaweka uchungu na hasira mioyoni mwa watu ili maandamano ya fanyike.
 
Hii inafaa kuwa namba 5
064d974ef21cd5c4b15517968b42fe37.jpg
inafaa kwakweli
 
Yeyote anayeombea nchi inyimwe misaada!
Hii mada wewe huwezi kuchangia .yani unaombea nchi yetu ipewe misaada badala ya kuombea tuweze kujitegemea?.
Okey... yeyote anayedhani ili tuwe na maendleo lazima wote tufikir kama yeye tu hata kama fikra zake ni zenye frastrations. Ni adui mkubwa kwa taifa.
Go mange go .naunga mkono maandamano ya mange kimambi. Wanaomuita kahaba.wao ndio.malahaba wakuu.tena wanaoana waume kwa waume kama.alivyofanya.shaka.kwa.kuolewa na.salumu mpelembo huko tanga
 
Kwani huyu Kaka anataka nini... Ukuu wa Wilaya..!?

Apewe tu basi jamani..
 
nimeangalia youtube nimecheka sana,na waandishi wa habari muwe na akiri mnaitwa na kila mtu mnakwenda tu.shame on you.
Pascal Mayalla alishasema uandishi wa bahasha ndio unao haribu fani. Anachokifanya Musiba ni kutumia hizo fedha anazopewa kufanya hayo na kuziweka kwenye bahasha kuwagawia watakao kuja.
Na hivi sasa kuna mabloger kibao kama Le mutuz basi wao ni kurusha tuu kile wakipokeacho. Ila ilibidi polisi kama wangekuwa hawafanyi kazi kisiasa wamhoji awaeleze hawa wanaohatarisha usalama wa taifa wanahatarisha namna gani ili hatua zichukuliwe
 
Yaani unafurahia nchi kuendeshwa kwa misaada badala ya kusisitiza sisi wenyewe kuongeza uzalishaji?. Kwa akili hizi watanzania kujikomboa bado sana. Yaani unafurahia wanaume wenzako huko ulaya wafanye kazi halafu wawaletee hela mle.Halafu kesho na kesho kutwa mkiwa kwenye mgogoro hao watoa msaada wakiingilia mnasema WATUACHE NA MATATIZO YETU, MARA MATATIZO YA AFRIKA YATAMALIZWA NA WAAFRIKA, wajinga kweli haya malizeni matatizo Congo na Southern Sudan.
Mkuu acha ujinga hakuna anayependa hicho ila bado hatujafikia huko

Misaada INA umuhimu sana kwa afrika kwa kuwa bado hatujajiweza
 
Hebu tutende haki tuwe na balancing story hata kwenye hili la Cyprian Musiba aliyetaja orodha ya watu kumi hatari kwa usalama wa Tanzania
Kwenye orodha yake kawataja kwa majina na karibia wote ni viongozi wa UPINZANI na wachache ni wanaharakati na watoa maoni huyu...
Naomba tulitendee haki jukwaa nasi tuwe na orodha yetu ila tusitaje majina kuepuka uzi kufutwa... Tutaje mtu mwenye viashiria vya hatari... Nitaanza wengine mtamalizia

1. Yeyote anayepuuza maoni ya wengine.. Kwa uchache wao ama wingi wao..
2. Yeyote asiyekubali tofauti za kimtazamo katika jamii moja...
3. Yeyote asiyezingatia utawala wa sheria
4. Yeyote asiyezingatia haki za binadamu....
5..... Ongezea

Yeyote asiyejali amani ya NCHI. kwa Hela za Wafadhili. Anayehubiri DEMOKRASIA WAKATI HANA SIFA HIZO. by the way we mpiga Majungu uliyetuma. Wakenya wanaenda kuchukua OSKAR huko HOLLYWOOD. We endelea siasa za fujo. Badala kulima nyanya.
 
Mbona mnakuwa na uzi mwingi sana akiongea mtu. MANGE KILA SIKU YUPO KUTAJA WATU. MBOWE NA LISSU KILA DAY PRESS CONFERENCE KUTAJA MAMBO. MBONA KIMYA. PUMBAVU. NDO MNAITA DEMOKRASIA. UHURU WA MTU. UNAPOFANYA MAUJINGA. JUA NA WENZAKO WAPO. SO SHUT UP. MANGE ANATUMWA NA NANI. SO ANZA UKO AU JUST SHUT THE https://jamii.app/JFUserGuide UP.
 
Ana uhuru pia wa kutoa maoni ila sina uhakika kama kuhukumu kunaruhusiwa
 
Back
Top Bottom