Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Umesomea mambo haya au unajisemea tu kwa hisia kama huyo musiba? Narudia tena, raia hawezi kuitisha press akiituhumu nchi nyingine katika masuala makubwa kama hayo. Yeye hana jukumu hilo. Angepeleka ushahidi wake kwa mamlaka zinazohusika. Je Marekani na Ujerumani kama wakitaka ushahidi atakuwa nao? Ni mgogoro mkubwa huo ikiwa serikali haitamkamata kuonyesha kuwa alichokifanya ni against na national law na kwamba serikali haikubaliani na maoni hayo. Mamlaka ya kutangaza watu hatari kwa usalama wa nchi musiba ameyatoa wapi? Tusijitoe akili kwenye mambo ya msingi.
Msiba yeye ana njaa alienda kwa Maliyamungu idd Amin Bashite kusaka pesa ya kula ndipo Maliyamungu Bashite akamwambia kuwa akariri huo Uzushi atangaze kwenye vyombo vya Habari watamlipa, kaweka njaa mbele kumfurahisha Maliyamungu Bashite pasipo kutafakari, sasa itamgharimu sana kwani FBI watamwandama Hatari.
 
Mlilia sana hapa jukwaani nchi ipokatiwa mgao wa wamarekani leo mnajitoa ufahamu kua nchi haihitaji msaada!
Tunajadili hatuongelei historia! Je ni sahihi tuishi kwa misaada? Kwani tumepungukiwa na nini? Upstairs!? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Sijui kwa nini wasio na marinda wanapenda sana kunyoa ndevu zote[/QUOTE]

Angalau umenipinguzia hasira maanake duhhh, nilitanani niwe naye karibu nimchane kama karatasi ya muwashia moto.....
 
Yeyote anayeunga mkono Chama Cha Mauaji
. [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
8fd31b0309ea36ba080f9c520a322c03.jpg
 
Huyu ni kibaraka wa wakubwa na ndio waliomtuma.
Katumwa na Maliyamungu idd Amin Bashite akishirikiana na Le mutuz na Shekhe wa mkoa wa Dsm ambaye anamchukia mange kimambi kuliko Palestine inavyoichukia marekani kwa kubariki unyanyasaji dhidi ya utu wao toka kwa walowezi
 
Musiba ni Musiba tu. Anatumwa na halmashauri ya kichwa chake uliojaa ushamba uliokithiri. Endapo kuna mtu anamtuma basi huyo mtu atakuwa zéro brain kabisa.
 
Huyo MSIBA Kafanyeje?Naomba pia Kuuliza.Ndio Yule aliyekuaga MAGIC FM Michezo?Maana kuna Mijitu Inajitokeza Kipindi hiki kwa Kasi ya Hatari.Halafu Nyuma yana Makandokando Chungu Nzima
ndo mwenyewe uyo..ni liccm alaf nilishabiki lakugalala la gongowazi..,,lilitemwa kwenye kura za maoni uko bunda likaanza kulia lia.
 
Hili Jamaa Jinga Kweli kweli..Sijaona Tuhuma za Maana Hapo..Na Ajue Adui namba Moja Kwa Taifa hili ni CCM..Mleta Mada Umeuliza Swali..Jibu lake ni rahisi..Katumwa na CCM..na ndiyo Maana Anatuhumu Viongozi wa Vyama lakini CCM wote kwa Mtazamo wake ni Malaika..
Na kama hawa ndiyo think tank ya ccm basi nchi inaekea kuzimu.
 
Sijui kwa nini wasio na marinda wanapenda sana kunyoa ndevu zote

Angalau umenipinguzia hasira maanake duhhh, nilitanani niwe naye karibu nimchane kama karatasi ya muwashia moto.....[/QUOTE]
Lawama zote ziende kwa kikundi cha Maliyamungu idd Amin Bashite, hicho kikundi chao cha Akina Le mutuz, Jerry muro na Lipumba ndicho kikundi Hatari kwa sasa kwani saa 24 wanabuni kiki za kishamba shamba ili kuwahadaa watanzania wakiamini watanzania ni wepesi wa kusahau pia baadhi ni wepesi wa kuamini Uzushi na ujinga ujinga wao, yafaa chadema walikamate Le mutuz kwenda Bar usiku walisute kwa nguvu ingawa atawabambikia kesi lakini Ukweli utakuwa umemfikia live.
 
Back
Top Bottom